Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

Ni hapo jirani na JKT HQ? wanadamu wana roho ngumu sana aisee
 
Hivi haya maduka ya kuuza silaha bado yapo? au zinatoka nchi jirani? kwa staili hii wanasiasa wajiandae
 
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA

NIKIWA NAPITAKUPELEKA MTOTO TMJ AKIWA NAKAHOMa

NKAONA WALINZI WA ROYAL OVEN KAWE WAMELAZWA CHINI.TULIPITADARAJANI.KAMA.WEHU

WAAKATI WA KURUDI NAMKUTA RPC NA WENZAKE WAKIOMBOLEZA VIJANA WAMEPGA KAZI...GAFLA NAONAGARI YANOAH IKIZUNGUKWA PEMBENI KUNA TOBO LA RISASI

LOH CHINI NAONYESHWA DAMUNZITO JAMANI ATI MAREHEMU KAUWAWA DK KADHAA ZILIzopta akinunua chapat na mkate

so sad sina chakusema whr we go

ni Mungu tu ajuaye

Hatupendi Habari Nusu Nusu,Isiyokamilika Na Kukosa Accuracy!
 
Pdidy, huwa unanikosha sana kwa uandishi wako hivi ulimaliza Mlimani mwaka gani kuna siku ulieleza historia ya elimu yako.

Hahaha....anatisha sana mkongwe Pdidy....mpaka masters ni udsm ....
 
Looks like huyo ndugu wanam sabotage. Mara kadhaa wezi wanavamia hapo. Kuna wakati wamama flani wakanunua kati ya keki au maandazi au sambusa wakasema wametapika na kuharisha wakasema zina sumu.
 
bado sijajua ni nini haswa chanzo cha mauaji hiyo!

Hebu mleta uzi huu funguka kidogo!

ndugu yangu watu wana yao...hasa visasi....mambo ya dhuluma kifamilia na uonevu ulokithiri...wala huu si ujambazi asilani.
 
Looks like huyo ndugu wanam sabotage. Mara kadhaa wezi wanavamia hapo. Kuna wakati wamama flani wakanunua kati ya keki au maandazi au sambusa wakasema wametapika na kuharisha wakasema zina sumu.
Lakini yeye anafanya juhudi gani kujilinda pamoja na wateja wake???!!!
Kuna cameras??!!!!
Askari gani wanalinda hapo maana kama walikusanywa na kulazwa chini hapo kuna ulinzi??!!!
Atafute plain cloth na ku m plant hapo, mi sikubali kama pameshindikana hapo mahala
 
ndugu yangu watu wana yao...hasa visasi....mambo ya dhuluma kifamilia na uonevu ulokithiri...wala huu si ujambazi asilani.

Yawezekana lakini kwa nini iwe hapo isiwe kwake???!!
Mbona hapo inaleta shida kuliko wangemsubiria getini kwake au hata kum hijack wakati anaondoka???!!
 
Kwa mara ya kwanza leo Pdidy umeandika bila kigugumizi...

Halafu mkuu kwa nini mlivyopita eneno hilo hamkuelekea kituo chochote cha karibu kutoa japo taarifa ya uvamizi kwa polisi?
 
Lakini yeye anafanya juhudi gani kujilinda pamoja na wateja wake???!!!
Kuna cameras??!!!!
Askari gani wanalinda hapo maana kama walikusanywa na kulazwa chini hapo kuna ulinzi??!!!
Atafute plain cloth na ku m plant hapo, mi sikubali kama pameshindikana hapo mahala

Na huyu Pdidy mbona kila wizi ukitokea nae yumo?ni coincdence ama?
 
Mimi mteja mkubwa sana wa vitafunywa hapo lakini sasa nitahamia Tangibovu amefungua branch nyingine hapo.Bakery yake na products zake ni super sasa issue ni wivu wa kibiashara au vipi sijui,kwa sababu kama ni personal issue kwa nini wasimtafute mwenyewe badala yake wanafuata eneo la biashara?

Na wewe @Pdidy matukio mengi ya uhalifu maeneo haya unayashuhudia,ni coincidence au?
 
Hapo noma mie napitaga baru make ukikwepa cha moto hapo utakutana na sumu kwenye mikate.
Hapo kuna sabotage ya ajabu.
Napakimbia vibaya mno.
R.i.p mwenye Noah.

si ndio hapo sasa, nakumbuka kuna kipindi watu walikula "egichopu" wakafa wengine sijui wakalazwa.
 
Na haya matukio ya Wafanyabiashara wakubwa kufitiniana wao kwa wao naona yanazidi kasi sana.
Watu hata hawamuogopi mungu kwa kutambua uwepo wake.Kila mtu mungu kampa fungu lake hata kama akifunga hapo ni kwamba mshindani wake anaweza asipate chochote zaidi ya laana tu.
Maisha ukikaa chini na kuaangalia ni ya mpito na mafupi sana.Unapopandisha pumzi juu basi ukiishusha mshukuru mungu,wapo wanaoshusha pumzi ndio inakuwa moja kwa moja,
Tutambue kwamba haki ya mtu hailiwi wala haidhulumiwi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom