Mtanzania mwenzangu kwanini unampenda rais wa marekani obama?

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
Waheshimiwa wanajamii.Nadhani ninauliza swali ambalo pengine tulio wengi tunaona kama LIMEPITWA NA MUDA.

Ninaomba ridhaa yenu turudi hatua chache kidogo nyuma,ingawa tutachelewa.Ninapenda tujaribu kuzifanyia tathmini hisia zetu.

Wewe MTANZANIA,naomba uniambie kwa nini ulimpenda sana au pengine bado unampenda sana rais wa marekani bwana Obama?Kuna wengine tulinunua hadi t-shirts na kofia zenye nembo yake.

Naomba sababu ya msingi sana UKIWA KAMA MTANZANIA!unadhani obama unampenda kwa sababu zipi?????
 
Waheshimiwa wanajamii.Nadhani ninauliza swali ambalo pengine tulio wengi tunaona kama LIMEPITWA NA MUDA.

Ninaomba ridhaa yenu turudi hatua chache kidogo nyuma,ingawa tutachelewa.Ninapenda tujaribu kuzifanyia tathmini hisia zetu.

Wewe MTANZANIA,naomba uniambie kwa nini ulimpenda sana au pengine bado unampenda sana rais wa marekani bwana Obama?Kuna wengine tulinunua hadi t-shirts na kofia zenye nembo yake.

Naomba sababu ya msingi sana UKIWA KAMA MTANZANIA!unadhani obama unampenda kwa sababu zipi?????
binafsi ninamhusudu sana KAKA OBAMA. huyu jamaa ni bonge ya role model kwani ameonyesha rangi ya mtu si kikwazo cha kufikiaq mafanikio kwa ajili ya watu.

ninaendelea kumfatilia kwa karibu na kumuombea afikie mafanikio ya uongozi. ameonyesha hasa kwetu sisi WEUSI kwamba sky is the limit!!!!!!!

kwa viongozi wa kiafrika anatufundisha umuhimu wa kutambua majukumu yao kwa manufaa ya watu wao.
akisettle na uchumi wake huenda akatoa SOMO ZURI KWA WATAWALA WA KIAFRIKA. Huyu mdudu wa kuiba rasilimali za wananchi na kombe la msaada atasidia kuwaelimisha ubaya wa kuacha na kufungua ukurasa mpya.

THE GUY IS HOT!!!!!!!!! GO GO OBAMA!!!!
 
Mimi nilimpenda kipindi kile cha uchaguzi, just kujifariji tu na kupunguza machungu ya maisha ili siku zisogee. Yaani kwa ufupi, nilimshabikia tu kama ambavyo ninaishabikia Chelsea ya London kule Uingereza kila inapocheza, mpira ukiisha narudi home na kukuta masaa yamesogea. Inakuwa usiku inakuwa mchana, siku imeenda !!
 
wengina wanampenda kwasababu ana asili ya kenya
 
I know nothing about American politics, I just like the man coz he is handsome, his life's journey is a source of inspiration and his speech gave me goose bumps on the night of nov 4th '08.
 
Nampenda sababu namuona kama ishara ya ushindi/mageuzi katika maeneo mbalimbali kwa mfano ni ile ya kuwa mtu mweusi na kuchaguliwa kuwa raisi wa marekani hili la kupigiwa mfano dunia nzima, hata bongo unapofika uchaguzi utasikia ubaguzi unaanza kama sio dini basi rangi kama alivyopigwa chini Salim A. lakini america mtu ambaye si lolote wal chochote anaweza kuwa mtu mkubwa.

Pili jamaa anaweza na anjiamini kinoma na hakuwa na kashfa yeyote wakati bongo hapa hakuna mtu wa namna yake utatafuta sana hupati.

Sera zake ni tofauti na mtangulizi wake, watu wengi tunalazimika kumpenda sababu ni mbadala wa george bush, hatutaki vita na tumechoka kuona watu wasio na hatia wakiuwawa na wanajeshi wa marekani kwa sababu yeyote ile kitendo ch obama kutambua kilio chetu mwana wane tutampenda lazima.

Historia yake na jina lake,tena kukubalika U.S inaonyesha the guy is smarter na competent enough kila angependa kuona anahusika nae.

Mwisho ameongeza thamani na muonekano wa mwafrika na mtu mweusi duniani kwa ujumla na tunatembea vifua mbele popote
 
Mmmmm!Tafakari halafu changanua vizuri,haya unayo ongea una uhakika nayo?Pole

binafsi ninamhusudu sana KAKA OBAMA. huyu jamaa ni bonge ya role model kwani ameonyesha rangi ya mtu si kikwazo cha kufikiaq mafanikio kwa ajili ya watu.

ninaendelea kumfatilia kwa karibu na kumuombea afikie mafanikio ya uongozi. ameonyesha hasa kwetu sisi WEUSI kwamba sky is the limit!!!!!!!

kwa viongozi wa kiafrika anatufundisha umuhimu wa kutambua majukumu yao kwa manufaa ya watu wao.
akisettle na uchumi wake huenda akatoa SOMO ZURI KWA WATAWALA WA KIAFRIKA. Huyu mdudu wa kuiba rasilimali za wananchi na kombe la msaada atasidia kuwaelimisha ubaya wa kuacha na kufungua ukurasa mpya.

THE GUY IS HOT!!!!!!!!! GO GO OBAMA!!!!
 
Bunafsi namkubali Obama kwani ameweza kuudhihirishia ulimwengu kuwa hakuna kisichowezekana. Nadhani hatua inayofuata na waafrika kubeba Kombe la Dunia la mpira wa miguu.(Soka)
 
Oh,handsome,everybody is handsome.By the way how does that help you? As to his success in life,it is surely not of his own making!It was planned,organized and implemented by the Illuminati.Unfortunately you guys don't want to read,this is an open secret!And his speech,it 'sounded" great yes,but was actually nothing but another orchestrated illusion to confuse the unsuspecting including you!


I know nothing about American politics, I just like the man coz he is handsome, his life's journey is a source of inspiration and his speech gave me goose bumps on the night of nov 4th '08.
 
Obama is clever. Watu waliosoma Harvard wanayo reputation ya kuwa clever. Harvard is one of The Big Four Universities of The USA.
Halafu Obama anatoka Kenya,ambayo ni East Africa, au kama utamwamini Prof Sarungi, grandparents wa Obama wanatoka Rorya.
What we do here in East Africa is very important kwake yeye,to enhance his reputation. Na watu wa Kenya ni very clever. Inasemekana kwamba IQ za watu wa Kenya zinafananafanana na IQ za nchi zilizoendelea.
Obama is clever. Kazi ya Rais ni kutuambia tufanye nini.Huyu Obama ni Rais wa Dunia. Katika kazi yake he has more reources,in terms of experts he can employ,kwa hiyo he is better able to help us. Kama tukiweza kumsikiliza na labda kufaidika na hekima zake,this will be good. Jana saa tano usiku nilikuwa namsikilza katika ile Press Conference na Canadian Prime Minister Harper,safari yake ya kwanza out of the United States.
He spoke very. The man is speaking like a Messiah. Of course he is not The Messiah. Lakini watu wamemchangamkia Obama. They should not be discouraged. In the end,they will save themselves,they cannot be saved by anyone else. Lakini any enthusiasm they have for anything makes them work harder.
 
Mmmmm!Tafakari halafu changanua vizuri,haya unayo ongea una uhakika nayo?Pole
Mkulu Tikeraa.
Nina uhakika sana na hayo ninayoyaamini kuhusu jamaa OBAMA.

Kama umemfuatilia kwa karibu jamaa yuko smarter!!! na kwa hawa viongozi wa kiafrika nina imani siku atakayokutana nao pamoja na usugu wao wa kutokuelewa atawaachia funzo kwa utawala ni kwa ajili ya watu. ni mzaliwa wa KENYA anaongoza the most powerful nation on earth politically and economically.

hotuba zake zipo very consistency kuhusu anachokiamini na hayo ndiyo malengo yake.
afterall ushindi wake kwa rangi nyeusi ni UKOMBOZI WA KIFIKRA NA KIUTENDAJI.

Stay tuned!!!!!
 
Oh,handsome,everybody is handsome.By the way how does that help you? As to his success in life,it is surely not of his own making!It was planned,organized and implemented by the Illuminati.Unfortunately you guys don't want to read,this is an open secret!And his speech,it 'sounded" great yes,but was actually nothing but another orchestrated illusion to confuse the unsuspecting including you!

Pamoja na maelezo mengi na mtazamo finyu kwamba others don't read but probably only you umenithibitishia kitu kimoja. Na if this was an exam ungechomoka na sufuri I mean 0.00000.

Kumbuka thread inasemaje/ inaulizaje

"Mtanzania mwenzangu kwanini unampenda rais wa marekani obama?"
 
Obama is clever. Watu waliosoma Harvard wanayo reputation ya kuwa clever. Harvard is one of The Big Four Universities of The USA.
Halafu Obama anatoka Kenya,ambayo ni East Africa, au kama utamwamini Prof Sarungi, grandparents wa Obama wanatoka Rorya.
What we do here in East Africa is very important kwake yeye,to enhance his reputation. Na watu wa Kenya ni very clever. Inasemekana kwamba IQ za watu wa Kenya zinafananafanana na IQ za nchi zilizoendelea.
Obama is clever. Kazi ya Rais ni kutuambia tufanye nini.Huyu Obama ni Rais wa Dunia. Katika kazi yake he has more reources,in terms of experts he can employ,kwa hiyo he is better able to help us. Kama tukiweza kumsikiliza na labda kufaidika na hekima zake,this will be good. Jana saa tano usiku nilikuwa namsikilza katika ile Press Conference na Canadian Prime Minister Harper,safari yake ya kwanza out of the United States.
He spoke very. The man is speaking like a Messiah. Of course he is not The Messiah. Lakini watu wamemchangamkia Obama. They should not be discouraged. In the end,they will save themselves,they cannot be saved by anyone else. Lakini any enthusiasm they have for anything makes them work harder.
Press conference ya jana Canada binafsi niliifuatilia jamaa yupo eloquent kishenziii
nimejiuliza kwa nn viongozi wetu hawaongei kwa authoity with statistic well documented kuhusu maendeleo na changamoto zetu.

jamaa anaielezea marekani yenye watu 300m, 51states, kama kuelezea duka la jumla la vinywaji!!!!

sijawahi kumsikia mkuu hapa akichambua hii nchi by sectors kama elimu au afya kwamba kwa mikoa 21, wilaya 113, tarafa .....watu .....watapata huduma ya walimu, madarasa, wauguzi, na zitachochea ajira kiasi fulani, pato... na bajeti tulotenga inauwezo wa kufanya kiasi hiki???????

jamani presidency si taasisi na mkulu ana watu kibao wakumpa mambooooo??? TUJIFUNZE HAPA...
 
Oh,handsome,everybody is handsome.By the way how does that help you? As to his success in life,it is surely not of his own making!It was planned,organized and implemented by the Illuminati.Unfortunately you guys don't want to read,this is an open secret!And his speech,it 'sounded" great yes,but was actually nothing but another orchestrated illusion to confuse the unsuspecting including you!

So John Kerry, David Ax, Michele Obama etc. are illuminati? The problem with guys like you ni kwamba huwa mnarukia jambo linapokuwa tayari obvious ( He is gonna win). Na mkisoma vijiarticle vya 2 pages then you think you are pundits or news analysts I should say.

Nakushauri upitie vizuri hayo maandiko yako It is likely hukuelewa maana kama unashindwa kuelewa kijiswali cha one sentence. What will then b for a paragraph?
 
Mimi nilimpenda kipindi kile cha uchaguzi, just kujifariji tu na kupunguza machungu ya maisha ili siku zisogee. Yaani kwa ufupi, nilimshabikia tu kama ambavyo ninaishabikia Chelsea ya London kule Uingereza kila inapocheza, mpira ukiisha narudi home na kukuta masaa yamesogea. Inakuwa usiku inakuwa mchana, siku imeenda !!


Duuh..sio mchezo!! Umenifurahisha sana mkuu. Unanikumbusha hatari ya kufanya mambo kwa mazoea
 
Mkuu, hili ni swali muhimu sana. Kimsingi ushabiki juu ya viongozi unapaswa kuwa juu ya sera zao na tathimini ya yale waliyotenda kabla ya kugombea nafasi fulani pamoja na uhalisia wa sera wanazo zipropagate. Suala la uhandsome, colour, etc hayana tija kwa kiongozi wa nchi bali katika 'model' industry. Mi naomba pia nikurudishe nyumbani kidogo. Kikwete alipendwa kuliko maelezo wakati anagombea kiasi cha kushawishi wananchi kuwachagua hata wabunge waliokuwa wamechokwa na wananchi. Lakini ukiuliza watanzania walimpendea nini unaweza ukakosa jibu la msingi.

Binafsi nina ushabiki wa siasa za kidunia. Hivyo huwa ninamtazamo wangu tofauti ninapotizame wanasiasa wa marekani kwani wanaimpact kubwa sana katika dunia yetu (mnaweza bisha) lakini huo ndio ukweli. Nadhani, hili liwe somo kwa watanzania juu ya ushabiki kwa viongozi hata hapo kwetu TZ
 
Back
Top Bottom