Harrison Justine
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,136
- 559
Sisi hatujui hata jina la rais wa sasa anaitwa nani , nadhani bado ni Nyerere
Hata Mimi sifurahii matatizo yanayotukumba ila nawaponda waliofanya uzembe wa kujirudia mara kwa mara na kulisababishia taifa hasara ya mabillionSiwezi kuweka hapa hadharani kwa misingi na maadili ya kazi yangu, lakini siwezi kuonyesha kufurahishwa na majanga ya aina hii yanayoikumba nchi.
Watu wanashangilia kwamba JPM anakomolewa na ndiye aliyetuingiza huko wakati kiukweli wakati hayo yanatokea JPM nakuwa wizara ya ujenzi
Uwache usogezwe tunyooke mwisho wa siku huyo Magu hapati hata shida yeye na mwanaye Bashite was wataendelea ku enjoy.Ujue hata huo uchaguzi unaweza kusogezwa mbele kisa PESA imetumika kukombolea ndege. Kwenye siasa kila tatizo linatumika kisiasa.
Hata British airwaysWenye akili hawatoi cash Kununua midege ya aina hiyo. Tz inanunua cash. Very poor business thinking.
Ethiopia hawanunui cash. Wako mbali sana. Wanalipa kadri wanavyo operate
Hivi Zimbabwe wanavyopata shida unafikiri Mugabe na timu yake wanashida? Ndiyo kwanza wanajimwaga na ma shopping kwenye ma nchi tofautiTukio haliumizi taifa,linamuumiza magu na kina bashite,sisi tushaumia vya kutosha tumeshakata tamaa maana tumeshanyanyaswa vya kutosha na hii serikali ya kidikteta...
Tumemuachia mungu mana magu anatumia madaraka yake kutunyanyasa anavyotaka...
Ila nimuambie tu magu cku zote mungu ndo anajua kutoa hukumu ya haki,atunyanyase tu anavyoweza but kuna siku itafika na mungu cku hiyo ndo atatoa hukumu dhidi ya wale wote wanaotumia madaraka yao kunyanyasa wengine
Msimchimbe mzalendo Lissulissu ketusaliti akiwa ICU
Hela hiyo inaenda kwenye miradi ya maendeleo nchiniYasipolipwa wewe unafaidika nini?
Linalipwa kwa utaratibuKwaiyo wewe ulitaka deni lisilipwe?
Ndiyo niniNational Integrity!
Huna akili hata robo. Ingekuwa una akili hata kidogo ungetetea vilivyo vyako. Ndege ya Tanzania ikishikiliwa means ni mali yako wewe imeshikiliwa. Kweli JF siku hizi haina watu.That's very perfect Mkuu..
Hiyo ndio namna pekee ya kuilazimisha serikali hii ilipe madeni yake hasa kwa hawa wakandarasi wa nje..
Konoike wapate usajili wa hiyo hukumu yao waende Paris wakazuie Boeing Dreamliner..
Mindege imenunuliwa bila kufata utaratibu, kibabe-babe tu wakati Nchi ina matatizo chungu tele yanayohitaji kutatuliwa kuliko kununua hizo ndege.
hili ukiangalia kwa jicho lisilo na itikadi yoyote kuna ka ukweli fulani ndani yake.Mimi sio mwanasheria na wala sina ufahamu/utalaamu wa mambo haya ya mahakama za kimataifa.
Hata hivyo,kwa uelewa wangu,nadhani lengo la kampuni ya ujenzi ya Konoike ya Japani ni kutaka hukumu ya Mahakama ya Usuluhishi ya London isajiliwe na mahakama ya shirikisho nchi Marekani lengo hasa la wadeni wetu likiwa ni kupata idhini ya mahakama hiyo ya Marekani ya kuweza kukamata mali za Tanzania endapo deni wanalotudai halitalipwa na hapa bila shaka watakuwa wana-target ile dreamliner inayotarajiwa kuwasili nchi mwakani.
Tukumbuke kampuni ya Boeing inayotengeneza ndege za aina ya Boeing iko nchini Marekani.
Ni mtazamo tu.
Mapengo weee..Huna akili hata robo. Ingekuwa una akili hata kidogo ungetetea vilivyo vyako. Ndege ya Tanzania ikishikiliwa means ni mali yako wewe imeshikiliwa. Kweli JF siku hizi haina watu.