Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 800
- 867
Uswazi ni changamoto sana. Ila yote ya yote pia ni muhimu mzazi kuangalia mazingira sahihi ya makuzi kwa mtoto wake.Kabisaaa ila sio Kwa maisha ya huku uswazi kwetu
Uko sahihi sana, ila hili ni jukwaa la siasa boss wetu.
Uwe mzaz unayejielewaUswazi ni changamoto sana. Ila yote ya yote pia ni muhimu mzazi kuangalia mazingira sahihi ya makuzi kwa mtoto wake.
Ujumbe mzuri Sana .
Hapo inabidi uandikie barua serikali kwanini unamkataza mtoto asisome hususani akiwa mtoto wa kike hio vita yake utasubiriUjumbe mzuri Sana .
Mi huwa naweza kwa mtindo wa maisha ulipo Sana watoto wangu wakisha maliza darasa la 10 ambalo nikama elimu ya msingi kwa sasa.
Wasiendelee kusoma darasa lolote Bali wajishugulishe na miradi ya kilimo na ufugaji. Haswa kilimo cha miti na ufugaji wa ngombe.
Kwani siasa ni nini mkuu?Uko sahihi sana, ila hili ni jukwaa la siasa boss wetu.
Ni mambo ya utawala wa kimamlaka. Yaani hiyo mada yako ilipaswa kuwekwa kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.Kwani siasa ni nini mkuu?
Changamoto wazazi wengi wanahitaji kupandikiza vitu kwa watoto wakiwa vijana at 15+ ages lakini kama wangeweza kuanza tokea mtoto anamsoma baba/mama anafanya nini akiwa nyumbani, mara moja moja wanaenda na watoto wao kazini wanaona wanavyofanya kazi.Wazazi wanaweza kuongoza watoto wao lakini hawana uwezo wa kupandikiza chochote kwa watoto wao.
Sawa, ila pia usisahau kumfundisha kuepukana na unafiki wa imani.Bila kusahau maadili ya kiroho kiimani..
mlee mtoto katika njia impasayo jaye hataiacha hata atakapokuwa mzee .mfundishe kumjua Yesu toka akiwa mdogo,mfundishe kuomba kusali,kuchukuia dhambi,kuhifadhi neno la Mungu mistari ya Mungu moyoni mwake na maana yake,nguvu ya maombi kukemea adui nguvu za giza ,kumpenda Mungu kupenda hadithi mafundisho ya Mungu..ajue Mungu anampenda amemuumba anamlinda ..kumtegemea Mungu.
atakuwa na nguvu ya Mungu nguvu ya Roho mtakatifu wa Mungu na atatembea na Mungu toka akiwa mdogo.
Kwa tafsiri yako ni sawa, ila kwa tafsiri yangu ya maana ya siasa, basi hii inayojadiliwa hapa ni siasa pia mkuu. Utagundua ni siasa ukitulia na ukifikiria kwa umakini.Ni mambo ya utawala wa kimamlaka. Yaani hiyo mada yako ilipaswa kuwekwa kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.
Kila siku huwa nalisema hili. Bora umenisaidia kusema.Wazazi wanaweza kuongoza watoto wao lakini hawana uwezo wa kupandikiza chochote kwa watoto wao.