Uchaguzi unapaswa kuwa njia ya kidemokrasia ya wananchi kuamua viongozi wao kwa misingi ya sera na utendaji wao. Kiongozi akishindwa kutimiza ahadi zake, hapaswi kuchaguliwa tena. Lakini je, hilo linatokea kweli?.
Tatizo ni kwamba ujinga, umasikini na ubinafsi vimetufanya kuuza haki yetu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.