Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #21
Huyu haelewi athari za muda mrefu lockdown kwa uchumi duniani. Watu wamesaamua haiwezekani kuendelea ku-lockdown. Watu wataishije? Shughuli duniani zitafanywaje? Wameshaamua kwamba it is inevitable watu wengi watakufa, lakini sasa maisha yataendelea kwa wanaobakiWatetea lockdown mna shida kweli,!
Sikia bwana mdogo, duniani huko wameonaa lockdown ni upuuzi ndio maana leo wanaondoa, watu wanarudi makazini pamoja na visa vya mambukizi kuripotiwa kila siku...
Halafu Trump anaona kama hizi lockdown zinawanufaisha China peke yao kiuchumi, na wanazidi kumkaribia USA kwa economic strength baada ya kumpita Japan. Hilo USA hawawezi kulikubali hata siku moja, wako tayari kufanya lolote kwa China ili wa-maintain position yao ya kwanza kama biggest world economy. Hii G-5 tu ya mawasiliano USA wamewafanyizia China ili kuwstop hadi wakaweza kufanikisha ya kwao!