MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

Mbona humu JF tunayaongea hayo mambo ya mahakamani? Kwani yeye lazima aongee na waandishi wa habari!! Anaweza tu kuandika waraka kupitia humu JF tu kwani waandishi wengi wa habari Bongo news zao huwa wanalamba humu humu JF. Waandishi wataogopa kuandika lakini watasema habari zaidi ziko kwenye JF, bring more traffic to JF....how about that.
 
my Nionavyo! Sirikali imeshukuru kutokea ajali ya meli ya Skagit, kwani raia sasa akili/mazungumzo kwa ajali. Ilitokea kipindi cha mjadala wa Richmond na tukio la babu wa Loliondo
 
Serikali ya ccm pamoja na jeshi la polisi wakiongozwa na kova mmelaaniwa duniani na mbinguni kwa matendo yenu mnayo tufanyia watanzania ,hamna hata aibu mwogopeni mungu
 

Kwani, si anaweza kufanya press conference RSA. akaita mpaka TBC, ili waumie zaidi.
 
Sasa mbona hakuna siri tena. Atafanya mazungumzo na wana jf hata wakileta mizengwe.
 
Inamaana Kubenea yeye hakuliona ilo swala kama lipo mahakamani?mbona mwanahalisi ya jana imeanika kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…