Mtazamo: Dreamliner inataka kuwekwa rehani

Mtazamo: Dreamliner inataka kuwekwa rehani

Wanawanyima watu mafao yao wanaenda kununua ndege
 
Wawakamate hao wanaokwenda nje kutuwakilisha! Maana maamuzi yao ndo yameleta hasara!
 
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Ni sahihi kuwa wazalendo,lakini hili haliondoi ukweli kuwa viongozi wetu wapaswa kutumia busara hasa linapokuja swala la mikataba.Some people have to learn the hard way.Baada ya hapo,viongozi watakuwa wamejifunza,na wapiga kura pia watakuwa wamejifunza.Acha tu wazikamate.
 
Zikamatwe tu na zipigwe mnada.. uzalendo gani wakati swali na Mhe Nape wanashindwa kuijib wanabak kupaniki tu.. bombardier au dream liner ndio nini? kwa saut ya babu yangu wa kule Titu kiale 'kisarawe'
 
Wenye akili hawatoi cash Kununua midege ya aina hiyo. Tz inanunua cash. Very poor business thinking.
Ethiopia hawanunui cash. Wako mbali sana. Wanalipa kadri wanavyo operate
Kilichopangwa pale ni kupiga cha juu na si vinginevyo
 
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Wakati bwana yule anavunja mikataba hovyo hovyo alikuwa anatufikiria na sisi?
 
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.

Hiyo ndege naipanda mimi? Watumishi hakuna nyongeza ya mishahara wala kupanda madaraja, kwa mshahara upi nitapanda ndege? Maslahi halali ya watumishi wa umma kisheria yameminywa ili kununua ndege. Kama noma na iwe noma
 
Wakamate tu kila kitu maana dawa ya deni in kulipa.....tulipe ili Namba isomeke vyema
 
Hiyo ndege naipanda mimi? Watumishi hakuna nyongeza ya mishahara wala kupanda madaraja, kwa mshahara upi nitapanda ndege? Maslahi halali ya watumishi wa umma kisheria yameminywa ili kununua ndege. Kama noma na iwe noma
Umemjibu vizuri sana.
 
Hawa mabwanyenye wanatajirika kwa ujinga wetu, kadiri tunavyokuwa masikinj wao ndio wanazidi kutajirika. Inachosha!

Vv
 
Mkuu hakuna anayefurahia haya bali ni kuonyesha uzembe na ukurupukaji mkubwa wa Serikali yetu hii
ambao unaingiza gharama kubwa walipa kodi bila wahusika kuadhibiwa kwa makosa yao miaka nenda miaka rudi.

Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
 
Makinikia yatamaliza kila kitu juu ya hayo mnayoiombea mabaya Nchi.
 
Mkuu hakuna anayefurahia haya bali ni kuonyesha uzembe na ukurupukaji mkubwa wa Serikali yetu hii
ambao unaingiza gharama kubwa walipa kodi bila wahusika kuadhibiwa kwa makosa yao miaka nenda miaka rudi.

Nakuelewa sana ndugu yangu. Kwa yaliyotokea kuna wakati unatamani tuwe na sheria kama za China, waliohusika wanyongwe, ila kwa haki za binadamu basi hapa kwetu wafilisiwe na kufungwa maisha kabisa. Mbaya zaidi bado hatujifunzi tunarudia kufanya makosa yaleyale kwenye mikataba na maamuzi yanayohusu rasilimali zetu.

Naunga mkono harakati zote za kudai katiba mpya ili ikiwezekana uwajibikaji uwepo kwa tunaowapa dhamana.

Tatizo langu ni dogo na moja tu, wale wanaofurahia haya mambo kana kwamba tuko nchi tofauti.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Hao wapumbavu wanachekelea wakidhani hayo mambo hayawagusi
 
Mimi huku kakonko ninakokaa hakuna hata uwanja wa ndege,nawashauri hao wazungu walikamate kisha waliuze,halina faida kwetu watanzania,hasara tu

Mkuu agiza bia mbili kwa Allu hapo nakutumia m pesa
 
Back
Top Bottom