Mtanzania ninayeishi Venezuela: Niulize chochote

Mtanzania ninayeishi Venezuela: Niulize chochote

Indianapolis

Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
77
Reaction score
44
Nipo hapa Jiji kuu la Caracas napunga upepo na wanangu ila kuna kiongozi analiamsha balaa hata muda wa kula bata hamna tunajifungia tu.

Ukiuliza swali la kizushi unakula bloko
 
Hongera sana mkuu. Nnaomba utupe Mwanga na njia ya kuingia kwenye hyo nchi kihalal na kufanya kaz bila bugudha
 
Mademu wapo ila kusambaza picha huku ni kosa kisheria nitajitahid usiku wa manane nikurushie
 
Back
Top Bottom