Ni engineer Léonard Shayo ambaye pia ni fundi mitambo wa Azam Media, amefanikiwa kutengeneza satelaiti mahususi kwa ajili ya kukusanya taarifa za hali ya hewa.
Satellite hiyo imefanyiwa majaribio katika mikoa kadhaa na kutoa matokeo chanya.
Ila sijuwi kama watanzania watamuelewa na kumpa airtime
Watanzania wee waambie wakuna doto magari,mwijaku,baba level,konde,monde,zchu,mandonga hao ndy role model zao
Azam kuna kampuni ya satellite wanailipia.
Ndio maana nlikuwa nashangaa kama amerusha hizo satellite kwenye low orbit, lakini kongole kwake kazi nzuri sana. Inapaswa waendelezwe zaidi.
Azam kuna kampuni ya satellite wanailipia.
Ndio maana nlikuwa nashangaa kama amerusha hizo satellite kwenye low orbit, lakini kongole kwake kazi nzuri sana. Inapaswa waendelezwe zaidi.
Ni engineer Léonard Shayo ambaye pia ni fundi mitambo wa Azam Media, amefanikiwa kutengeneza satelaiti mahususi kwa ajili ya kukusanya taarifa za hali ya hewa.
Satellite hiyo imefanyiwa majaribio katika mikoa kadhaa na kutoa matokeo chanya.
Ila sijuwi kama watanzania watamuelewa na kumpa airtime
Watanzania wee waambie wakuna doto magari,mwijaku,baba level,konde,monde,zchu,mandonga hao ndy role model zao