Umeongea kinyonge sana Mkuu!Watuvumilie tutalipa
hiyo ni ishara kwa wenye akili kwamba CCM haitakiwi tena inanuka..Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Mimi nafurahiaPamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Tabia hizo wanazo ufipa Mkuu lkn wanajitoa ufahamu kuwa matatizo yote ya madeni yanayotutia misukosuko yalisababishwa na waliotangulia kiongozi wa sasa anagewa ubaya usiomuhusu na aliyepita anaonekana lulu kwao ufipa hawatakaa waeleweke hitajio lao ni nini wajue kwa magu nchi itasonga 2020 ushindi mapema tu.Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Swali jepesi lakini gumu kulijibu!!Kwanini kesi zote ni za wizara ya ujenzi?
Mwaka huu utataga,kinikia weweTabia hizo wanazo ufipa Mkuu lkn wanajitoa ufahamu kuwa matatizo yote ya madeni yanayotutia misukosuko yalisababishwa na waliotangulia kiongozi wa sasa anagewa ubaya usiomuhusu na aliyepita anaonekana lulu kwao ufipa hawatakaa waeleweke hitajio lao ni nini wajue kwa magu nchi itasonga 2020 ushindi mapema tu.
Watu wanashangilia kwamba JPM anakomolewa na ndiye aliyetuingiza huko wakati kiukweli wakati hayo yanatokea JPM nakuwa wizara ya ujenziPamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Ningekuwa mshauri wake ningechukua hatua stahiki kwa suala hili..hatua stahiki unayoweza kufanya wewe ni ipi?Mimi sikai kimya na wala siihusudu chama kama unavyofikiria. Na kweli bora nikae kimya kuliko kufurahia nchi kuingia kwenye misukosuko.
Ukimkanya mwanao asinywe maji yasiyochemshwa, akanywa na kupata madhara, utafurahia kwamba ulimuonya na hakusikia na aendelee kudhurika ikiwezekana afe huku wewe ukikaa bila kuchukua hatua?
Unamtibu mwanao huku ukimkumbusha na kumuonya madhara ya kunywa maji yasiyochemshwa. Kufurahia peke yake bila kuchukua hatua stahiki haisaidii.
Nafikiri umenielewa
Watu wanashangilia kwamba JPM anakomolewa na ndiye aliyetuingiza huko wakati kiukweli wakati hayo yanatokea JPM nakuwa wizara ya ujenzi
Ningekuwa mshauri wake ningechukua hatua stahiki kwa suala hili..hatua stahiki unayoweza kufanya wewe ni ipi?
Yasipolipwa wewe unafaidika nini?Madeni ya konoike yakilipwa unafaidika nini Kamanda?
Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.
Hata usipofurahi tayari damage imeshatokea hata ukinuna huokoi chochote[emoji23] [emoji85]Pamoja na ukweli kwamba serikali ina mapungufu yake mengi, tusiwe wepesi kufurahia kila maamuzi au tukio linaloliumiza taifa, madhara yake tunayapata wote, hayabagui.