Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Inaendeshwa na nini? Kwanini mtu apoteze muda wake kwenda kupanga mstari kupiga kura kwa mtu asiyempenda. Maana mpaka umpende mtu Kuna kitu amekuvutiaNchi haziendeshwi na mivuto
Inaendeshwa na nini? Kwanini mtu apoteze muda wake kwenda kupanga mstari kupiga kura kwa mtu asiyempenda. Maana mpaka umpende mtu Kuna kitu amekuvutiaNchi haziendeshwi na mivuto
Haiongozwi Kwa kuraInaendeshwa na nini? Kwanini mtu apoteze muda wake kwenda kupanga mstari kupiga kura kwa mtu asiyempenda. Maana mpaka umpende mtu Kuna kitu amekuvutia
Inaongozwa na nini?Haiongozwi Kwa kura
Mbona hiyo Dola yenyewe haijawahi kushinda kesi? Kwa manaa hawajajipangaYaani chokochoko wanazofanya CHADEMA huzioni ila unaona pale wanapokamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria ndo unahisi inafuatiliwa. Wakae kimya waache chokochoko uone kama kuna mtu atakua na habari nao.