Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Umenena vizuri Mkuu, maana kuna wengine wana chuki binafsi na udini uliopitiliza. Mbona kuna tetesi kwamba waliompiga huyo mtawa ni Wakatoliki wenziwe.

Wewe mwe..hu kweli eti wakatoliki wenzie.. sometime ficha upumbavu wako.
 
Wakati nasikiliza hotuba ya Mh Rahis ya mwisho wa mwezi July, alipotaja mambo ya udini nilijiuliza maswali kadhaa;
1. Kwa nini mh atukumbushe makovu na machungu tena juu ya UDINI ili hali mamno yapoa?
2. Kwa nini ahutubie taifa kuhusu udini wakati huu badala ya wakati ule ambapo mambo yalikuwa hot? Kwa nini hakufanya vile?

Kwa mantiki ya yaliyojili kule Zanzibar ya kumwagia watu Tindikali, kule Morogoro na Ponda kupigwa risasi, Makamu wa Rahis kuuzungumzia udini hivi karibuni yamenifanya nifikirie kuwa PENGINE walikuwa na taarifa za yanayopagwa kuja kutokea siku si nyingi (yaliyotajwa hapo juu)hivyo kuamua kuyakemea yasitendeke. Kama hivi ndivyo, je jitihada za kuyazuia yasitokee yaliyojili ndani ya wiki mbili hizi zilikuwa zinatosheleza?
 
Nasisitiza hakuna nnchi inatwa Zanzibar ni eneo la Tanganyika, tuko tayari kulinda mipaka yetu jeshi husema hivyo, mipaka ni pamoja na eneo la Zanzibar ambayo imo kwenye bahari ya Tanganyika, zAnzibar na Mwanza ni sawa tu na Arusha.

Wewe sawa na ID yako fikirikwanza. Pumba express. Utumbo mtupu!!!
 
Last edited by a moderator:
Hata siku moja Zanzibar haitakua ya waislam peke yao. Na kama itakua hivyo watabaguana kwa madhehebu huyu Sunni, Shia, Ibadhi, Answaar Sunna, Ahmadiyya, Bokhora nk na wataendelea kuchapana. Ndio matunda ya dhambi ya UBAGUZI.
 
matunda ya udhaifu wa serikali ndiyo haya; zanzibar siyo kitovu cha amani tena.
 
Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawa Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

Chanzo ni mbwa wa masista kumng'ata kuku wa majirani. Ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawa na kumuumiza.-

Chanzo: Mwandishi wetu wa Zanzibar
pamoja na janzo kuwa wazi,kwa serikali hii ya ccm tutegemee kuundwa tume
 
Wazanzibar!
personally nimekuwa nikitetea na kuelewa malalamiko yenu ila sasa...MNAANZA KUKOJOA NJE YA TUNDU!!

Take care maana watu wakianza kuchoka na upumbavu wenu mtajuta na mnawapeleka watu huko!

Serikali ya Zanzibar iwakate mapembe immediately hao majini-watu!
 
Dah! kwa kweli hivi vitendo si vya kuvifurahia hata kidogo. Mi nadhan kuna haja ya kulitafutia dawa mapema xana. Ila serikal inachukulia mambo haya kirahic saana.
 
Zanzibar sio sehemu salama kwa kuishi, na Muungano ukivunjika yanakua makao makuu ya Alqaeda na boko haram.!!

Zanzibar ni sehemu salama kabisa, ila munaitangaza vbaya, cha msingi ni kufuatilia ni nani wanahusika na matukio km haya na wanatumiwa na nani, tusitupie lawama na kuifanya znz kama chaka la wahalifu, matukio kama haya au zaidi ya haya yamejitokeza dar es salam na maeneo mengine ya Tanganyika, suali ni jee na Tanganyika nayo si salama kwa kuishi? wazanzibari ni ndugu zetu hatuna haja ya kuwajengea chuki kiasi hicho dar es salam Dr Ulimboka alitekwa na kujeruhiwa vbaya bdo ni salama kwa maisha ya watu...muembe chai, na maeneo mengine waislam walipigwa na kuuwawa katika nyakati tofati na bado haijatangazwa kuwa makao makuu ya roma au Izrael...cha msingi tumuombe mungu atupe amani ya nchi yetu na tujenge mashirikiano na upendo itikadi za dini pia ziondoshwe coz mm naamini matukio yote ni itikadi za kisiasa zilizofilisika ndio zmechangia.
 
kwa hio kama muislam kahusika pia asiguswe!? Tujenge mazingira ya kutatua tatizo na si kupalilia tatizo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom