Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Watanzania kwa kupenda kubebesha mambo kwa wakubwa hamjambo, alipojenga hotel kule chanika walisema ni hotel ya Sumaye, leo mnasema anasiamamia mali za kikwete/Rz1, mi siwaelewi. Nijuavyo ni kuwa hotel ya Moro imeanza kujengwa zaidi ya miaka 12 iliyopita, na kuwa huyu mtu anamiliki open investments, hayo mengine yenu.
nyau wewe
Mbena malundi -mfanyabiashara na mwekezaji katika majengo mkoani morogoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,naamini sasa mwanadishi wa thread utakuwa umepata ukweli kati ya mbena mfanyabiashara na mbena mfanyakazi wa ikulu.
wacha wajenge ndo wakati wao huu......
Kidumu chama cha mapinduzi
majungu yanakusumbua utakufa na umasikini wako
naona mkuu wa wilaya umenena,na sisi tunasadiki
Na wewe pia umekurupuka au ndoa inakutia kiwewe..mbena wote wawili ni wafanyakazi wa ikulu mmoja yupo hazina kitengo cha ikulu ndiye aliyetwangwa risasi na ndiye mmiliki wa wa hayo majumba haramu huko morogoro mbena namba mbili ni msaidii wa RaisMbena malundi -mfanyabiashara na mwekezaji katika majengo mkoani morogoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,naamini sasa mwanadishi wa thread utakuwa umepata ukweli kati ya mbena mfanyabiashara na mbena mfanyakazi wa ikulu.
mbona hasira ndugu?
majungu yanakusumbua utakufa na umasikini wako
Ndio yule anaeitwa MZERU?