Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea Ubunge?

Mhimili wa mahakama upo bias,hao watu wapo ndani ya mfumo wa chamadola,kwa mahakama yetu corrupt huwezi mtia hatiani mtu kama Chenge na Rostam.
Rejea kesi ya ajali ya Chenge.
Mkuu wewe hujui kuwa selikali ya CCM inaingilia utendaji kazi wa mhimili wa mahakama? Pinda kashtakiwa kuvunja katiba,subiri uone uamuzi wa kesi.
 
Shutuma? Kwa chama kipi, endapo mtumishi wa Mungu alisema shutuma tu zingeweza kumtoa mtu kazini, ni nani mwenye unyoofu wa Mwinyi na mrema ambao walukubali kujiuzulu nyadhifa zao? Post za kitoto ndizo zitaua kabisa usalama wetu


Umenikumbusha Dr. Slaa alivyokataa kujiuzuru baada ya kuvujisha barua ya siri aliyoandikiwa na kiongozi mwandamizi wa chama chake.

By the way, Dr. Slaa ni mwanasiasa ambaye hajawahi kuomba msamaha hata siku moja, anajiona yeye yuko perfect wakati wote...
 
kwa udaku wako huu, inabidi twende kotekote mkuu, unaunganishaunganisha vijistori vya vijiweni halafu unatuletea hapa jamvini! Mtahangaika sana lakini kamanda mbowe atazidi kudunda mkuu...

Wabadhilifu wengi wa mali ya umma wanadunda mitaani.
 
kama kujiuzulu walipaswa kuanza viongozi wa ccm, mbona jk hajawahi kujiuzulu? Lini jk aliwahi kuomba msamaha watanzania kwa uhuni na mateso anayowafanyia?
 
Mzee Edwin I. Mtei, alikuwa Gavana wa Benki kuu kwa kipindi cha miaka minane kuanzia 1966 hadi 1974.

Aidha umedhamiria kudanganya au hauna taarifa sahihi, lakini hiki ulichoandika hapa si kweli.
 
Utajiri halali unaonekana kwenye kiasi cha kodi anacholipa mtu na idadi ya watu aliowaajiri.

Mbowe ameajiri watu wangapi? Mention 5 degree holders walioajiriwa na Mbowe.

Usilete story za vijiweni za "ubilionea" wa Arusha.

Kule juu kwenye bandiko umesema "anamiliki mali zisizohamishika" tutajie hizo mali na mimi nitakutajia anazitumia vipi hapo utajua aina za watu walioajiliwa katika mali hizo.
 
Umeishapewa ngumi za uso hapa chini!! Huna hoja tena!! Muongo mkubwa!! Hebu soma hii:
Mzee Edwin I. Mtei, alikuwa Gavana wa Benki kuu kwa kipindi cha miaka minane kuanzia 1966 hadi 1974. Wakati anateuliwa kuwa Gavana mtoto Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa na umri wa miaka mitano (alizaliwa mwaka wa uhuru 1961) na wakati Mzee Mtei anaacha kazi Benki Kuu Kijana Mbowe alikuwa na umri wa miaka 13!
 

Wewe ni mlaghaika.

Hizo taarifa ulizoandika sio sahihi.

Connect the dots...
 
Si kosa langu, serikali iliyoko madarakani ni ya CCM...ni ya serikali dhaifu, serikali tapeli na serikali ya wauaji. Bonyeza hapa;

Dont blame the book, blame your lack of curiosity...
 
Mkuu Marco,
Pale juu,unejaribu kuunganisha dhana ya Mbowe kuoa mtoto wa Mtei.
Ulitaka kutuambia nini? Je,unataka kutuaminisha kwamba mtoto wa Mtei kamtajirisha Mbowe?
Kama ndivyo,hivi leo mtu akioa binti yako,wakatafuta hela wao,wakazipata,utatembea kifua mbele kuwa wewe (mkwe) ndio umewapa utajiri huo?
 

Biashara zote za Mbowe zinasimamiwa na mtoto wa Mtei.

Connect the dots...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…