Mtazamo: Dreamliner inataka kuwekwa rehani

Mtazamo: Dreamliner inataka kuwekwa rehani

Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.

Tukio haliumizi taifa,linamuumiza magu na kina bashite,sisi tushaumia vya kutosha tumeshakata tamaa maana tumeshanyanyaswa vya kutosha na hii serikali ya kidikteta...

Tumemuachia mungu mana magu anatumia madaraka yake kutunyanyasa anavyotaka...

Ila nimuambie tu magu cku zote mungu ndo anajua kutoa hukumu ya haki,atunyanyase tu anavyoweza but kuna siku itafika na mungu cku hiyo ndo atatoa hukumu dhidi ya wale wote wanaotumia madaraka yao kunyanyasa wengine
 
Sio kwa uzembe wetu kwahiyo hata madhara yakitukuta itakuwa tumesababishiwa na hatujasababisha sisi wala hatukuyaomba..ni uzembe wa viongozi wa ccm kujali matumbo yao

Ni busara kufurahia hayo madhara licha ya kujali nani ka yasababisha? Siwatetei wahusika waliotutumbukiza kwenye hayo majanga. Kufurahia au kushabikia madhara hakutabadilisha chochote.
 
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
mkuu, tatizo siyo madhara ya maamuzi ya mahakama bali ni nani aliyesababisha tupelekwe mahakamani in the first place.

[HASHTAG]#tusitibudalilitutibuchanzo[/HASHTAG]
 
Ni busara kufurahia hayo madhara licha ya kujali nani ka yasababisha? Siwatetei wahusika waliotutumbukiza kwenye hayo majanga. Kufurahia au kushabikia madhara hakutabadilisha chochote.
Endelea kukaa kimya tu kama vile sio mtanzania..ccm yahusudu watu kama nyinyi yaani wanatamani watanzania wote wawe kimyaaaa kwa makosa wanayofanya ili washibishe matumbo yao kwa kodi zetu..tushawazoea wanapenda wasifiwe kwa majanga wanayotuletea..hatufurahii ila tuna haki ya kupaza sauti coz yanatuhusu haya as Tanzanians
 
That's very perfect Mkuu..

Hiyo ndio namna pekee ya kuilazimisha serikali hii ilipe madeni yake hasa kwa hawa wakandarasi wa nje..

Konoike wapate usajili wa hiyo hukumu yao waende Paris wakazuie Boeing Dreamliner..

Mindege imenunuliwa bila kufata utaratibu, kibabe-babe tu wakati Nchi ina matatizo chungu tele yanayohitaji kutatuliwa kuliko kununua hizo ndege.

Huo ushauri wako wa kisaliti unafikiri unamkomoa JPM unajidanganya sana tena sana huyu mhe atakaa madarakani for two term of his presidency na baada ya hapo ataendelea kula maisha kama rais mstaafu with retirement benefits.
 
Endelea kukaa kimya tu kama vile sio mtanzania..ccm yahusudu watu kama nyinyi yaani wanatamani watanzania wote wawe kimyaaaa kwa makosa wanayofanya ili washibishe matumbo yao kwa kodi zetu..tushawazoea wanapenda wasifiwe kwa majanga wanayotuletea..hatufurahii ila tuna haki ya kupaza sauti coz yanatuhusu haya as Tanzanians

Mimi sikai kimya na wala siihusudu chama kama unavyofikiria. Na kweli bora nikae kimya kuliko kufurahia nchi kuingia kwenye misukosuko.

Ukimkanya mwanao asinywe maji yasiyochemshwa, akanywa na kupata madhara, utafurahia kwamba ulimuonya na hakusikia na aendelee kudhurika ikiwezekana afe huku wewe ukikaa bila kuchukua hatua?

Unamtibu mwanao huku ukimkumbusha na kumuonya madhara ya kunywa maji yasiyochemshwa. Kufurahia peke yake bila kuchukua hatua stahiki haisaidii.

Nafikiri umenielewa
 
Huo ushauri wako wa kisaliti unafikiri unamkomoa JPM unajidanganya sana tena sana huyu mhe atakaa madarakani for two term of his presidency na baada ya hapo ataendelea kula maisha kama rais mstaafu with retirement benefits.
Hakuna kinga kwa makosa mtu aliyotenda kabla hajawa Raisi.

Usisahau msemo: "Muosha,huoshwa."
 
This is extremely stupidly,we as Tanzanians its our time to work up and speak out regardless our race,tribe,religion,social status,economic status,norms etc in order to rescue our expecting economic depression.
 
This is extremely stupidly,we as Tanzanians its our time to work up and speak out regardless our race,tribe,religion,social status,economic status,norms etc in order to rescue our expecting economic depression.
Kwahiyo kulimbukiza madeni yanayozalisha riba ndio akili?!

Pathetic!!
 
This is extremely stupidly,we as Tanzanians its our time to work up and speak out regardless our race,tribe,religion,social status,economic status,norms etc in order to rescue our expecting economic depression.
Khaa; hivi umelazimishwa kuandika kwa Kiingereza?
 
Ni wakati wa serikali kuanza kuwatumia wakandarasi wa ndani kwani hata wao wakiwezeshwa wanaweza kujenga miundombinu yenye ubora na pale wanapohitaji msaada kutoka nje wakandarasi wetu wawe na uwezo wa kuajili wataalam hao
 
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Inachofanya serikali hakuna hata kimoja kinachosababisha furaha kwa wananchi wake.

Ikisulubiwa popote pale wananchi tunaangua bonge la kicheko.
 
Back
Top Bottom