Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
jamani mmeliona mtanzania la leo? hivi rostam ameamua kugeuka au si mmiliki wa gazeti hilo kuanzia leo?
ameniudhi kweli..kama hutaki tujue kilichoandikwa si ukae kimya? au na mimi nisipokueleza kilichomtokea JK kule davos utajisikiaje/?jamani si muweke hicho kilichoandikwa hili na sisi tuliombali na upeo wa hilo gazeti tuweze kuona
Headline yao kubwa inasema hivi:jamani si muweke hicho kilichoandikwa hili na sisi tuliombali na upeo wa hilo gazeti tuweze kuona
Mhh!!! Lakini bado RA akitaka lake liandikwe huandikwa bila pingamizi kutoka kwa Bashe au yeyote. Wako Balile na Mayage wanoendelea kulamba viatu vya RA.
Mfano, RA akitaka lake liandikwe basi hutuma Headline tu na vibwagizo -- na kutoa agizo kwa mhariri (balile au Mayage) aandike/atunge stori kufuatana na headline na vibwagizo hivyo.
Mfano anaweza kutoa Headline 'Imedhihirika wa kulaumiwa malipo ya Dowans ni Sitta' basi ni lazima stori itafutwe au itungwe kufuatana na headline hiyo.
Kuna uandishi wa kiajabu ajabu sana pale New Habari na sijui Baraza la Habari linalijua hili.
Mhh!!! Lakini bado RA akitaka lake liandikwe huandikwa bila pingamizi kutoka kwa Bashe au yeyote. Wako Balile na Mayage wanoendelea kulamba viatu vya RA.
Mfano, RA akitaka lake liandikwe basi hutuma Headline tu na vibwagizo -- na kutoa agizo kwa mhariri (balile au Mayage) aandike/atunge stori kufuatana na headline na vibwagizo hivyo.
Mfano anaweza kutoa Headline 'Imedhihirika wa kulaumiwa malipo ya Dowans ni Sitta' basi ni lazima stori itafutwe au itungwe kufuatana na headline hiyo.
Kuna uandishi wa kiajabu ajabu sana pale New Habari na sijui Baraza la Habari linalijua hili.
Competition ni kubwa siku hizi na walikuwa washasomeka kama Gazeti la Rostam,not even la chama,ni lazima wabadilike nafurahi wameona umuhimu wa kubadilika kabla hajabaki Rostam mwenyewe wa kununua hilo gazeti:coffee:
We should take care anyway. Mara chache ambazo nimeona wanaandika hbr neutral, ni kuwa cku 2 au 3 baadae wanafyatuka na stor kubwa ya uchochezi, ama udini au kuichafua cdm. So wanafanya kama vile kujikosha kwanza ili wakitoa hy stor, ionekane kama nayo ni neutral.
ameniudhi kweli..kama hutaki tujue kilichoandikwa si ukae kimya? au na mimi nisipokueleza kilichomtokea JK kule davos utajisikiaje/?
Competition ni kubwa siku hizi na walikuwa washasomeka kama Gazeti la Rostam,not even la chama,ni lazima wabadilike nafurahi wameona umuhimu wa kubadilika kabla hajabaki Rostam mwenyewe wa kununua hilo gazeti:coffee:
gazet la mtanzania na mengine yote yaliyo chini ya rostam hayafai kusomwa na Watanzania! hata wajikoshe namna gani hatuyanunui, hatuwezi kuendelea kumuongezea huyo fisadi fedha zetu.
wanao anzisha thread za namna hii wanataka kukupandisha mori ili ilinunue gazeti lao!
Headline yao kubwa inasema hivi:
Kikwete mambo mazito
Stori ya pili inasema:
... Askofu Nzigilwa amvaa
ameniudhi kweli..kama hutaki tujue kilichoandikwa si ukae kimya? au na mimi nisipokueleza kilichomtokea JK kule davos utajisikiaje/?