Kwa sasa dunia imetopea kwa maovu ya kila namna hadi mengine hayaelezeki, mfano, wanaume kuoana na kuingiliana wao kwa wao, chuki, fitina, majungu, mauaji, dhuluma, ushirikina, uchawi, ulozi, roho mbaya, husda, tamaa mbaya, uasherati, wizi, ufisadi, kutomwabudu Mungu nk. nk. Sasa utaona ni kitu gani korona inajaribu kufanya.....kuisafisha dunia kutokana na uovu na watenda maovu, matukio yaliyoelezwa kwenye kitabu cha ufunuo kama alivyoeleza mdau hapo juu yameshaanza ni swala la muda, kufumba na kufumbua dunia inaweza kuingia katika hali mbaya sana ya machafuko.....kitu cha muhimu ni kuwa waangalifu tusije kuangamia na watenda maovu.