miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
kabisa ndiyo maana ukiingia lengo ni kukunjwa na kukunja mwanzo mwisho hakuna kualala.. kuna msemo wa jamaa yangu mmoja anakuambia nalipia gesti si kwa ajili ya kulala kama ni kulala hata kwenu kuna kitanda hapa ni mtanange mwanzo mwisho alikuwa akitoka huko ohooo unamuonea huruma sababukapiga mpaka katoa dawa ya jichonyumban nna uhakika kabisa utakaa muda utakao asubh ile watu wa usafi wakija pozi lote linaisha