Hawawezi ruhusu demokrasia huru sababu wanajua ndo itakuwa mwisho wao hivo lzm watumie mabavu,mifano hai ni idadi ya wapiga kura kwenye chaguzi hizi zilizofanyika January hii idadi ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana.Kulazimisha kupendwa ni kazi ngumu sana.ccm kama sio mabavu, wizi, rushwa, hadaa na kutumia mapolisi uchaguzi wa haki na huru ukifanyika mchana kweupe kabla jua halijageuka watakuwa wameondolewa madarakani.