Hukuuliza sababu , umetoa umefikiria kwa niaba ya wachangiaji. Kijana huyu yupo zaidi ya wiki tangu amekuja na mambo yake yalionekana wazi kwenye Tv na bado hujasoma mitandao mingine kama fb kuona kama hawajamkubali. Binafsi nahisi labda watu hawapendi uzi zako hapa Jf wameona zina mapungufu