Huyu sasa ndio mwisho wa kuenjoy utajiri wake.Daah jamaa kapata pesa kaanza umafia.
Huyu sasa ndio mwisho wa kuenjoy utajiri wake.Daah jamaa kapata pesa kaanza umafia.
Atamaliza tu hakuna mkate mgumu mbele ya chai .jamaa ni billionaireHuyu sasa ndio mwisho wa kuenjoy utajiri wake.
Kweli ila furaha yake ishaharibiwa na hisia za hatia.Atamaliza tu hakuna mkate mgumu mbele ya chai .jamaa ni billionaire
Huyu ni kama yule mwingine wa juzijuzi Uingereza?Hakuna sababu ya kushikilia Teknolojia ambayo inapunguza matumizi ya Mkaa kwa sababu tu umeigundua. Nimeamua kuiuza Teknolojia hiyo kwa watu wenye fedha ili waisambaze Afrika" alisema Mendes wakati wa hafla ya mauziano ya Teknolojia hiyo iliyofanyika jijini Nairibi nchini Kenya.
Hivi MaxCom waliishia wapi😂Mtanzania Andron Mendes ameuza mfumo wa mita ya kulipia ya kulipia gesi ya kupikia kadri unavyotumia (PAYG) kwa Kampuni ya Circle gas ya Uingereza kwa Sh.57.6 bilioni ili isambazwe kwa nchi za Afrika.
"Hakuna sababu ya kushikilia Teknolojia ambayo inapunguza matumizi ya Mkaa kwa sababu tu umeigundua. Nimeamua kuiuza Teknolojia hiyo kwa watu wenye fedha ili waisambaze Afrika" alisema Mendes wakati wa hafla ya mauziano ya Teknolojia hiyo iliyofanyika jijini Nairibi nchini Kenya.
View attachment 1325554
=====
Huu mtungi unaonesha salio la gesi mkuuKwahiyo kutakuwa na mabomba ya gesi. Mtz mwingine avumbue mtungi ambao unaweza kuangalia salio la gesi ili tuondokane na adha ya gesi kukatika gafla.
Sent using Jamii Forums mobile app