Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Hivi umewahi kujiuliza siku tanzania itakapo chafuka kwa sababu wajinga wachache wanaogombea madaraka (ikulu) ? Maana hali sio mzur kwa nchi zetu za afrika....mi naona kabla hayajatukuta ni bora tukajihami kama wananchi kwa kuandaa mswada wa sheria kwamba, mtu akishindwa uchaguzi afu akasababisha mapigano na watu kupoteza maisha basi na yeye auwawe (anyongwe mpaka kufa). Nadhani wanasiasa waroho wa madaraka watakoma.