Mtazano mpambano kati ya Wilder vs Fury 3

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Wakuu ni matumaini yangu wote mmeona mpambano wa tatu/trilogy kati ya wilder vs fury.

Niwaambie tu kitu ambacho nimegundua kwa mtazamo wangu.

African boxers bado ni the best dunia nzima ndo ukweli huo. Na ndio kitu ambacho kila mtu anatakiwa aamini. Tuachane na propaganda.
Kwamaana ya kwamba genetically tumeumbwa hivo.( nawaachia for reasoning sitaingia deep)

Pia mkumbuke wazungu ndo wanamiliki hizi boxing organization. Pia michezo ya ngumi inatumika kisiasa( political influence). So wapo tayari kufanya lolote lile ili wapate influence.( nitawaachia mtafakari)

Fact 1. Ukiangalia mpambano wa wilder vs fury 3, kabla ya game kuanza kulikua kuna matatizo yalijirudia kuhusu gloves, hiyo haijatokea kwa bahati mbaya.

Fact 2. Utofauti wa uzito ni mkubwa mno. Wilder amepigana akiwa na pound 238lb(125.6kg) wakati tyson fury akiwa na 277(107.9kg). Ambapo fury alikua na 7.7 kg extra on wilder. sayansi inasema katika ngumi mtu akikuzidi hata 2kg. Ana advantage kubwa sana kwako ikiwa mmejiandaa sawa kimazoezi. Hii pia haijatokea kwa bahati mbaya.

Fact 3: siku tatu kabla ya game. Refa na judge walibadilishwa ghafla bila boxing organization kutoa sababu yoyote. Tolja ya!!

Fact 4: kumbuka fury ana kesi mahakamani ya kudanganya kwenye marudiano ya mpambano wa pili. Na bado wilder hajapata haki yake mahakamani.

Samahani black european. Najua mtakuja kwenye huu uzi kuponda sana.

Ila cha kuongezea kama nahisi kuna propaganda ya kuiondoa black supiriority in boxing world. Kumbuka wameanza na joshua. Wanamtamani sana mayweather ila kwa bahati nzuri kastaafu. Sidhani kama ile record( 50-0) inapendwa. Wilder wametumia mbinu zote za vitabu kuifanya ionekane hivo.

Finally, muangalieni efe ajagba. Alikua ni boxer mzuri sana upcoming. So popote hawa watu wakiona upo unique na unaanza kua the best wanaanza kua karibu na ww. Mnakumbuka ukaribu wa fury na efe ajagba.( nawaachia kwa tafakari).

Hey my african brothers and sisters, try to go deeper in these stuffs. Msiishie kwenye kuchukua matokeo tu. Pamoja.
 
Nilijua mtakuja. Ndo maana nika expose hii situation mapema. Huwa mnavuruga uzi wowote ambao uko positive kwa waafrika
Wilder ni mwafrika?
20211010_105738.jpg
 
We jamaa ngumi zinapigwa wote manaona then unakuja na ngonjera zako hapa.
Watu weusi tupunguze visingizio ndiomana hatufanyi vizuri kwa mentality za kijinga kama hizi.
Badala ya kukubali mtu kapigwa ajipange zaidi unaanza kuleta visingizio kibao.
 
wazanaki Njoo kuna jambo nataka unieleze vizuri hapa

Kuelekea katika pambano hili la Deontay Wilder na Tyson Furry, kitu nilichokuwa nashangaa ni kwamba Most of superstars wa Amerika walikuwa wana wish Tyson Furry ashinde pambano hili dhidi ya mpinzani wake ambaye ni American mwenzao, Drake, Kanye west, Mike Tyson, Undertaker.

Kwanini hawatoi support kwa American mwenzao?
GREAT VISIONAIRE
screpa
 
nilifikiri utaongea cha maana kumbe pumba tuu...ngumi mchezo wa hadharani mtu kapigika vizuri wote tumeona unaleta ngonjera sijui gloves sijui nini....kaa kwa kutulia
 
wazanaki Njoo kuna jambo nataka unieleze vizuri hapa

Kuelekea katika pambano hili la Deontay Wilder na Tyson Furry, kitu nilichokuwa nashangaa ni kwamba Most of superstars wa Amerika walikuwa wana wish Tyson Furry ashinde pambano hili dhidi ya mpinzani wake ambaye ni American mwenzao, Drake, Kanye west, Mike Tyson, Undertaker.

Kwanini hawatoi support kwa American mwenzao?
GREAT VISIONAIRE
screpa
Wakikujib nitag
 
wazanaki Njoo kuna jambo nataka unieleze vizuri hapa

Kuelekea katika pambano hili la Deontay Wilder na Tyson Furry, kitu nilichokuwa nashangaa ni kwamba Most of superstars wa Amerika walikuwa wana wish Tyson Furry ashinde pambano hili dhidi ya mpinzani wake ambaye ni American mwenzao, Drake, Kanye west, Mike Tyson, Undertaker.

Kwanini hawatoi support kwa American mwenzao?
GREAT VISIONAIRE
screpa
Swali zuri. Ukiona hivo fatilia uchunguze. Siko hapa kukutafunia kila kitu. We ni mtu mzima sio mtoto. Ukiona kitu haki make sense. Go deep and inspect
 
nilifikiri utaongea cha maana kumbe pumba tuu...ngumi mchezo wa hadharani mtu kapigika vizuri wote tumeona unaleta ngonjera sijui gloves sijui nini....kaa kwa kutulia
Black european. Yu defend kufa na kupona wakati africa kuna kazi kubwa ya kufanya inakusubiri.
 
Swali zuri. Ukiona hivo fatilia uchunguze. Siko hapa kukutafunia kila kitu. We ni mtu mzima sio mtoto. Ukiona kitu haki make sense. Go deep and inspect
Kama umeshindwa kujibu basi kausha
Yaani niende deep wakati maisha yangu tu yananisumbua
 
Ngumi ni mchezo wa wazi hakuna longolongo hasa ushindi ukiwa ni wa KO.

Mtu kachapwa wote tunaona, wewe unatuletea ushabiki mandazi wa kibaguzi. Miafrika tupo na inferiority complex sana kila kitu tunaonewa sisi.

Ujinga mtupu.
 
Am i the only one who does not understand this ? "Wilder amepigana akiwa na pound 238lb(125.6kg) wakati tyson fury akiwa na 277(107.9kg)".... mbona wilder umempa kilo nyingi(hizo za kwenye mambano) kuliko furry na mbele uka-claim furry is heavier than wilder ?...anyways wazungu hawajawah penda melanin....
 
Back
Top Bottom