Mtaweza kweli kushindana na kanisa katoliki?

Mtaweza kweli kushindana na kanisa katoliki?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,775
Reaction score
36,000
Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni

Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda

Kanisa katoliki Lina weledi

Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia

Jibu hoja zao

Nani aliuwa ?

Nani aliiba kura?

Nani wanateka na kuuwa watu?

Nani anahujumu uchaguzi?

Miili ya waliouwawa Iko wapi?

Kwanini Dar haina maji?
Screenshot_20251222-213405.png
 
Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni
Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda
Kanisa katoliki Lina weledi
Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia
Jibu hoja zao
Nani aliuwa ?
Nani aliiba kura?
Nani wanateka na kuuwa watu?
Nani anahujumu uchaguzi?
Miili ya waliouwawa Iko wapi?
Kwanini Dar haina maji?
View attachment 3519234
Muumini wa wapi huyo, hiyo ni cyndicate, hakuna cha uumini wowote hapo!
 
Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni
Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda
Kanisa katoliki Lina weledi
Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia
Jibu hoja zao
Nani aliuwa ?
Nani aliiba kura?
Nani wanateka na kuuwa watu?
Nani anahujumu uchaguzi?
Miili ya waliouwawa Iko wapi?
Kwanini Dar haina maji?
View attachment 3519234
Wahuni hawajui kujibizana kwa hoja kwa sababu walienda shule kunywa uji na kugombania finyango za nyama na si kusoma.
 
Poor move. RC Wana utaratibu wao wa kuwasilisha maoni, mapendekezo, maswali au maboresho ya uendeshaji wa kanisa. Ngazi ya chini ya kuanzia ni jumuiya ndogo ndogo ambazo zina muundo thabiti wa kiongozi.

Ukifanya mambo yako nje ya utaratibu huu wewe huhesabiki kama ni mkatoliki na maoni yako hayatambuliko. So wanapokija na move kama hizo wajipange kweli kweli.
 
Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni

Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda

Kanisa katoliki Lina weledi

Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia

Jibu hoja zao

Nani aliuwa ?

Nani aliiba kura?

Nani wanateka na kuuwa watu?

Nani anahujumu uchaguzi?

Miili ya waliouwawa Iko wapi?

Kwanini Dar haina maji?
View attachment 3519234
nilivyoona tu hio rozari mpya na imewekwa kwa nje ili ionekane nikajua hii ni futuhi tu....
 
Kiwe tu chama cha siasa, TEC ni jina zuri sana kuliko ccm na Chadema litawavutia wengi
 
Kila kanisa parokiani Kuna sanduku la maoni.
Lini wakatoliki wameanza kwenda kuhoji au kushauri uongozi wa kanisa kwenye vyombo vya habari?
Kila taasisi yenye wasomi lazima waweke sanduku la maoni.
 
Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni

Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda

Kanisa katoliki Lina weledi

Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia

Jibu hoja zao

Nani aliuwa ?

Nani aliiba kura?

Nani wanateka na kuuwa watu?

Nani anahujumu uchaguzi?

Miili ya waliouwawa Iko wapi?

Kwanini Dar haina maji?
View attachment 3519234
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    56.2 KB · Views: 7
Muachage mzaha na kanisa katoliki lina utaratibu wake wa kutoa maoni
 
Teja kanunuliwa Rozali, akapigwa picha mbele ya media..teh🤣
 
Back
Top Bottom