Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,899
- 20,101
Mleta mada unaelewa maana ya kampuni? Tangu lini Deni la kampuni likawa la mtu binafsi.
Bora hata ungesema kwa wanaofanya biashara kwa kutumia bussiness name at least Inge make sense.
Bora hata ungesema kwa wanaofanya biashara kwa kutumia bussiness name at least Inge make sense.