Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,875
Bwana ametoa, Bwana ametwaa

Wakati nipo njiani nampeleka mtoto hospitali ya TMJ baada ya kupata homa kidogo,sasa wakati tunakaribia kufika daraja la Mlalakuwa nikaona walinzi wa Royal Oven pale Kawe wakiwa wamelazwa chini.Tulipita darajani kwa mwendo wa kasi sana bila kutoa msaada.

Wakati tunarudi baada ya kumaliza matibabu tukamkuta RPC na wenzake wakiomboleza vijana wamepiga kazi,na pembeni tukaona gari aina ya Toyota Noah imezungukwa pembeni kuna tobo la risasi.

Chini ya gari hilo kulikuwa na damu nzito,kumbe kuna mtu kauawa muda mchache uliopita wakati akinunua vitafunwa..

Sina cha kusema zaidi ya kumwachia Mungu tu ajuaye.

 
marehemu ameacha noah.T489BKQ
MENGINE SIJAJUA

HII NIMEIONA ROYALOVEN SO.SAD HIVI.SASA.IKO POLISI .SO SAD
 
Daaaah hamna utu kabisa. Hata sijui tunaenda wapi? ?
 
Mmm hatariii.. Au jamaa alikuwa na furushi labda!!
 
Hapo noma mie napitaga baru make ukikwepa cha moto hapo utakutana na sumu kwenye mikate.
Hapo kuna sabotage ya ajabu.
Napakimbia vibaya mno.
R.i.p mwenye Noah.
 
It is truely sad that our fellow human being, one of our kind has been hurt and all we can come up with is some useless jokes, making fun and forgettin that these series of attacks have become just too many in our communit. Where is our conscious? Indeed we are no different than those babarics who did committed this inhuman act.
 
Bado sijajua ni nini haswa chanzo cha mauaji hiyo!

Hebu mleta uzi huu funguka kidogo!
 
yan kukicha kama sio ajal basi ujambazi.Mi nadhan tuwatoe kwenye list y maadui wa taifa hili Ujinga na maradhi tumepambana nao vya kutosha hasa ujinga tumeushinda asilimia fulani tuna njia mbadala DIVISION 5 pesa hiyo sasa ielekezwe huku kwenye majanga haya mawili AJAL NA UJAMBAZI VINAMALIZA NGUVU KAZI YA TAIFA HILI
Sasa vitambuliwe kuwa maadui wakubwa wa taifa hili,vita ya ujinga na maradhi tuutupe kule kwani haya mambo mawil yameshamiri sasa.askari wawezeshe kwa mafunzo zaidi wapelekwe hata nnje wakajifunze mbinu kubwa zaidi.Mishahara vitendea kazi,jiji linaitaj kamera tuwekezeni huku kwanza.Polisi kiukweli mnjithid msife moyo endeleen kutulinda raia
 
Hapo noma mie napitaga baru make ukikwepa cha moto hapo utakutana na sumu kwenye mikate.
Hapo kuna sabotage ya ajabu.
Napakimbia vibaya mno.
R.i.p mwenye Noah.

Royal Oven ni pa kuogopa kama ebola.
 
Royal Oven ni pa kuogopa kama ebola.

Serikali inawezaje kupeleka majeshi Sudan na DRC ikashindwa kusafisha hao wanaofanya hayo hapo mahali maana hapo mahali pakekuwa ni simulizi ya siku nyingi sana, ukiangalia utaona ji kama hao wanaofanya huo uhalifu hapo ni wazoefu na hilo eneo, why not set up a trap?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom