Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

ccm kama sio mabavu, wizi, rushwa, hadaa na kutumia mapolisi uchaguzi wa haki na huru ukifanyika mchana kweupe kabla jua halijageuka watakuwa wameondolewa madarakani.
Hawawezi ruhusu demokrasia huru sababu wanajua ndo itakuwa mwisho wao hivo lzm watumie mabavu,mifano hai ni idadi ya wapiga kura kwenye chaguzi hizi zilizofanyika January hii idadi ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana.Kulazimisha kupendwa ni kazi ngumu sana.
 
Paschal at his best.Nitauchukulia kwamba huu ni udaku mpaka utakapo clarify your data collection methods and analysis.Without that clarification nyamaza milele.No research,no right to speak.
Mkuu Area51, sio kila kitu ni mpaka ufanye utafiti, hata baadhi ya scientific proofs zinatokana na results and the byproducts na sio the chemical reaction, kama crude oil inatokana na biological sedimentations za tufani ya Noah, hakuna aliyeona tufani hiyo!. Au volcanic eruptions inatokana na magma ya moto chini ya ardhi, hakuna aliyechimba na kuishuhudia hiyo magma ya moto huko chini, kinachopimwa ni matokeo ya hiyo volcano iliyopoa baada ya kulipuka.

Vivyo hivyo katika mkoa wa Kilimanjaro, CCM imechokwa mpaka basi, majimbo karibu yote ya mkoa huu, yameshikwa na upinzani. Hii ilimletea shida sana rais Magufuli katika kuteua mawaziri kwa kigezo cha inclusiveness, alikosa watu ikambidi ambebe tuu Prof. Maghembe licha ya kuwa ni mzigo, hadi aliposhindwa kubebeka, ndipo akambwaga!.

Pia ni kweli Chadema ilikuwa na majimbo matatu Kanda ya Ziwa, but very unfortunately Chadema hawakujua what they had, wakarelax na CCM walijua what does it mean to loose Kanda ya Ziwa, ndio they did, what they did na matokeo sote tunayajua!.

Sasa unataka utafiti gani au kama wa Twaweza?.

Paskali
 
Mkuu Area51, sio kila kitu ni mpaka ufanye utafiti, hata baadhi ya scientific proofs zinatokana na results and the byproducts na sio the chemical reaction, kama crude oil inatokana na biological sedimentations za tufani ya Noah, hakuna aliyeona tufani hiyo!. Au volcanic eruptions inatokana na magma ya moto chini ya ardhi, hakuna aliyechimba na kuishuhudia hiyo magma ya moto huko chini, kinachopimwa ni matokeo ya hiyo volcano iliyopoa baada ya kulipuka.

Vivyo hivyo katika mkoa wa Kilimanjaro, CCM imechokwa mpaka basi, majimbo karibu yote ya mkoa huu, yameshikwa na upinzani. Hii ilimletea shida sana rais Magufuli katika kuteua mawaziri kwa kigezo cha inclusiveness, alikosa watu ikambidi ambebe tuu Prof. Maghembe licha ya kuwa ni mzigo, hadi aliposhindwa kubebeka, ndipo akambwaga!.

Pia ni kweli Chadema ilikuwa na majimbo matatu Kanda ya Ziwa, but very unfortunately Chadema hawakujua what they had, wakarelax na CCM walijua what does it mean to loose Kanda ya Ziwa, ndio they did, what they did na matokeo sote tunayajua!.

Sasa unataka utafiti gani au kama wa Twaweza?.

Paskali
Pasco ur very ryt asee..chadema walipopewa kanda ya ziwa walijisahau cjui nahisi mayb sio kaskazini..wakabweteka..wakasahau kwamba ni sehemu potential kuliko hata knjar ambapo wametawala..na hilo ndilo lililoleta matokeo haya
 
Pasco ur very ryt asee..chadema walipopewa kanda ya ziwa walijisahau cjui nahisi mayb sio kaskazini..wakabweteka..wakasahau kwamba ni sehemu potential kuliko hata knjar ambapo wametawala..na hilo ndilo lililoleta matokeo haya
Kiukweli kabisa, kama Chadema wangejipanga, 2015 walikuwa waingie Ikulu!.

Angalia hapa nilisema nini na lini!.

CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni!

Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Paskali
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, nipatapo fursa, hupita huku na kule na kubadilishana mawazo na watu mbalimbali wa kada tofauti. Kwa takriban siku 3 zilizopita, nimepata fursa ya kutembelea mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ambayo ndiyo inayo dorminate Kanda ya Kaskazini, kiukweli pande hizi CCM ina hali mbaya sana, huku CCC Imechokwa sana mpaka basi!.

Kama CCM Imechokwa, Mbona Inachaguliwa na Inashinda?
Siku zote nimekuwa nikisema humu, kuwa kuna baadhi ya maeneo CCM imechokwa ila bado CCM imekuwa ikichaguliwa na wengi sio kwa sababu ya kupendwa au kukubalika sana, hapana!, CCM imekuwa ikichaguliwa na wengi kwa sababu ya mazoea tuu wengi wakiichagua CCM kwa sababu ndicho chama pekee walichokifahamu tangu wamezaliwa, na wengine wakikichagua CCM kama asante ya kutuletea uhuru kupitia TANU, na idadi kubwa ya walio vijijini, wamekuwa wakiichagua CCM kwa ignorance tuu ya elimu ya uraia!. Sasa wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu kama asante ya kutupatia uhuru, kwa sasa ni oldguards, wamezeeka, wanazidi kupungua na wachache waliobakia their days are numbered!. Wale wengi waliokuwa wakiichagua CCM kwa ignorance, sasa wameanza kuerevuka na wameanza kuamka!.

Tabia za Maeneo CCM ya Stronghold za CCM na Stronghold za Opposition.
Stronghold ni eneo lenye nguvu ya chama fulani. Mfano CUF Stronghold yake ni Pemba, Chadema Stronghold yake ni Kanda ya Kaskazini, na CCM inamiliki maeneo mengine yote. Tabia za maeneo wanayochagua wapinzani, ni maeneo yenye maendeleo, watu wake wanajiweza kidogo kiuchumi hivyo wamesoma na kuelimika, hawawezi kudanganyika kirahisi rahisi. Kanda ya Kaskazini, ndio inayoongoza kwa high literacy levels ikifuatiwa na Bukoba, Mbeya Mwanza na Iringa, majiji yote yameshikwa na upinzani sababu watu wana nguvu ya kiuchumi hivyo wameelimika na kufuta ujinga hivyo wamechagua upinzani.

Maeneo ya Stronghold ya CCM, ni maeneo yote yenye umasikini uliotope na low literacy levels, hivyo ni rahisi kudanganyika na kuna wanaoichagua bila kujua wanachagua nini!. Hivyo CCM itazidi kuchaguliwa as long as umasikini unaendelea.

Majaaliwa ya CCM Kanda ya Kaskazini
Kwa mujibu wa kada mbalimbali za wale niliozungumza nao, wamenithibitisha pasi shaka kuwa hakuna jinsi yotote wagombea wa CCM wa kanda hii kama Ole Sendeka, Ole Medeye na Ole Nang'uro wataweza kusalimika, sehemu pekee salama kwa CCM mpaka sasa ni Jimbo la Monduli tuu kwa sababu ya Lowassa!, na maeneo ya upareni nako CCM bado ni salama kwa sababu ya umasikini uliotopea, lakini kungine kote, Kanda ya Kaskazini, CCM haina chake, CCM haipati kitu!.

Kama kasi ya upepo wa mwamko kama huu wa Kanda ya Kaskazini kuichukia CCM, utaingia kanda ya Ziwa kwa kasi hiyo hiyo, then amini usiamini, hakuna jinsi yoyote ya kuiokoa CCM isipigwe mwereka uchaguzi wa 2015, CCM inakwenda kupigwa chini!. Kwa vile hili CCM pia wanalijua, mtashuhudia juhudi za ziada kwa CCM kuelekeza nguvu nyingi na nguvu kubwa ya ziada
kwenye kanda hii ya Ziwa na kwa vile tayari kuna majimbo matatu Kanda ya Ziwa yako chini ya Chadema, kama Chadema itaendelea kuyas
hikilia na kuongeza kasi ya Chadema kukubalika na kupendwa kanda ya Ziwa, kiukweli kabisa, CCM itakuwa kwenye hali mbaya sana kwenye kanda hii hivyo inakwenda kuandika!.

Determinant ya Rais wa Tanzania ni Kanda ya Ziwa.
Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 10!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!, hivyo CCM kwa kulitambua hili, itatumia nguvu yake yote by all means, by hooks and crooks kuyakomboa majimbo haya matatu ya Kanda ya Ziwa, na mshishangae, ili kujiokoa, CCM inaweza kabisa kutafuta mgombea wa urais kutoka kanda hii ya Ziwa ili kujiokoa kwa kuwahonga watu wa kanda ya Ziwa kwa mgombea urais, hiyo watu kama John Pombe Magufuli, Andrew Chenge, Masha, Ngeleja, Kitwanga, are men to watch very closely, hata kama mgombea huyo atakuwa hana sifa za kutosha kuwa rais bora, kwa CCM iko tayari kutupatia bora rais kuliko kuanguka huku inajiangalia!, kwa CCM kinachotakiwa ni ushindi na sio sifa za mgombea!.

Mwelekeo huu ni uthibitisho kuwa ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, sio ndoto tena, ni kitu ambacho kinawezekana kabisa kutokea kama upinzani utaimlilki kanda ya Ziwa.

Tuache Siasa za Ukanda na Ukabila, au Tuzidumishe Ili Mtu wa Kanda/Kabila Yetu Ndie Ashinde?.
Natoa mwito kwa Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu, tusiendekeze hizi siasa za chuki za kukichukia chama fulani bila sababu za msingi ya chuki hiyo, au kukipenda na kikishabikia chama fulani kwa upenzi tuu, matokeo ya mwisho ya siasa hizi ni kujengeana chuki zisizo na sababu!. Tupingane bila kupigana, tutofautiane kisiasa bila kuchukiana bali tupingane kwa hoja huku tukipendana!.

Hata mimi uchaguzi wa Arumeru, nilisimama na Sioi, tumekutana na Nasari pale Bungeni Dodoma, tumekumbatiana, na kiukweli kutoka moyoni mwangu, sina chuki na Nasari, namkubali sana tuu kwa dhati na kupongeza kwa ushindi, huku nikiendelea kushikamana na Sioi kwa sababu ni rafiki!.

Wito Kwa Watu wa Kanda ya Kaskazini
Wito wangu kwa nyie watu wa Kanda ya Kaskazini, msiichukie hivyo CCM, kwani pamoja na mabaya yake yote ya CCM, kulea rushwa na ufisadi na kutuletea umasikini na kulea ujinga kwa kuutumia kama mtaji wake wa ushindi, pia kuna mema na mazuri yake mengi ambayo CCM imelifanyia taifa hili ikiwemo kutuletea maendeleo japo kiduchu, lakini pia imetuletea hazina ya amani na utulivu ambazo ni tunu kubwa kuliko maendeleo, hivyo tuichukie CCM kwa mabaya yake na kupenda kwa mema na mazuri yake!.

Namalizia kwa kusisitiza, huu ni mtazamo tuu!

Wasalaam.

Paskali
Kirua Vunjo, Moshi Vijijini
Rejea
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...
Ni upuuzi kuwagawa watanzania kikanda,kikabila na kidini ...
Ni kweli kuna makabila yasiyotakiwa kutoa rais wa nchi? | Page 7 ...
Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini! | Page 42 ...
Paskali Mayalla leo ndio nimesoma andiko lako ila uliona mbali, na mimi niseme tu mubashara siipendi ccm kwa sababu ya kuutumia umaskini na ujinga kutawala tanzania
 
Ndugu nimesoma hii uzi leo ase upo high iq sana kaka
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, nipatapo fursa, hupita huku na kule na kubadilishana mawazo na watu mbalimbali wa kada tofauti. Kwa takriban siku 3 zilizopita, nimepata fursa ya kutembelea mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ambayo ndiyo inayo dorminate Kanda ya Kaskazini, kiukweli pande hizi CCM ina hali mbaya sana, huku CCM Imechokwa sana mpaka basi!.

Kama CCM Imechokwa, Mbona Bado Inachaguliwa na Inaendelea Kushinda?
Siku zote nimekuwa nikisema humu, kuwa kuna baadhi ya maeneo CCM imechokwa ila bado CCM imekuwa ikichaguliwa na wengi sio kwa sababu ya kupendwa au kukubalika au kuleta maendeleo, hapana!, CCM imekuwa ikichaguliwa na wengi kwa sababu ya mazoea tuu kutokana na CCM ndicho chama pekee kilichotapakaa nchi nzima, hivyo wengi wakiichagua CCM kwa sababu ndicho chama pekee kilichopo maeneo yao walichokifahamu tangu wamezaliwa, na wengine wakikichagua CCM kama asante ya kutuletea uhuru kupitia TANU, na idadi kubwa ya walio vijijini, wamekuwa wakiichagua CCM ama kwa uwepo wake pekee, ana kwa ignorance tuu ya elimu ya uraia!. Sasa wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu kama asante ya kutupatia uhuru, kwa sasa ni oldguards, wamezeeka, wanazidi kupungua na wachache waliobakia their days are numbered!. Wale wengi waliokuwa wakiichagua CCM kwa ignorance, sasa wameanza kuerevuka na wameanza kuamka!, moja ya maeneo ambayo watu wameamka ni Kanda ya Kaskazini.

Tabia za Maeneo ya Stronghold za CCM na Stronghold za Opposition.
Stronghold ni eneo lenye nguvu ya chama fulani. Mfano CUF Stronghold yake ni Pemba, Chadema Stronghold yake ni Kanda ya Kaskazini na maeneo ya mini kwenye mimi mikubwa na tajiri kiuchumi, CCM inamiliki maeneo mengine yote. Tabia za maeneo wanayochagua wapinzani, ni maeneo yenye maendeleo, watu wake wanajiweza kidogo kiuchumi hivyo wamesoma na kuelimika, hawawezi kudanganyika kirahisi rahisi. Kanda ya Kaskazini, ndio inayoongoza kwa high literacy levels ikifuatiwa na Bukoba, Mbeya Mwanza na Iringa, majiji yote makubwa, yameshikwa na upinzani sababu watu wana nguvu ya kiuchumi hivyo wameelimika na kufuta ujinga hivyo wamechagua upinzani. Hii inamaana kwa kadri Watanzania wengi wanavyozidi kuelimika na kufuta ujinga, ndivyo upinzani utakavyo zidi ku gain grounds.

Maeneo ya Stronghold ya CCM, ni maeneo yote yenye umasikini uliotope na low literacy levels, hivyo ni rahisi kudanganyika na kuna wanaoichagua bila kujua wanachagua nini!. Hivyo CCM itazidi kuchaguliwa kwa kupata ushindi wa jumla as long as ujinga na umasikini uliotopea utaendelea.

Majaaliwa ya CCM Kanda ya Kaskazini
Kwa mujibu wa kada mbalimbali za wale niliozungumza nao, wamenithibitisha pasi shaka kuwa hakuna jinsi yotote wagombea wa CCM wa Kanda hii Kaskazini kama Ole Sendeka, Ole Medeye na Ole Nang'uro Ole Milya etc wataweza kusalimika, sehemu pekee salama kwa CCM mpaka sasa ni Jimbo la Monduli tuu kwa sababu ya Lowassa!, na maeneo ya Tanga na upareni nako CCM bado ni salama kwa sababu ya umasikini uliotopea, lakini kungine kote, Kanda ya Kaskazini, CCM haina chake, CCM haipati kitu!.

Kama kasi ya upepo wa mwamko kama huu wa Kanda ya Kaskazini kuichukia CCM, utaingia kanda ya Ziwa kwa kasi hiyo hiyo, then amini usiamini, hakuna jinsi yoyote ya kuiokoa CCM isipigwe mwereka uchaguzi wa 2015, CCM inakwenda kupigwa chini!.

CCM Hili Wanalijua, Jee Itajikalia Tuu Kusubiria Kifo?.
Kwa vile hili CCM pia wanalijua, mtashuhudia juhudi za ziada kwa CCM kuelekeza nguvu nyingi na nguvu kubwa ya ziada kwenye kanda hii ya Kaskazini ili destabilize upinzani, na hata ikibidi kutumia ile 'universal language' ya "penye uzia penyeza rupia", then rupia zinaweza kupenyezwa.

Kufuatia Kanda ya Kaskazini kuwa ni stronghold ya opposition na sasa kwenye Kanda ya Ziwa tayari kuna majimbo matatu yako chini ya Chadema, kama Chadema itaendelea kuyashikilia na kuongeza kasi ya Chadema kukubalika na kupendwa kanda ya Ziwa, kama ilivyokubalika Kanda ya Kas, kiukweli kabisa, hiki ndio kitakuwa kifo cha CCM na itakuwa kwenye hali mbaya sana na kuwa na wakati mgumu kuwahi kutokea kwasababu Kanda ya Ziwa ndio Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania. Swali linabaki ni Jee CCM itakubali hili litokee?. CCM itakubali kujiangalia wakati inakwenda kufa kibudu?.

Determinant ya Rais wa Tanzania ni Kanda ya Ziwa.
Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 10!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!, hivyo CCM kwa kulitambua hili, itatumia nguvu yake yote, all its mighty powers by all means, by hooks and crooks kuyakomboa majimbo haya matatu ya Kanda ya Ziwa, na naomba mshishangae, kama ili kujiokoa, CCM inaweza kabisa kutafuta mgombea wa urais kutoka kanda hii ya Ziwa ili kujiokoa kwa kuwahonga watu wa kanda ya Ziwa kwa hongo kubwa kabisa ya mgombea urais, hiyo watu kama John Pombe Magufuli, Andrew Chenge, Laurent Masha, Ngeleja, Kitwanga, are men to watch very closely, hata kama mgombea huyo atakuwa hana sifa za kutosha kuwa rais bora, kwa CCM iko tayari kutupatia bora rais as long as atatoka Kanda ya Ziwa kuliko kuanguka huku inajiangalia!, kwa CCM kinachotakiwa ni ushindi na sio sifa za mgombea!, the end justifies the means.

Mwelekeo huu ni uthibitisho kuwa ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, sio ndoto tena, ni kitu ambacho kinawezekana kabisa kutokea kama upinzani utajitambua kwa kushikilia kwa makini kile kilicho mkononi na kuongeza juhudi za kuimililki kanda ya Ziwa, hivyo vita kuu ya kisiasa nchini Tanzania kuelekea 2015 ni nani ataimiliki Kanda ya Ziwa. Chadema ikifanikiwa, CCM inapigwa chini, ila CCM ikifanikiwa kuikomboa Kanda ya Ziwa, then 2015 ni CCM tena, na kitakacho fuatia kwa CCM ya 2015 ni kuikomboa Kanda ya Kaskazini na kusema ukweli hii ndio itakuwa kazi ngumu kweli kweli, ila kama itatumika ile 'universal language', kuna msemo "hakuna mkate mgumu mbele ya chai", mkate hata uwe mgumu vipi ukiuchovya ndani ya chai, unalainika!

Tuache Siasa za Ukanda na Ukabila, au Tuzidumishe Ili Mtu wa Kanda/Kabila Yetu Ndie Ashinde?.
Natoa mwito kwa Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu, tusiendekeze hizi siasa za Ukanda, zitajenga chuki za kukichukia chama fulani bila sababu za msingi ya chuki hiyo, au kukipenda na kikishabikia chama fulani kwa upenzi tuu, matokeo ya mwisho ya siasa hizi ni kujengeana chuki zisizo na sababu!. Tupingane bila kupigana, tutofautiane kisiasa bila kuchukiana bali tupingane kwa hoja huku tukipendana!.

Hata mimi uchaguzi wa Arumeru, nilisimama na Sioi, tumekutana na Nasari pale Bungeni Dodoma, tumekumbatiana, na kiukweli kutoka moyoni mwangu, sina chuki na Nasari, namkubali sana tuu kwa dhati na kupongeza kwa ushindi, huku nikiendelea kushikamana na Sioi kwa sababu ni rafiki!.

Wito Kwa Watu wa Kanda ya Kaskazini
Wito wangu kwa nyie watu wa Kanda ya Kaskazini, msiichukie hivyo CCM, kwani pamoja na mabaya yake yote ya CCM, kulea rushwa na ufisadi na kutuletea umasikini na kulea ujinga kwa kuutumia kama mtaji wake wa ushindi, pia kuna mema na mazuri yake mengi ambayo CCM imelifanyia taifa hili ikiwemo kutuletea maendeleo japo kiduchu, lakini pia imetuletea hazina ya amani na utulivu ambazo ni tunu kubwa kuliko maendeleo, hivyo tuichukie CCM kwa mabaya yake na kupenda kwa mema na mazuri yake!.

Wito Kwa Wa Kanda ya Ziwa.
Tusikubali kutumiwa kama ngazi ya wengine kupandia kisiasa, kwa vile na mimi ni mtu wa Kanda hii na sisi ndio determinant ya nani anashinda na kukikalia kile kiti cha ikulu yetu, tusikubali kuendelea kutumika tuu kama ngazi kwa wengine kupandia, au kuendelea kuwa na upendo wa mshumaa kumulikia wengine huku kwetu kunateketea, Kanda hii ndio Kanda yenye watu wengi, ndio Kanda yenye mijitu yenye nguvu inayokula na kushiba, ndio Kanda tajiri kuliko Kanda zote, ndio yenye madini ya dhahabu na almasi, ndio wenye Ziwa Victoria lenye samaki watamu Sato, tusikubali kutumiwa kama dodoki kuwasafishia wengine au dekio baada ya deki linatupwa kule, sisi tuna kila aina ya utajiri lakini very unfortunately watu wetu ni masikini wa kutupwa!. Angalia wenzetu wa Kaskazini mbona wameweza kulibwaga hili lidubwana na wanapata maendeleo, na sisi tuamue kulibwaga unless kama 2015 atakuwa ni mmoja wetu!.

Namalizia kwa kusisitiza, huu ni mtazamo tuu!

Wasalaam.

Paskali
Kirua Vunjo, Moshi Vijijini
Rejea
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...
Ni upuuzi kuwagawa watanzania kikanda,kikabila na kidini ...
Ni kweli kuna makabila yasiyotakiwa kutoa rais wa nchi? | Page 7 ...

Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini! | Page 42 ...
 
Paskali Mayalla leo ndio nimesoma andiko lako ila uliona mbali, na mimi niseme tu mubashara siipendi ccm kwa sababu ya kuutumia umaskini na ujinga kutawala tanzania
Mimi nawachukia Wapinzani kwa sababu wameshindwa ku'deliver.. yaani hawana tofauti na CCM tu. Tena they have LOW STANDARD kuliko CCM
Wanategemea kupewa kura kwa sababu watu wameichoka au wameichukia CCM.
Angalia majimbo kama Arusha mjini, Iringa na Mbeya Mjini, hakuna exceptional performance... Yaani vilivyofanyika hata wale wa CCM wangeweza kufanya.
Mwisho watachokwa kwenye maeneo hayo kama ilivyokuwa Dar enzi za Mrema, Lamwai na Mabere Marando
Daima nimekuwa nikiamini OPPOSITION AS THE BEST OPTION na sio kwa sababu there is NO OPTION.
 
Hatimaye kile kitendawili cha Mikutano ya hadhara sasa rasmi kimeteguliwa , hii ni baada ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kutoa Ratiba yake .

Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Itifaki wa Chama hicho John Mrema imedai kwamba , Jiji la Mwanza limeteuliwa kuwa la Kwanza kwa Chadema kufanya mkutano wake wa Hadhara , Mkutano huo unaotarajiwa kuvunja rekodi ya Kitaifa ya Mikutano ya hadhara tangu kuvumbuliwa kwa Tanzania utafanyika tarehe 21/01/2023 .

Mungu ibariki Chadema
Kwa kweli nawapongeza sana kuanzia Mwanza, kwasababu sasa hatimaye Chadema imejitambua na kujua kanda determinant za ushindi kwa uchaguzi wa urais Tanzania ni kanda gani, hivyo wameanzia hapa.
Ushauri huu ulitolewa siku nyingi nyuma!. Mwaka 2010 nilipandisha bandiko hili, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! humo nikasema
Wanabodi,

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja yenye impact ikiwemo kuyashika majiji makubwa katika mikoa the big five!, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala, ili kikabidhiwe nchi, kitawale, Chadema bado kimekaa kichama harakati, hivyo kuna wengi wanakiona kama bado hakijakomaa kiasi cha kukabidhiwa ikulu yetu!.

Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu kwa sasa japo kipo juu, lakini bado hamjakomaa kufikia kiwango cha kukabidhiwa nchi, bado mko kiuana harakati zaidi kuliko ki chama tawala, na hamjajipanga kwa sura ya kitaifa na utayari wa kutawala nchi.

Kwa vile CCM imechokwa na imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu Chadema kuongeza offensive ili kuisindikiza CCM kaburini, kwa kujipanga kimkakati ili muwe na sura ya kitaifa, kwa kuonyesha Watanzania kuwa mmekomaa na mko tayari kutawala, hivyo Watanzania watawamini watawakabidhi nchi mwaka 2015.

Sehemu muhimu kabisa kwa Chadema to keep watch kuhakikisha hamuiachii ni hiyo Kanda ya Ziwa ambayo imeipokonya CCM na kuishika, hii ndio Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii. Aliyeishika Kanda ya Ziwa ndio rais wa Tanzania. Hivyo CCM imeumia sana kupoteza Kanda ya Ziwa na wataelekeza all it might powers to reclaim what it has lost, hivyo Chadema itumie uwezo wake wote kulinda what it has!.

Kwa upande wa Chadema, lazima kibadilike, first and foremost, anzeni na Mwenyekiti wenu Freeman Mbowe, he should go!. Ajiuzulu uenyekiti, ampishe more able person kama Dr. Slaa kwenye usukani wa chama, Katibu Mkuu mpeni Zitto strategically, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, na kulivua lile koti la ukanda na ukabila ili walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura 2015 kwa kujionyesha Chadema ni chama cha wote, dini zote na kanda zote.

Kupumzishwa kwa Freeman Mbowe sio kuwa hafai no, anafaa sana lakini kwa background yake na nature ya kazi zake, as a businessman, hapo alipoifikisha Chadema amaishafanya kazi kubwa na kufikia mwisho wa uwezo wake. Kwa background yake ya a former DJ na sasa ni mfanyabiashara, focus ya wafanyabiashara kote dunia nzima ni maximisation of profits, hivyo Mbowe atahitaji ruzuku ya Chadema itumike kuivest kwenye assets, kwenye vitu vya kuonekanika yaani assets kama magari, mavazi, etc

Ili Chadema kiweze kushika nchi 2015, it has to invest on people na sio ku invest kwenye vitu. Chadema must invest kwenye mass mobilisation na sio kutegemea mikutano ya hadhara na maandamano. Chadema needs to have able people kuiwezesha kushika dola five years to come kwa kutumia reaching out mechanism kuwafikia the mases kwa kumiliki media yake yenyewe. Chadema lazima ifanye recruitment ya able people, watakaokuja kuendesha serikali ya Chadema. Mbowe hawezi kukubali ruzuku ya Chadema itumike to invest on people, it's a loss making venture kwa mfanyabiashara na kuivest kwenye mass media sio profitable investment kwa business man ambaye ni in for profit making. Dr.Slaa na Zitto sio wafanyabiashara hawa ni ma technocrats. Chama kishikwe na wanasiasa watendaji sio wanasiasa wafanyabiashara. Chadema iwekeze kwenye watu na kupanua mtandao wake hadi vijijini, ili kwenda kuiongoa CCM kuanzia kule chini kabisa kwenye mizizi yake ambako ni kule kwenye mashina. Chadema imiliki media yake yenyeshe for mass mobilization na sio kutegemea mikutano na maandamano, huko ni kuendeleza uanaharakati, Chadema inatakiwa kukaa mkao wa kutawala, ikitangaza kitu, kinafika Tanzania nzima!.
Paskali
Mwaka 2012, nikapandisha uzi huu
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi! humo nilisema
Wanabodi,
Determinant ya Rais wa Tanzania ni Kanda ya Ziwa.
Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 10!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!, hivyo CCM kwa kulitambua hili, itatumia nguvu yake yote, all its mighty powers by all means, by hooks and crooks kuyakomboa majimbo haya matatu ya Kanda ya Ziwa, na naomba mshishangae, kama ili kujiokoa, CCM inaweza kabisa kutafuta mgombea wa urais kutoka kanda hii ya Ziwa ili kujiokoa kwa kuwahonga watu wa kanda ya Ziwa kwa hongo kubwa kabisa ya mgombea urais, hiyo watu kama John Pombe Magufuli, Andrew Chenge, Laurent Masha, Ngeleja, Kitwanga, are men to watch very closely, hata kama mgombea huyo atakuwa hana sifa za kutosha kuwa rais bora, kwa CCM iko tayari kutupatia bora rais as long as atatoka Kanda ya Ziwa kuliko kuanguka huku inajiangalia!, kwa CCM kinachotakiwa ni ushindi na sio sifa za mgombea!, the end justifies the means.

Mwelekeo huu ni uthibitisho kuwa ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, sio ndoto tena, ni kitu ambacho kinawezekana kabisa kutokea kama upinzani utajitambua kwa kushikilia kwa makini kile kilicho mkononi na kuongeza juhudi za kuimililki kanda ya Ziwa, hivyo vita kuu ya kisiasa nchini Tanzania kuelekea 2015 ni nani ataimiliki Kanda ya Ziwa. Chadema ikifanikiwa, CCM inapigwa chini, ila CCM ikifanikiwa kuikomboa Kanda ya Ziwa, then 2015 ni CCM tena, na kitakacho fuatia kwa CCM ya 2015 ni kuikomboa Kanda ya Kaskazini na kusema ukweli hii ndio itakuwa kazi ngumu kweli kweli, ila kama itatumika ile 'universal language', kuna msemo "hakuna mkate mgumu mbele ya chai", mkate hata uwe mgumu vipi ukiuchovya ndani ya chai, unalainika!

Tuache Siasa za Ukanda na Ukabila, au Tuzidumishe Ili Mtu wa Kanda/Kabila Yetu Ndie Ashinde?.
Natoa mwito kwa Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu, tusiendekeze hizi siasa za Ukanda, zitajenga chuki za kukichukia chama fulani bila sababu za msingi ya chuki hiyo, au kukipenda na kikishabikia chama fulani kwa upenzi tuu, matokeo ya mwisho ya siasa hizi ni kujengeana chuki zisizo na sababu!. Tupingane bila kupigana, tutofautiane kisiasa bila kuchukiana bali tupingane kwa hoja huku tukipendana!.

Hata mimi uchaguzi wa Arumeru, nilisimama na Sioi, tumekutana na Nasari pale Bungeni Dodoma, tumekumbatiana, na kiukweli kutoka moyoni mwangu, sina chuki na Nasari, namkubali sana tuu kwa dhati na kupongeza kwa ushindi, huku nikiendelea kushikamana na Sioi kwa sababu ni rafiki!.

Wito Kwa Watu wa Kanda ya Kaskazini
Wito wangu kwa nyie watu wa Kanda ya Kaskazini, Kanda yenu ndio imependelewa sana, inaongoza kwa mashule na wasomi, inaongoza kwa mahospitali!, KCMC, Mawenzi, Kibongoto, Mt. Meru, Seliani, Dareda, etc, Inaongoza kwa vivutio vya utalii, Mt. Kilimanjaro, Mt. Meru, Serengeti, Ngorongoro, Seronera, Manyara, Inaongoza kwa barabara za lami hadi vijijini, inaongoza kwa umeme vijijini, inaongoza kwa maendeleo, inaongoza kwa kutoa wanawake wife material, ukioa mchagga umeoa maendeleo, hivyo msiichukie hivyo CCM, kwani pamoja na mabaya yake yote ya CCM, kulea rushwa na ufisadi na kutuletea umasikini na kulea ujinga kwa kuutumia kama mtaji wake wa ushindi, pia kuna mema na mazuri yake mengi ambayo CCM imelifanyia taifa hili ikiwemo kutuletea maendeleo japo kiduchu, lakini pia imetuletea hazina ya amani na utulivu ambazo ni tunu kubwa kuliko maendeleo, hivyo tuichukie CCM kwa mabaya yake na kupenda kwa mema na mazuri yake!.

Wito Kwa Wa Kanda ya Ziwa.
Tusikubali kutumiwa kama ngazi ya wengine kupandia kisiasa, kwa vile na mimi ni mtu wa Kanda hii na sisi ndio determinant ya nani anashinda na kukikalia kile kiti cha ikulu yetu, tusikubali kuendelea kutumika tuu kama ngazi kwa wengine kupandia, au kuendelea kuwa na upendo wa mshumaa kumulikia wengine huku kwetu kunateketea, Kanda hii ndio Kanda yenye watu wengi, ndio Kanda yenye mijitu yenye nguvu inayokula na kushiba, ndio Kanda tajiri kuliko Kanda zote, ndio yenye madini ya dhahabu na almasi, ndio wenye Ziwa Victoria lenye samaki watamu Sato, tusikubali kutumiwa kama dodoki kuwasafishia wengine au dekio baada ya deki linatupwa kule, sisi tuna kila aina ya utajiri lakini very unfortunately watu wetu ni masikini wa kutupwa!. Angalia wenzetu wa Kaskazini mbona wameweza kulibwaga hili lidubwana na wanapata maendeleo, na sisi tuamue kulibwaga unless kama 2015 atakuwa ni mmoja wetu!.

Namalizia kwa kusisitiza, huu ni mtazamo tuu!

Wasalaam.

Paskali
Sasa Chadema ndio wanaamka kujua nguvu ielekezwe wapi, huu ni mwanzo mzuri!, tatizo la tonge hilo, waliolishika tonge mdomoni wanajua, jee watakubali kunyang'anywa tonge mdomoni?
P.
 
Wanabodi,

Determinant ya Rais wa Tanzania ni Kanda ya Ziwa.
Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 8 na Kanda ya Ziwa ina theluthi moja ya kura za urais!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!, hivyo CCM kwa kulitambua hili, itatumia nguvu yake yote, all its mighty powers by all means, by hooks and crooks kuyakomboa majimbo haya matatu ya Kanda ya Ziwa, na naomba mshishangae, kama ili kujiokoa, uchaguzi mkuu wa 2015, CCM inaweza kabisa kutafuta mgombea wa urais kutoka kanda hii ya Ziwa ili kujiokoa kwa kuwahonga watu wa kanda ya Ziwa kwa hongo kubwa kabisa ya mgombea urais, hiyo watu kama John Pombe Magufuli, Andrew Chenge, Laurent Masha, William Ngeleja, Charles Kitwanga, are men to watch very closely!, hata kama mgombea huyo atakuwa hana sifa za kutosha kuwa rais bora, kwa CCM iko tayari kutupatia bora rais as long as atatoka Kanda ya Ziwa kuliko kuanguka huku inajiangalia!, kwa CCM kinachotakiwa ni ushindi na sio sifa za mgombea!, kwao, the end justifies the means!.

Mwelekeo huu ni uthibitisho kuwa ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, sio ndoto tena, ni kitu ambacho kinawezekana kabisa kutokea kama upinzani utajitambua kwa kushikilia kwa makini kile kilicho mkononi na kuongeza juhudi za kuimililki kanda ya Ziwa, hivyo vita kuu ya kisiasa nchini Tanzania kuelekea 2015 ni nani ataimiliki Kanda ya Ziwa. Chadema ikifanikiwa, CCM inapigwa chini nzima nzima mazima!, ila CCM ikifanikiwa kuikomboa Kanda ya Ziwa, then 2015 ni CCM tena, na kitakacho fuatia kwa CCM post 2015 ni kuikomboa Kanda ya Kaskazini kwenye uchaguzi wa 2020, na kusema ukweli hii ndio itakuwa kazi ngumu kweli kweli, ila kama itatumika ile 'universal language', ya "penye uzia...", kuna msemo "hakuna mkate mgumu mbele ya chai", mkate hata uwe mgumu vipi ukiuchovya ndani ya chai, unalainika!".

Tuache Siasa za Ukanda na Ukabila, au Tuzidumishe Ili Mtu wa Kanda/Kabila Yetu Ndie Ashinde?.
Natoa mwito kwa Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu, tusiendekeze hizi siasa za Ukanda, zitajenga chuki za kukichukia chama fulani bila sababu za msingi ya chuki hiyo, au kukipenda na kukishabikia chama fulani kwa upenzi tuu, matokeo ya mwisho ya siasa hizi ni kujengeana chuki zisizo na sababu!. Tupingane bila kupigana, tutofautiane kisiasa bila kuchukiana bali tupingane kwa hoja huku tukipendana!.

Hata mimi uchaguzi wa Arumeru, nilisimama na Sioi, tumekutana na Nasari pale Bungeni Dodoma, tumekumbatiana, na kiukweli kutoka moyoni mwangu, sina chuki na Nasari, namkubali sana tuu kwa dhati na kupongeza kwa ushindi, huku nikiendelea kushikamana na Sioi kwa sababu ni rafiki!.

Wito Kwa Wa Kanda ya Ziwa.
Tusikubali kutumiwa kama ngazi ya wengine kupandia kisiasa, kwa vile na mimi ni mtu wa Kanda hii na sisi ndio determinant ya nani anashinda na kukikalia kile kiti cha ikulu yetu, tusikubali kuendelea kutumika tuu kama ngazi kwa wengine kupandia, au kuendelea kuwa na upendo wa mshumaa kumulikia wengine huku kwetu kunateketea, Kanda hii ndio Kanda yenye watu wengi, ndio Kanda yenye mijitu yenye nguvu inayokula na kushiba, ndio Kanda tajiri kuliko Kanda zote, ndio yenye madini ya dhahabu na almasi, ndio wenye Ziwa Victoria lenye samaki watamu Sato, tusikubali kutumiwa kama dodoki kuwasafishia wengine au dekio baada ya deki linatupwa kule, sisi tuna kila aina ya utajiri lakini very unfortunately watu wetu ni masikini wa kutupwa!. Angalia wenzetu wa Kaskazini mbona wameweza kulibwaga hili lidubwana na wanapata maendeleo, na sisi tuamue kulibwaga unless kama 2015 mpeperusha bendera wao, atakuwa ni mmoja wetu!.

Wasalaam.

Paskali
Kirua Vunjo, Moshi Vijijini
Wasiwasi wangu Kanda ya Ziwa ndio watakuwa wanaamua Nani awe Rais wa JMT kuanzia kwenye NEC ya CCM
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , usiwe na wasiwasi kabisa kuhusu Kanda ya Ziwa, ni Kanda determinant kwa sababu ndio inapiga kura inayoitwa a decisive votes kutokana na hii ndio Kanda kubwa zaidi na yenye idadi kubwa ya wapiga kura.

Hili la ukanda angalia sisi hili tuliliona lini Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?." na tukashauri nini!.

Saa hizi ndio wenzetu mnaliona, na baada ya Samia, akiisha ingia mwingine, ndio lile jingine la akiwa Mkristo ni lazima awe... ndilo nalo mtaliona!.

P
 
Back
Top Bottom