Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Waheshimiwa wanajamii.Nadhani ninauliza swali ambalo pengine tulio wengi tunaona kama LIMEPITWA NA MUDA.
Ninaomba ridhaa yenu turudi hatua chache kidogo nyuma,ingawa tutachelewa.Ninapenda tujaribu kuzifanyia tathmini hisia zetu.
Wewe MTANZANIA,naomba uniambie kwa nini ulimpenda sana au pengine bado unampenda sana rais wa marekani bwana Obama?Kuna wengine tulinunua hadi t-shirts na kofia zenye nembo yake.
Naomba sababu ya msingi sana UKIWA KAMA MTANZANIA!unadhani obama unampenda kwa sababu zipi?????
Ninaomba ridhaa yenu turudi hatua chache kidogo nyuma,ingawa tutachelewa.Ninapenda tujaribu kuzifanyia tathmini hisia zetu.
Wewe MTANZANIA,naomba uniambie kwa nini ulimpenda sana au pengine bado unampenda sana rais wa marekani bwana Obama?Kuna wengine tulinunua hadi t-shirts na kofia zenye nembo yake.
Naomba sababu ya msingi sana UKIWA KAMA MTANZANIA!unadhani obama unampenda kwa sababu zipi?????