Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,643
- 164,789
Mimi sio mwanasheria na wala sina ufahamu/utalaamu wa mambo haya ya mahakama za kimataifa.
Hata hivyo,kwa uelewa wangu,nadhani lengo la kampuni ya ujenzi ya Konoike ya Japani ni kutaka hukumu ya Mahakama ya Usuluhishi ya London isajiliwe na mahakama ya shirikisho nchi Marekani lengo hasa la wadeni wetu likiwa ni kupata idhini ya mahakama hiyo ya Marekani ya kuweza kukamata mali za Tanzania endapo deni wanalotudai halitalipwa na hapa bila shaka watakuwa wana-target ile dreamliner inayotarajiwa kuwasili nchi mwakani.
Tukumbuke kampuni ya Boeing inayotengeneza ndege za aina ya Boeing iko huko huko nchini Marekani.
Ni mtazamo tu.
Hata hivyo,kwa uelewa wangu,nadhani lengo la kampuni ya ujenzi ya Konoike ya Japani ni kutaka hukumu ya Mahakama ya Usuluhishi ya London isajiliwe na mahakama ya shirikisho nchi Marekani lengo hasa la wadeni wetu likiwa ni kupata idhini ya mahakama hiyo ya Marekani ya kuweza kukamata mali za Tanzania endapo deni wanalotudai halitalipwa na hapa bila shaka watakuwa wana-target ile dreamliner inayotarajiwa kuwasili nchi mwakani.
Tukumbuke kampuni ya Boeing inayotengeneza ndege za aina ya Boeing iko huko huko nchini Marekani.
Ni mtazamo tu.