Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

We Pdidy Umepotelea Wapi? Siku Nyingi Sana Mkuu AU Ndiyo Zile Kadi Zetu Nyekundu Za Kutoka Kwa Marefarii Wetu ( Moderators ) Humu JF? Nimekumisi Mno!

Mkuu si umeona naitafuta phd yakina mrema nikishinda huku lazima wanivue nguo mpwa
upo ..zidi kuniombea bana ...shule ya uzeeni nataaka kazi nataka loh acha tu ....
 
daadeki, niko shamba mkuu wangu didy, nikishuka mjini tu breki ya kwanxa leaders kukuvizia kuanzia saa kumi jioni najua utatokea tu babu unioneshe warembo wote wa jf, maana wanajidai sana na avatar zao za kuchonga!hahahhha

mpwa jana nimekusikiliza kweli MIGODI ilikuwa ya Kumwaga unavuta tu kwa mkono

loh nikaelekea chuo mpwa sijui wanaita NYAMA CHOMA FESTIVAL Loh nikakimbia getini niko na mdogo wangu
kiingilio cha wawili Nyama ya Ngombe Kg 4 ..nkamwambia mlinizi mbarikiwe tu kwa hili jamani wacha nielekee afrikasana
kula nyama choma ....infact niliwiwa kuamini watanzania wanapenda starehe jamani...yaani pamoja na kiingilio cha alfu kumi wanafunzi ambao awafanyi kazi walijaa wengi kuliko wafanyakazi wamepata wapi kiingilio uciniulize zaidi

Mungu awabariki Unajua mara ya mwisho kuingia kwenye viingilio nilipa alfu tatu niliposikia alfu kumi nikaanza kuvuta sura yaani haya ni matamasha matatu nahudhuria kwa wakati mmoja 10,000/3000 Mbaya sina uhakika kama hela yangu wanaenda kuitolea sadaka ama zaka ..nikakimbia mpwa
 
Hiyo jamaa aliye uwawa anaitwa Charles kadala.amekulia Iringa Na kusoma Iringa.akahamia dar Na yeye alikuwa MTU Wa front Wa papa msofe na Masawe.mazishi kesho luywa soni tanga.
 
mpwa jana nimekusikiliza kweli MIGODI ilikuwa ya Kumwaga unavuta tu kwa mkono

loh nikaelekea chuo mpwa sijui wanaita NYAMA CHOMA FESTIVAL Loh nikakimbia getini niko na mdogo wangu
kiingilio cha wawili Nyama ya Ngombe Kg 4 ..nkamwambia mlinizi mbarikiwe tu kwa hili jamani wacha nielekee afrikasana
kula nyama choma ....infact niliwiwa kuamini watanzania wanapenda starehe jamani...yaani pamoja na kiingilio cha alfu kumi wanafunzi ambao awafanyi kazi walijaa wengi kuliko wafanyakazi wamepata wapi kiingilio uciniulize zaidi

Mungu awabariki Unajua mara ya mwisho kuingia kwenye viingilio nilipa alfu tatu niliposikia alfu kumi nikaanza kuvuta sura yaani haya ni matamasha matatu nahudhuria kwa wakati mmoja 10,000/3000 Mbaya sina uhakika kama hela yangu wanaenda kuitolea sadaka ama zaka ..nikakimbia mpwa


aahahahaha, unauwa mpwa, we kuna mtu wa kukutoza kiingilio kweli mpwa wangu nyie ndiyo wazee wenyewe wa mji?!! buku teni hakyanani hata mimi sitoi, labda kama wananipa na kilo ya nyama bure. hao wanafuzi hiyo buku teni wanatoa ndiyo mtaji wenyewe, akizama ndani itaenda kulipa tu!
 
Pdidy atakuwa wale askari kanzu wanaotembea na madifenda kusaka dili za wizi.

Cc: Polisi
 
Last edited by a moderator:
aahahahaha, unauwa mpwa, we kuna mtu wa kukutoza kiingilio kweli mpwa wangu nyie ndiyo wazee wenyewe wa mji?!! buku teni hakyanani hata mimi sitoi, labda kama wananipa na kilo ya nyama bure. hao wanafuzi hiyo buku teni wanatoa ndiyo mtaji wenyewe, akizama ndani itaenda kulipa tu!

hahaaa kwaiyo wana fanya assign...ndani loh

nilisikia.chookikubwa mpwa
 
Annointed plp wako hapa.

Walewanaohisi kuajiri ndugu zao kilaini
kama uhamiaji

mungu wa ajira yuko humu mkuu

MINISTRATION OF new ANNOINTING WATER.CONT
 
hiyo jamaa aliye uwawa anaitwa charles kadala.amekulia iringa na kusoma iringa.akahamia dar na yeye alikuwa mtu wa front wa papa msofe na masawe.mazishi kesho luywa soni tanga.

mercie.jesu"e
 
Bwana ametoa, Bwana ametwaa

Wakati nipo njiani nampeleka mtoto hospitali ya TMJ baada ya kupata homa kidogo,sasa wakati tunakaribia kufika daraja la Mlalakuwa nikaona walinzi wa Royal Oven pale Kawe wakiwa wamelazwa chini.Tulipita darajani kwa mwendo wa kasi sana bila kutoa msaada.

Wakati tunarudi baada ya kumaliza matibabu tukamkuta RPC na wenzake wakiomboleza vijana wamepiga kazi,na pembeni tukaona gari aina ya Toyota Noah imezungukwa pembeni kuna tobo la risasi.

Chini ya gari hilo kulikuwa na damu nzito,kumbe kuna mtu kauawa muda mchache uliopita wakati akinunua vitafunwa..

Sina cha kusema zaidi ya kumwachia Mungu tu ajuaye.


Hivi JKT hawaoni aibu wizi kutokea jirani ya HQ yao????
 
Mkuu si umeona naitafuta phd yakina mrema nikishinda huku lazima wanivue nguo mpwa
upo ..zidi kuniombea bana ...shule ya uzeeni nataaka kazi nataka loh acha tu ....

Nimekupata Na Kaza Buti Mkuu. Hongera Sana Kwa Kujiendeleza Zaidi Kimasomo! Vipi Huko Napo BRN Inazingatiwa? I am Just Kidding Brother.
 
Hivi JKT hawaoni aibu wizi kutokea jirani ya HQ yao????

UNATOKEA GEITA KITUO CHA POLISI NA JAMAA WAMETANGASIWA MIL 10

atakaepata.silaha zilizoibiwa sio walioua polisi
 
Nimekupata Na Kaza Buti Mkuu. Hongera Sana Kwa Kujiendeleza Zaidi Kimasomo! Vipi Huko Napo BRN Inazingatiwa? I am Just Kidding Brother.

haaaa huku namisi.deo tu

chuoni ukienda na gf.watu waanachana na nyavu kykuchungulia

leo natoka shule namptia mama didy hme kuchunguliwa.akupotena
 
Kumbe ni mtumishi wa Mungu? Sikujua hilo.

Ananichekesha kwa majibu yake ya papo kwa papo


haa haaa angel bana

nakukumbusha waziri mkuu nini bungeni sema yeye anakuwa kapewamaswali kabisa ...nimekumiss sana upo
 
Kumbe ni mtumishi wa Mungu? Sikujua hilo.

Ananichekesha kwa majibu yake ya papo kwa papo

naangalia tb joshua dada mmoja ameombewa pepo linamtoka kwa ninii mnataka nitoke huyu ni mke wetu nawaambia nita waua ...anaulizwa na huyu pembeni ni nani..anajibu haka kakaragosi changunakaweka uvunguni akapumui kabisa

Mumewe anaulizwa na huyu ni nani anajibu huyu mke wangu ..pepo linasema shataaaaaapuuuu umenioa lini unanijua wewee..hee hatari kumbe tuwe makini sana wakati wa ndoa jamani
Mungu awaptishe wale wanaopita kwenye mapito na hata yanayotokea humo ndani nimeamini si wao ni mapepo tu

Usihofu angel m nshaoa tuko tunapambana ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom