Mtazamo: Hotel Sex ni Bora kuliko Home Sex

Nalendwa

JF-Expert Member
Aug 9, 2016
7,467
13,024
56311a4f1400002b003c95e1.jpg
56311b1e1c00006f00570d70.jpg



Wapenzi wanapokuwa faragha ya Hotelini wanafurahia Zaidi kitendo cha mapenzi kuliko wanapokuwa nyumbani. Kwa sababu zifuatazo.

Vyumba vya hotel vimeandaliwa kwa mpangilio wa kuvutia kuliko nyumbani hivyo kufanya wapenzi watulize akili kwenye kitendo Zaidi. Vitanda vikubwa, mishumaa, rangi za kuvutia, n.k

Kitendo cha wapenzi kuwa mbali na mazingira ya nyumbani, mfano watoto, msururu wa ndugu, majirani, matatizo, kunafanya wapenzi watulize akili Zaidi kwenye kitendo na wapenzi wao. Hii ni Zaidi kwa wanawake ambao hukutwa na shughuli za nyumbani zaidi kuliko wanaume.

Lakini pia si vibaya kuandaa mazingira kama ya Hotel chumbani kwako, kwa kuongeza mapambo kama maua, mishumaa na vitu vitavyoongeza ngenye kwa wapenzi.
Hata kubadilisha mandhali ya kufanya kitendo pia kunasaidia, mfano sebuleni, jikoni n.k
 
kweli kabisa hasa kwa uzinzi hotelini pako superb
utakula vizuri,utakunywa vizuri tofauti na home kwa mtu unaenda kugegedwa ila unakutana na makazi kibao,ufue,upike,utandike kitanda .msosi wenyewe ugali dagaa denda linakuwa hata halitamaniki. unachoka hata bao moja linakushinda unaonekana gogo kumbe umetumikishwa mikazi kibao
ila hoteli msosi soft ,wine ya hatari denda linakuwa tamu hatare. zinaa mbaya ila ifanyike hotelini .nyumbani fanya na mkeo
Bujibuji bae!
 
Ni kweli kuwa unapokuwa faragha sehemu tofauti na nyumbani kwako na mkeo/mumeo huwa inapendeza zaidi ya unapokuwa nyumbani.Jambo hili linasababishwa na sababu kuu moja tu japokuwa hiyo uliyoisema hapo juu huwa ni mojawapo ya sababu lakini siyo kubwa sana....

Ni kweli kwamba,mpangilio wa ndani huhamasisha faragha kuwa nzuri na inayovutia lakini sababu hii imejificha kwenye sababu kuu ambayo ni "upya"...

Nimeshindwa kupata neno zuri la kuwakilisha ninachotaka kukisema hapo lakini ukisoma haya maelezo yangu utanielewa....

Kimsingi binadamu huwa tunapoteza mvuto au kuvutika kwenye mazingira au vitu ambavyo tumevizoea kwakuwa tunakutana navyo kila siku na ukipata kipya basi utahamasika zaidi.Unapokuwa unakutana na mkeo faragha eneo lile lile kila siku unajikuta unapazoea na kushindwa kuburudika wakati wa faragha kitu ambacho kitakufanya uone kuwa faragha yako haina maana....

Siku ukienda eneo jipya utashangaa.Hii haijalishi eneo hilo limepangiliwa kwa unadhifu kiasi gani bali ule "upya" au ugeni ndiyo "mchawi" wa yote.Kama unataka kubisha waulize wale wataalamu wa kufanya ngono maeneo "haratishi" watakuambia kuwa ngono ya mazingira haya ni "tamu" sana.Ukiangalia hakuna kitu kipya isipokuwa ni mazingira tu kuwa mapya maana watu ni wale wale sasa nini kifanye utam uongezeke?

Au ukitaka kujua zaidi,aje siku moja Mo Dewji akutane faragha na mkewe chumbani kwako hapo uswazi,nakuhakikishia ataona tofauti kubwa sana.hii itakuonesha kuwa unadhifu wa chumba huchangia kwa asilimia ndogo sana lakini ugeni au "upya" wa eneo ndiyo mpango mzima....

Jitahidi sana kuwa unabadilisha mazingira wewe na mkeo ili kuleta ladha tofauti ya faragha....
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom