Tyson Fury vs Deontay Wilder: Mpambano mkali kupigwa tarehe 24 Julai, 2021

GREAT VISIONAIRE

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
365
453
Mpambano uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa uzito wa juu duniani kati ya Tyson Fury vs Anthony Joshua umeenda mlama baada ya bondia Deontay wilder kutumia nguvu ya mkataba kutaka pambano la tatu sawa sawa na mkataba.

Pambano hilo litafanyika Tarehe 24 Julai na wengi wanaamini kuwa Deontay Wilder atakalia kidole tena kutoka kwa bondia bingwa wa uzito wa juu mbwatukaji Tyson Fury.

Mpaka sasa wanaosenaTyson Fury atashinda ni wengi zaidi sababu wanazozitoa:

1: Muda ambao Deontay Wilder ametumia kujiandaa ni mdogo kulinganisha na Tyson Fury ambaye amekuwa akijiandaa kwa muda mrefu kwa pambano la mchumba Anthony Joshua.

2: Tyson Fury amekuwa akijiandaa kwa muda mrefu na ameongeza uzito kufikia pauni 300 sawa na 150kg
Trainer wa Mayweather promotions Jeff Mayweather ameonyesha kumkubali Deontay Wilder japo anasema katika huu mpambano Tyson Fury ana asilimia kubwa ya kushinda.

Pia tukiangalia katika Historia za ndondi, ubingwa huwa ni era(muda). Ukishakutupa mkono mida basi, rejea Tyson ambaye alikuwa prime toka 1985 na alitembeza kichapo kwa muda wa miaka 10mfululizo kabla hajawa tyson bonge nyanya.

Floyd Mayweather amekua mjanja kwa kuliona hilo na aliamua kukaa chini mapema.

Umri wa Tyson Fury ni miaka 32 na Deontay wilder ni 35 yrs.

Karata yangu nampa Deontay wilder
 
Huo muda wakusubiria na siku ikifika Muangalie huo mpambano mnautoa wapi?

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na tu mapori hayajaendelezwa lakini njemba mnajikusanya makundi kwa makundi mbele ya TV kuangalia wanaume wengine wakipigana.

Mbona tunaendekeza anasa wakati mama kaachiwa nchi ikiwa hovyo badala ya kumsaidia kujenga taifa?

Tunaelekea wapi kama taifa?
 
Huo muda wakusubiria na siku ikifika Muangalie huo mpambano mnautoa wapi?

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na tu mapori hayajaendelezwa lakini njemba mnajikusanya makundi kwa makundi mbele ya TV kuangalia wanaume wengine wakipigana.

Mbona tunaendekeza anasa wakati mama kaachiwa nchi ikiwa hovyo badala ya kumsaidia kujenga taifa?

Tunaelekea wapi kama taifa?
na wewe muda uliotumia kuingia jf na kuandika pumba kwa nini usingeutumia kwenda kulima huko maporini?
 
Katika bondia ambaye wanamu overrate ni wilder hana skills zozote yani anapigana kama jitu la mtaani hana head movement, hana combos zozote, wala foot movement hana yani ni stiff fighter sana zaidi ya ngumi nzito hana cha ziada kwenye ulingo ni mda apumzike baada ya ili pambano.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
wilder hana muda na izo skiill zako, ye anakulia timing tu, ngumi moja kamaliza huzm
 
Huo muda wakusubiria na siku ikifika Muangalie huo mpambano mnautoa wapi?

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na tu mapori hayajaendelezwa lakini njemba mnajikusanya makundi kwa makundi mbele ya TV kuangalia wanaume wengine wakipigana.

Mbona tunaendekeza anasa wakati mama kaachiwa nchi ikiwa hovyo badala ya kumsaidia kujenga taifa?

Tunaelekea wapi kama taifa?
Huo muda wa kufuatilia thread hii nawe umeutoa wapi!? Si ungekuwa umeshika jembe ukilima na kufyeka hayo mapori... Kama haikuhusu kaa kando...
 
na wewe muda uliotumia kuingia jf na kuandika pumba kwa nini usingeutumia kwenda kulima huko maporini?
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Japan na Ujerumani waliamua kuacha kuendekeza anasa na utopolo na kujikita kwenye kufanya kazi hili vizazi vijavyi vifurahie. Angalia walipo sasa hivi.

Nyie ni maselfish tu unproductive hamuwazi hata vizazi vijavyo. Kazi ni kuendekeza anasa na kukusanyika makundi kwa makundi vibarazani na vijiwe vya umbea mkisubiria wanaume wengine kupigana.

Mama kaleta mwanga maridhiano furaha vitu ambavyo nduli Jiwe alitunyima. Kaachiwa nchi iko hovyo anajitahidi badala tumuunge mkono mnaendekeza anasa.

Whyyyyyyyyy???!!
 
Huo muda wakusubiria na siku ikifika Muangalie huo mpambano mnautoa wapi?

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na tu mapori hayajaendelezwa lakini njemba mnajikusanya makundi kwa makundi mbele ya TV kuangalia wanaume wengine wakipigana.

Mbona tunaendekeza anasa wakati mama kaachiwa nchi ikiwa hovyo badala ya kumsaidia kujenga taifa?

Tunaelekea wapi kama taifa?
Sasa umekuja jukwaa la michezo kutafuta nini eroo, kajenge hiyo nchi, wenzako tunapozea akili huku kwenye burudani zetu.
 
Wilder akileta masihara anapigwa tena, Tyson Fury siyo mtu mzuri
Kwanamna alivyootewa mechi ya kwanza simpi Wilder nafasi, ile game ndio nilijua Wilder ana kelele tu lakini ulingoni hamna kitu.
 
Katika bondia ambaye wanamu overrate ni wilder hana skills zozote yani anapigana kama jitu la mtaani hana head movement, hana combos zozote, wala foot movement hana yani ni stiff fighter sana zaidi ya ngumi nzito hana cha ziada kwenye ulingo ni mda apumzike baada ya ili pambano.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
I agree with u 100%.
 
Huo muda wakusubiria na siku ikifika Muangalie huo mpambano mnautoa wapi?

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na tu mapori hayajaendelezwa lakini njemba mnajikusanya makundi kwa makundi mbele ya TV kuangalia wanaume wengine wakipigana.

Mbona tunaendekeza anasa wakati mama kaachiwa nchi ikiwa hovyo badala ya kumsaidia kujenga taifa?

Tunaelekea wapi kama taifa?
Saa tisa usiku tukaendeleze mashamba? Embu hama kwa shemeji kwanza acha makasiriko.
 
Katika bondia ambaye wanamu overrate ni wilder hana skills zozote yani anapigana kama jitu la mtaani hana head movement, hana combos zozote, wala foot movement hana yani ni stiff fighter sana zaidi ya ngumi nzito hana cha ziada kwenye ulingo ni mda apumzike baada ya ili pambano.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Well said simuelew kabisa jamaa anayejiita bronze bomber hana footwork.
 
Ngoja tuone...
Waafrika wengi bado tuna dhana ya kujichukia. Mleta uzi ameonesha wazi kabisa amelipwa kueneza propaganda. We umeisha ambiwa mpambano wa kwanza kati ya wilder na fury. Wilder almost alitaka kumuua fury kwa kumdondosha mara mbili. Mpambano wa pili fury alidanya kwa kuweka vitu flani illegal kwenye gloves ndo maana akampasua wilder mfupa wa sikio( kitu ambacho hakiwezekani ukiwa na gloves za kawaida kwa mujibu wa specialist na doctors).
Kwa sababu wilder ni mtu mweusi. Propaganda ikaenezwa fasta fasta kuwa wilder ni mlalamishi tu aliepigwa. na fury ndo bingwa.
Lakini wilder alivoenda mahakamani alishinda kesi ndo maana mpaka trilogy inafanywa ambayo fury alikua amekwisha ikataa na kulazimisha kupigana na antony joshua. Lakini hakuwa na namna maana sheria ilimbana ndo maana leo inamlazimu kupigana na wilder
 
Waafrika wengi bado tuna dhana ya kujichukia. Mleta uzi ameonesha wazi kabisa amelipwa kueneza propaganda. We umeisha ambiwa mpambano wa kwanza kati ya wilder na fury. Wilder almost alitaka kumuua fury kwa kumdondosha mara mbili. Mpambano wa pili fury alidanya kwa kuweka vitu flani illegal kwenye gloves ndo maana akampasua wilder mfupa wa sikio( kitu ambacho hakiwezekani ukiwa na gloves za kawaida kwa mujibu wa specialist na doctors).
Kwa sababu wilder ni mtu mweusi. Propaganda ikaenezwa fasta fasta kuwa wilder ni mlalamishi tu aliepigwa. na fury ndo bingwa.
Lakini wilder alivoenda mahakamani alishinda kesi ndo maana mpaka trilogy inafanywa ambayo fury alikua amekwisha ikataa na kulazimisha kupigana na antony joshua. Lakini hakuwa na namna maana sheria ilimbana ndo maana leo inamlazimu kupigana na wilder

Mkuu lile pambano la kwanza refa alikuwa anachelewa kuesabia zile sekunde,ukiweka na sekunde za kawaida utaona ile moja ilikuwa inavuvya sana mpaka fury anaamka.
 
Mpambano mkali ni kati ya Afe Ajagba na Frank Sanchez, nao ni uzitonwa juu. Huu hauzungumzwi sana. Ila hili ndio bora kuliko hilo la kina wilder.
Mtuwekee link jamani maana pambano la Ajagba na Sanchez ni saa 10 alfajiri. Wilder vs Fury ni saa 12 alfajiri.
Natabiri wilder na Ajagba watashinda
 
Back
Top Bottom