N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Axis of Evil wakiongozwa na mzushi Mwigulu Nchemba, Majaliwa, Mpango, Ndugai, Ndugulile na Gwajima KE ni watu hatari sana kwa Taifa letu.
Hii ni kesi nammba ngapi?
Axis of Evil wakiongozwa na mzushi Mwigulu Nchemba, Majaliwa, Mpango, Ndugai, Ndugulile na Gwajima KE ni watu hatari sana kwa Taifa letu.
Yatafanyika ,hatuwabembelezi ,wakitaka wakifute then tuone what next ,binadamu anabadilika tokana na mazingira ,Mbona ccm wanademka na Mambo ya hatari Sana, kifuteni chadema kesho tuoneCCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Haya makamanda uchwara sasa yanahalalisha uoga wao.yaani leo mmekuwa watu msiohitaji kuandamana tena!!!
Ama kweli asiye na hili ana lile.
Wewe uwe wa kwanza na bangoRais kivuli
Wapo Mkuu, January na Hussein ndiyo wanasiasa wenye mvuto kuliko wote kwa sasa ukimtoa SamiaUkiangalia kwa makini..ni wazi CCM hawana mwanasiasa mwenye mvuto tena kama ulivyokuwa kwa Kikwete na Lowassa. Sasa itakuwa nchi ya kutawala kwa mabavu
CDM ndio vilaza, Mkiti wenu yupo sehemu salama mnafanya nini? Makelele tu mitandaoniVilaza wameshika hatamu na haya ndio matokeo yake.
Hakuna anayepanga chochote kuhusu chademaCCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Nchi haziendeshwi na mivutoUkiangalia kwa makini..ni wazi CCM hawana mwanasiasa mwenye mvuto tena kama ulivyokuwa kwa Kikwete na Lowassa. Sasa itakuwa nchi ya kutawala kwa mabavu
Chokochoko za cdm ni zipi kudai katiba mpya ni chokochoko? Mlitaka chadema wakae kimya Kama mazombi yenu ya tlp ya mrema?Yaani chokochoko wanazofanya CHADEMA huzioni ila unaona pale wanapokamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria ndo unahisi inafuatiliwa. Wakae kimya waache chokochoko uone kama kuna mtu atakua na habari nao.
Yani jinga Kama hili linajua wazi kabisa ikipatikana katiba mpya hata wajukuu zake watakuwa ni wanufaika lakini kwa upumbavu linashabikia dhuluma vs haki.Acheni uoga, andamaneni, tunawasubiri field tar 5 kama katibu wenu alivyowaamuru, msipokuja nyie ni cowards tu!!
Muda utakujibu.Mtego tena??..au another reason to chicken out?
Hakuna aliyewahi kushindana na CHADEMA akashinda ama akabaki salama kama alivyokuwa zamaniCCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Hamasa kwa Katiba Mpya ni chokochoko Mkuu!!?Yaani chokochoko wanazofanya CHADEMA huzioni ila unaona pale wanapokamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria ndo unahisi inafuatiliwa. Wakae kimya waache chokochoko uone kama kuna mtu atakua na habari nao.
January anajulikana kwa watu wachache sana. Kwa wanasiasa na watu wa mtandaoni. Mitaani huko hamna. Labda aende kwa mbeleko ya jina la baba yakeWapo Mkuu, January na Hussein ndiyo wanasiasa wenye mvuto kuliko wote kwa sasa ukimtoa Samia