Wanashindana na kanisa la Mungu kwa kutumia propaganda wakati Mungu anaona uchafu wao wote wanaoufanya gizani,wataangamia vibaya sana.
KANISA KATOLIKI NI KANISA IMARA JANA,LEO NA KESHO.HALITIKISIKI KWA NAMNA YOYOTE ILE.KANISA KATOLIKI NI KANISA LA MWENYEZI-MUNGU MWENYEWE.