Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
Wana jf nahitaji kumjua ni nani mtanzania kutunukiwa uprofesa na ni mwaka gani!
Kumbukumbu zangu zinaniambia ni prof.Kimambo.
Kighoma malima. Mwaka sijui
anaweza akawa Professor Shaba Histopathologist who in 1950s he served as secretary to the Royal Pathologists Association nimejaribu kufanya correlation ya mwaka huo na nchi yetu ila sina uhakika
Kighoma malima. Mwaka sijui
kulazimisha kujibu swali ni hatari sanaa ni mwishon unalet utanNdimara isaya tegambwage