Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,994
- 144,329
CCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.