ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Habari zenu,
Nasikia kuna bifu la Diamond Platnumz na Kiba na wengi huwa wanalishabikia sana ila ukiuliza chanzo cha bifu lao ni nni hakuna hata shabiki mmoja atakae kujibu maana hawajui. Anyway mimi sikutaka hilo kuliongelea kupitia hili bifu kwa mtazamo wangu kuna mtu atafaidi.
Ipo hivi kama Kiba atachukua tuzo za KTMA akubali akatae bifu la Diamond na yeye limemsaidia yeye kupata hizo tuzo hata zile tuzo za watu akubali akatae kama asinge kuwa na bifu na Diamond basi asingechukua huo ndo ukweli! Bifu la yeye na Diamond limempa mashabiki wengi na kufufua jina lake lilo kuwa linaelekea kufa huo ndo ukweli.
Nyimbo zake zinapendwa sahizi kwa ajili ya bifu lake na diamond huo ndo ukweli.Anapata show kadhaa na interview sababu ni bifu lake na diamond bila hivyoooo kiba sijui. Tujikumbushe show ya Tigo concept kiboko yao kama Kiba asinge kuwa na bifu na Diamond basi ile show ingekula kwake kwanza Tigo wasingemchukua kabisa.
Yeye kuingia kwenye categories nyingi kwenye KTMA ni sababu ya bifu lake na mind bila hivyooo hakuna kitu. Vipo vingi lakini Kiba anapaswa kushukuru sana yeye kuwa na bifu na msanii wa kimataifa bila hivyo basi hata richmavoko alikuwa anakuja kumpita Kiba.
Mwisho Kiba anamtegemea Diamond kutoka lakini Diamond hamtegemei Kiba! Kifupi Diamond ni kiba lakini sio Kiba ni Diamond! Kiba aombe hili bifu lisije kuisha maana ndio kula kwake.
Nasikia kuna bifu la Diamond Platnumz na Kiba na wengi huwa wanalishabikia sana ila ukiuliza chanzo cha bifu lao ni nni hakuna hata shabiki mmoja atakae kujibu maana hawajui. Anyway mimi sikutaka hilo kuliongelea kupitia hili bifu kwa mtazamo wangu kuna mtu atafaidi.
Ipo hivi kama Kiba atachukua tuzo za KTMA akubali akatae bifu la Diamond na yeye limemsaidia yeye kupata hizo tuzo hata zile tuzo za watu akubali akatae kama asinge kuwa na bifu na Diamond basi asingechukua huo ndo ukweli! Bifu la yeye na Diamond limempa mashabiki wengi na kufufua jina lake lilo kuwa linaelekea kufa huo ndo ukweli.
Nyimbo zake zinapendwa sahizi kwa ajili ya bifu lake na diamond huo ndo ukweli.Anapata show kadhaa na interview sababu ni bifu lake na diamond bila hivyoooo kiba sijui. Tujikumbushe show ya Tigo concept kiboko yao kama Kiba asinge kuwa na bifu na Diamond basi ile show ingekula kwake kwanza Tigo wasingemchukua kabisa.
Yeye kuingia kwenye categories nyingi kwenye KTMA ni sababu ya bifu lake na mind bila hivyooo hakuna kitu. Vipo vingi lakini Kiba anapaswa kushukuru sana yeye kuwa na bifu na msanii wa kimataifa bila hivyo basi hata richmavoko alikuwa anakuja kumpita Kiba.
Mwisho Kiba anamtegemea Diamond kutoka lakini Diamond hamtegemei Kiba! Kifupi Diamond ni kiba lakini sio Kiba ni Diamond! Kiba aombe hili bifu lisije kuisha maana ndio kula kwake.