OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Na haya matukio ya Wafanyabiashara wakubwa kufitiniana wao kwa wao naona yanazidi kasi sana.
Watu hata hawamuogopi mungu kwa kutambua uwepo wake.Kila mtu mungu kampa fungu lake hata kama akifunga hapo ni kwamba mshindani wake anaweza asipate chochote zaidi ya laana tu.
Maisha ukikaa chini na kuaangalia ni ya mpito na mafupi sana.Unapopandisha pumzi juu basi ukiishusha mshukuru mungu,wapo wanaoshusha pumzi ndio inakuwa moja kwa moja,
Tutambue kwamba haki ya mtu hailiwi wala haidhulumiwi.
Kama ni fitna wangeichoma hiyo bakery. Kuna la zaidi