Mtela Mwampamba, kamatia hapohapo

Hii ni habari au ujumbe kwa Mwampamba tu, maana habari imeangaliwa na wengi nikiwemo Mimi ila sijui unamsiifu kwa kipi.
 
Hii ni habari au ujumbe kwa Mwampamba tu, maana habari imeangaliwa na wengi nikiwemo Mimi ila sijui unamsiifu kwa kipi.

kwa alivyolitendea haki taifa lake live itv na wananchi wakishuhudia
 


Usikute ni wewe mwenyewe mtela unajipiga debe. Kampuni yenu siku hizi kila mtu anakimbilia media ili aonekane hata kama hakuna kitu anafanya.

Inaudhi sana!
 
Usikute ni wewe mwenyewe mtela unajipiga debe. Kampuni yenu siku hizi kila mtu anakimbilia media ili aonekane hata kama hakuna kitu anafanya.

Inaudhi sana!

endelea kupiga ramli
 
endelea kupiga ramli

Unachomsifia ni kipi hasa? Mbona hukisemi as if watu wote wlaikuwa kwenye tv? Kama watu wote walikuwepo basi hakuna sabbu ya kuanzisha uzi kwa kuwa walimwona.

Fafanua tu kizuri ulichokiona na inawezekana hata wengine waliangalia hawakukiona.
 
Unachomsifia ni kipi hasa? Mbona hukisemi as if watu wote wlaikuwa kwenye tv? Kama watu wote walikuwepo basi hakuna sabbu ya kuanzisha uzi kwa kuwa walimwona.

Fafanua tu kizuri ulichokiona na inawezekana hata wengine waliangalia hawakukiona.

angalia youtube mchangiaji wa kwanza kipindi cha malumbano ya hoja 26/05/2016
 
Jpm alivosema serikali yake itajaa vijana amewapa mshawasha vijana huku
 
Jamani weka ujumbe wa msifiwa huyo na wengine tuushudie. hata link itatufaa sana.
 
Andunje katika ubora wake
Kiukweli siku hizi idadi ya Wasukuma wa ajabu ajabu imeongezeka!. Msukuma gani anayetukana wenzake kuwa kuwaida majina ya dharau kwa maumbile yao?!. Kwa vile mtu hajipangii kimo, ni mambo ya genetics, heredity na mutation, na life circumstances za hali za maisha, kwanini umuite mwenzako andunje?.
P
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…