Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
mtindo ni uleule Chakachua
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.matokeo halisi yalikuwa abdu mteketa-ccm kura 42,000,regia mtema-chadema kura 43,200 cuf na updp kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,mtema kura 38,550,cuf 4469 na updp 299.sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
ameshinda kwa 40000+ ,mtema 30000+:sad:
hapo ndo pagumu we have 5yrs na huyu kimeo!Yaani imeniuma wengine wamejazana hapa silent in wakishangili ccm wasubiri joto ya jiwe miaka mitano
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
unashangaa ulemavu ccm wanauwa maalbino..........ccm hapendwi mtu kwenye maslahi wanakumaliza tu.Jamani CCM imelaanika yaani hata kilema na mwanamke bado dhuluma ipo palepale...............Oh God of Israel have compassion on your servants and right this pernicious wrong.......................
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Idadi ya wapiga kura walioandikishwa ilikuwa 211276 na idadi halisi ya waliopiga kura 88834 na kura halali zilikuwa 86574 na kura zilizokataliwa ni 2260.
KIKWETE (CCM) 53386, RUNGWE HASHIM (NCCR-MAGEUZI) 162, PETER MZIRAY (APPT-MAENDELEO) 869, WILBROAD SLAA (CHADEMA) 27721 , Yahmi Dovutwa (UPDP), Ibrahim Lipumba (CUF) 4200, Mutamwega Mgwaya(TLP) 117.
Matokeo ya Ubunge
Abdul Mteketa(CCM)43459 REGIA MTEMA (Chadema)38550, Zainabu Himili(4469), Abdu Mnola(UPDP)299.
Idadi ya walioandikishwa ilikuwa 211276,idadi halisi ya wapiga kura 88942,kura halali ni 86777 na kura zilizokataliwa ni 2165.
Hakukuwa na fujo ya aina yoyote ila REGIA MTEMA wa Chadema amegoma kusaini fomu za matokeo.
Mngemjua huyo mteketa! sijui atatusaidia nini kule!