Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

Exactly....
Kwa sababu tukianza kubaguana kikanda kila mtu anajua nani ataibuka mshindi...
Wanasiasa ni wabinafsi sana...
wanatengeneza mabomu yanayokuja kuwajerui na wao pia...
tension ya ukabila na udini iko juu sana uchaguzi huu ingawa tuna pretend kuwa everything is ok...
watu wakazikazini wana akili kwenye ubongo hawana matope kwenye vichwa vyao ndiyo maana ccm wameshindwa kuiba huko na siku rais akitokea huko utasema kwanini alichelewa kutokea huko!
masikini na mafukura na majinga ndio mtaji wa ccm !
 
Watanzania wamewachoka WATU wa kanda ya kaskazini

watu wakazikazini wana akili kwenye ubongo hawana matope kwenye vichwa vyao ndiyo maana ccm wameshindwa kuiba huko na siku rais akitokea huko utasema kwanini alichelewa kutokea huko!
masikini na mafukura na majinga ndio mtaji wa ccm !
 
Exactly....
Kwa sababu tukianza kubaguana kikanda kila mtu anajua nani ataibuka mshindi...
Wanasiasa ni wabinafsi sana...
wanatengeneza mabomu yanayokuja kuwajerui na wao pia...
tension ya ukabila na udini iko juu sana uchaguzi huu ingawa tuna pretend kuwa everything is ok...

yes watu hawautaki ukweli huu na ni ngumu kumeza. mwambieni mbowe asikifanye chadema cha wachaga then wasukuma nao wataacha
 
Wakati waTz wanapambana kuondoa hizi elements za ukabila, ukawa wanaeneza ukaskazini. Ndio maana mmepigwa mikoa yote Tanzania bara ukiacha hiyo mikoa mitatu ya kaskazini na sio majimbo yote. Mliambiwa uchaguzi ukiiisha mtabaki ukiwa.

Mbona huzumzii wasukuma mbona wamepiga kura kikanda tuache kuwa biased tuwe fair. Tukianza kuwazungumzia watu wa Kaskazini kiubaguzi mambo hayatakuwa sawa.kwani ni dhambi kuchagua chama kikingine ambacho si ccm.mbona kule ambako ccm wamechukua majimbo yote hatusemi kuwa wamepiga kikanda.this is not fair.Hii nchi ni yetu sote si nchi ya wana ccm wala ukawa.uchaguzi wa watu haupaswi kujadiliwa.
 
Samahani mkuu tukumbushane kidogo ccm ndo chama gani.Sisi tunajua chadema na tlp tu usijekuwa unachanganya na vya nchi za jirani manake huko kidogo ndo sijui vyama vyao

Ahaaa unataka kuijua ccm eeeehhh basi we fungua tv yako leo saa 4 asb
 
Wanabodi,

Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 6!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!.

Namalizia kwa kusisitiza, huu ni mtazamo tuu!

Wasalaam.

Pasco
Arusha.

Nilichokiona mimi huku kanda yetu ya ziwa ni dhahili Lowasa ameshindwa kwa haki na hajaibiwa kura yoyote,CDM ktk kipindi kijacho wajitahidi sana kuondoa uongozi wenye vinasaba vya ukanda mmoja,lakini pia kama wapinzani wawe wanaangalia na kauli za kuwaaminisha watanzania alafu baada ya muda wanageuka tena na kwa jambo lile lile na kulisafisha,hapo nazungumzia kauli walizozitoa za ufisadi wa EL na kisha kuja kumsafisha tena,kuna watanzania siyo waongeaji ila wanajua kupima mambo na wanaamua kupitia sanduku la kura.swala la ukanda liwepo au lisiwepo lakini limeleta madhara makubwa kwao kwa sababu mimi binafsi nilikua nasikia kauli nyingi kwa watu vijiweni hapa Mwanza kua na sisi tutampigia kura wa kwetu kanda yetu,hili jambo ni baya hapa Tanzania likipamba moto,ikumbukwe kwamba kanda ya ziwa ina watu wengi sana na wakiamua kupiga kura kwa wingi juu ya chama fulani lazima chama hcho kitoboe,lakini pia jambo hli tukubali lina ukweli ndani yake na liepukwe,jaribu kufikili ukiitamka CCM pamoja na mabaya yake lakini huwezi ona CCM ni ya wapi kwa maana ya ukanda,utaiona CCM pote Tanzania,lakini ukiitamka CDM katika masikio ya watu na ufahamu wao wanaiona picha ya ukanda wa Arusha na Kilimanjaro,hili ni kosa kubwa,nchi hii ni kubwa mno ya makabila kwa makabila na ktk chama chochote wanapaswa kuiondoa hii picha.ASANTE
Hapa umesema kweli, Kanda ya Ziwa ndio determinant!.

Pasco
 
Leo Rais wa JMT atalihutubia taifa kutokea pande hizi, hivyo tumsikilize kwa makini kama hutuba yake itajikita kitaifa tuu, au pia ataongea kidogo kama Mwenyekiti wa CCM, maana pande hizi CCM ina hali mbaya sana!.

Paskali
 
Hili la polisi kupiga mabomu ya machozi Moshi, halikuanza leo Lowassa, lilianzia enzi za Omari Mahita ikiwa RPC wa mkoa wa Kilimanjaro alimvurumishia mabomu ya machozi Lyatomga Mrema, hadi mahita kupewa u IGP.

Angalia hapa

Natoa wito kwa watu wa Kanda ya Kaskazini kuipenda CCM ili kuepuka mabomu ya machozi.
Paskali
Acha ujinga mkuu.

Eti watu waipende CCM kisa Mabomu ya Machozi

Ninyi CCM ni wepesi sana kama pamba.

Polisi ndio nguzo yenu kwa sasa.
 
Hili la polisi kupiga mabomu ya machozi Moshi, halikuanza leo Lowassa, lilianzia enzi za Omari Mahita ikiwa RPC wa mkoa wa Kilimanjaro alimvurumishia mabomu ya machozi Lyatomga Mrema, hadi mahita kupewa u IGP.

Angalia hapa

Natoa wito kwa watu wa Kanda ya Kaskazini kuipenda CCM ili kuepuka mabomu ya machozi.
Paskali
Mapenzi ya kulazimisha yako kwenu Usukumani yanaitwa "CHAGULAGA", mnataka kulazimisha na wengine wafuate mila zenu za ovyo?
 
Nguvu ya CCM imebaki kutegemea nguvu za dola!Siyo kaskazini CCM imechokwa kila mahali inatakiwa ijitathimini rejea miji ifuatayo ambayo iko pembezoni Bukoba(CDM),Tanga(CUF),Mtwara(CUF),Mbeya-Tunduma(CDM),Musoma(CDM).
Umenena vyema, ila dola nayo haina marobot ni watu..watachoka! Kinachoendelea Zimbabwe kwa mtu wa kujifunza angeishapata funzo!
 
Taratibu tunaanza kuingia kwenye siasa za ukanda.
Ni kweli kuwa kanda ya Kaskazini iko dominated na Chadema pengine ni kutokana na viongozi wengi waandamizi kutoka ukanda huo.

Sio kwamba eti CCM imechokwa ukanda wa Kaskazini, bali Chadema ndio imedominate ukanda huo.
Ili kuondokana na siasa za ukanda, ukabila na umangimeza vyama vya siasa nchini vijitahidi kujiunga pamoja kuleta taswira ya kitaifa kuanzia ngazi mbalimbali za uongozi.

Sehemu moja ya nchi kujifanya wao ndio wenye akili sana ya kuwaelimisha wenzao juu ya haki na wajibu wao ilihali hawawapi nafasi watu hao, huo ni unafiki wa hali ya juu.

Ni wazi kuwa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni kampuni binafsi za watu /kikundi fulani kinachotumia matatizo ya watu kama mtaji na pengine kuzalisha matatizo ili baadae kinapofanya utatuzi kionekane kimefanya kazi.

Ni bora tukaanza upya siasa hizi, na kama itaonekana inafaa baadhi ya misingi iliyopelekea kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ihuishwe ili kuleta ukombozi wa kweli kiuchumi kutakako pelekea kuondoa mirija ya ubeberu iliyojificha katika mwamvuli wa vyama vingi.
 
Taratibu tunaanza kuingia kwenye siasa za ukanda.
Ni kweli kuwa kanda ya Kaskazini iko dominated na Chadema pengine ni kutokana na viongozi wengi waandamizi kutoka ukanda huo.

Sio kwamba eti CCM imechokwa ukanda wa Kaskazini, bali Chadema ndio imedominate ukanda huo.
Ili kuondokana na siasa za ukanda, ukabila na umangimeza vyama vya siasa nchini vijitahidi kujiunga pamoja kuleta taswira ya kitaifa kuanzia ngazi mbalimbali za uongozi.

Sehemu moja ya nchi kujifanya wao ndio wenye akili sana ya kuwaelimisha wenzao juu ya haki na wajibu wao ilihali hawawapi nafasi watu hao, huo ni unafiki wa hali ya juu.

Ni wazi kuwa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni kampuni binafsi za watu /kikundi fulani kinachotumia matatizo ya watu kama mtaji na pengine kuzalisha matatizo ili baadae kinapofanya utatuzi kionekane kimefanya kazi.

Ni bora tukaanza upya siasa hizi, na kama itaonekana inafaa baadhi ya misingi iliyopelekea kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ihuishwe ili kuleta ukombozi wa kweli kiuchumi kutakako pelekea kuondoa mirija ya ubeberu iliyojificha katika mwamvuli wa vyama vingi.
Hizi ni dalili za kuelemewa! Ni chama kipi ambacho ni kampuni ya watu binafsi? tatizo la wadanganyika ni unafiki. Watu hawataki kabisa kuzungumza ukweli, wanapindishapindisha mambo sijui kwa maslahi ya nani. Kwa mfano, suala hili la ukanda limeanzishwa na CCM wenyewe kwa kudhani wanapiga propaganda ili Chadema kichukiwe kuwa ni chama cha kikanda. Na bahati mbaya sana, wakati CCM ikikichafua Chadema kuwa ni chama cha wachaga na watu wa kaskazini, hata safu ya uongozi haikuwa mikononi mwa wachaga peke yao, lakini CCM wakitumia wapambe wao, na magazeti uchwara, wakati huo walieneza sana huu upupu. Na wafuasi wa CCM waliona ni strategy nzuri, hawakujua kama itawageuka tu. Watu wa kanda ya kaskazini, hata kama wanaipenda Chadema, lakini CCM imeshiriki kuwafanya waipende zaidi!
 
Pascal naona umerudi kuzunguka na Lowasa kwenye kampeni za udiwani kwa kazi ya PR ya kujenga image nzuri ya Chadema at a fee.kuukosa ukurugenzi wa habari ikulu kama lowasa angeshinda naona bado uko unauwewesekea.
 
Nchi ya kidemokrasia na watu waliostaarabika kunakuwa na vyama vyenye nguvu inayokaribiana ili wananchi waweze kubadilisha inapobidi.
Watu wa kaskazini wanajua maana halisi ya vyama vingi, CCM wapo tena wenye nguvu na chadema vivyo hivyo.
Demokrasia ya vyama vingi inayoendeshwa kuna uhusiano wa moja kwa moja na ustaarabu.
 
Back
Top Bottom