Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,899
- 20,103
Pumbav huna unalojua ng'ombe weweWewe ndio ulikua huelewi unachokisema mpaka mtu mmoja hapo naona amekuelemisha. Kujifanya ujuaji kwenye hakuna. Mada inazungumzia TIN na waajiriwa. Wewe uje uweke mambo ya kampuni sijui TIN ya kampuni.
Kampuni toka lini ikawa muajiriwa. Kampuni ni mtu kisheria na hivyo inakua na TIN yake. Hiyo haimzuii share holder pia kuwa na TIN yake au kuwa muajiriwa.