Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea Ubunge?
Uko nje ya mada...
Shutuma? Kwa chama kipi, endapo mtumishi wa Mungu alisema shutuma tu zingeweza kumtoa mtu kazini, ni nani mwenye unyoofu wa Mwinyi na mrema ambao walukubali kujiuzulu nyadhifa zao? Post za kitoto ndizo zitaua kabisa usalama wetu
kwa udaku wako huu, inabidi twende kotekote mkuu, unaunganishaunganisha vijistori vya vijiweni halafu unatuletea hapa jamvini! Mtahangaika sana lakini kamanda mbowe atazidi kudunda mkuu...Uko nje ya mada...
Rostam and chenge?Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea wrUbunge?
kwa udaku wako huu, inabidi twende kotekote mkuu, unaunganishaunganisha vijistori vya vijiweni halafu unatuletea hapa jamvini! Mtahangaika sana lakini kamanda mbowe atazidi kudunda mkuu...
kama kujiuzulu walipaswa kuanza viongozi wa ccm, mbona jk hajawahi kujiuzulu? Lini jk aliwahi kuomba msamaha watanzania kwa uhuni na mateso anayowafanyia?Umenikumbusha Dr. Slaa alivyokataa kujiuzuru baada ya kuvujisha barua ya siri aliyoandikiwa na kiongozi mwandamizi wa chama chake.
By the way, Dr. Slaa ni mwanasiasa ambaye hajawahi kuomba msamaha hata siku moja, anajiona yeye yuko perfect wakati wote...
Mzee Edwin I. Mtei, alikuwa Gavana wa Benki kuu kwa kipindi cha miaka minane kuanzia 1966 hadi 1974.
kama kujiuzulu walipaswa kuanza viongozi wa ccm, mbona jk hajawahi kujiuzulu? Lini jk aliwahi kuomba msamaha watanzania kwa uhuni na mateso anayowafanyia?
Utajiri halali unaonekana kwenye kiasi cha kodi anacholipa mtu na idadi ya watu aliowaajiri.
Mbowe ameajiri watu wangapi? Mention 5 degree holders walioajiriwa na Mbowe.
Usilete story za vijiweni za "ubilionea" wa Arusha.
haa haa, uko sahh, mfano hawa, chenge,karamagi,lowasa, mgonja, na wenzake wengi waliojaa pale lumumba!Wabadhilifu wengi wa mali ya umma wanadunda mitaani.
ukweli ni upi?Aidha umedhamiria kudanganya au hauna taarifa sahihi, lakini hiki ulichoandika hapa si kweli.
sio sahihi mkuu, kikwete ni rais wa Tanzania!Kikwete ni Rais wa WATU...
Umeishapewa ngumi za uso hapa chini!! Huna hoja tena!! Muongo mkubwa!! Hebu soma hii:Mwenyekti wa kwanza wa Chadema, Mzee Edwin Mtei, alikuwa Gavana wa BoT.
Mwenyeti wa sasa wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe, alikuwa mwajiriwa wa BoT.
Kabla ya kupata uenyeti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe, alimuoa mtoto wa Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.
Mwenyekiti wa sasa wa Chadema, amekiri kwa maandishi kuwa anamiliki mabilioni ya shilingi pesa tasilimu na mali zisizohamishika yenye thamani ya mabilioni ya shilingi.
Hesabu za kiasi cha kodi alicholipa Mh. Freeman Mbowe kwa miaka kumi iliyopita hakiendani na utajiri huo mkubwa alio nao.
Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema Mzee Edwin Mtei, hupenda kujitambulisha kama mkulima. Hata hivyo, utajiri wake ni mkubwa sana kuliko kiasi cha uzalishaji wa shamba lake lililopo Tengeru, Arusha.
Mzee Mtei amekuwa akitumia pesa zake binafsi kuendesha shughuli zote za Chadema tangu ilipoanzishwa mpaka ilipofikia hatua ya kupata wabunge na ruzuku. Huu ni utajiri wa hali ya juu. Sio mbaya kuwa tajiri, lakini utajiri wa mtu ni lazima uendane na kiasi cha kodi anacholipa. Mtu akiwa tajiri sana lakini katika orodha ya walipa kodi haonekani, ni ishara ya ufisadi.
Ukwasi huu wa wanasiasa hawa wawili walioitumikia BoT na kuamua kuunganisha familia zao kwa njia ya ndoa ya binti wa mmoja wao unatokana na chanzo gani?
Je, kuunganisha familia hizi ni njia ya kuongeza uaminifu wa "ushirikiano" waliokuwa nao tangu BoT? Je, "ushirikiano" wao waliouanza BoT unaendelea ndani ya Chadema? Je, hii ndio sababu ya Mzee Mtei kulazimisha Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti na kukataza wagombea "who are from nowhere"?.
Je, biashara ya ukumbi wa muziki inamuwezesha mtu kumiliki mabilioni nje ya nchi? Kiingilio bilicanas ni shilingi ngapi kila mtu? Kwa siku wanaingia watu wangapi? Je, zinatosha kununua nyumba Uingereza, Marekani, Afrika Kusini na Dubai?
Its too early to go to bed, wake up. Connect the dots...
Si kosa langu, serikali iliyoko madarakani ni ya CCM...ni ya serikali dhaifu, serikali tapeli na serikali ya wauaji. Bonyeza hapa;Aidha umedhamiria kudanganya au hauna taarifa sahihi, lakini hiki ulichoandika hapa si kweli.
Umeishapewa ngumi za uso hapa chini!! Huna hoja tena!! Muongo mkubwa!! Hebu soma hii:
Mzee Edwin I. Mtei, alikuwa Gavana wa Benki kuu kwa kipindi cha miaka minane kuanzia 1966 hadi 1974. Wakati anateuliwa kuwa Gavana mtoto Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa na umri wa miaka mitano (alizaliwa mwaka wa uhuru 1961) na wakati Mzee Mtei anaacha kazi Benki Kuu Kijana Mbowe alikuwa na umri wa miaka 13!
mdaku utamjua tu, taarifa sahihi ni zipi? Acha blah blah mkuu!Wewe ni mlaghaika.
Hizo taarifa ulizoandika sio sahihi.
Connect the dots...
Si kosa langu, serikali iliyoko madarakani ni ya CCM...ni ya serikali dhaifu, serikali tapeli na serikali ya wauaji. Bonyeza hapa;
Mkuu Marco,
Pale juu,unejaribu kuunganisha dhana ya Mbowe kuoa mtoto wa Mtei.
Ulitaka kutuambia nini? Je,unataka kutuaminisha kwamba mtoto wa Mtei kamtajirisha Mbowe?
Kama ndivyo,hivi leo mtu akioa binti yako,wakatafuta hela wao,wakazipata,utatembea kifua mbele kuwa wewe (mkwe) ndio umewapa utajiri huo?