Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,127
- 829,015
Erasto mpemba alikuwa ni mzaliwa wa Lushoto mkoani Tanga, Alikuwa ni mwanafunzi ambae alikuwa na bidii katika masomo yake
Wakati yupo kidato cha tatu katika shule ya secondary Magamba ya mkoani Tanga walikuwa wakitengeneza aiskrimu za maziwa na kuweka kwenye friji ili zigande
Kawaida yao walikuwa wakichemsha maziwa ya moto kisha wanaweka sukari wanasubiri maziwa yapoe halafu ndio waweke kwenye friji
Lakini nafasi ilikuwaga ni ndogo katika friji kwahiyo kama ukichelewa itabidi usubiri wenzako aiskrimu zao zigande ndio uweke ya kwako
Siku moja Erasto Mpemba aliweka maziwa yakiwa bado ni ya moto akihofia kukosa nafasi kwenye friji, ila wakati anasubiri alijua kwamba haiwezekani maziwa yake yakaganda maana yalikuwa ni ya moto
Lakini jambo la kushangaza ni kwamba maziwa yake yaliwahi kuganda haraka kabla ya walioweka maziwa yaliyopoa, jambo lililomshangaza sana Erasto Mpemba na kutaka kujua kwanini iwe hivyo?
Alimfuata mwalimu wake wa physics ambaye alimkatalia akisema
Wakati yupo kidato cha tatu katika shule ya secondary Magamba ya mkoani Tanga walikuwa wakitengeneza aiskrimu za maziwa na kuweka kwenye friji ili zigande
Kawaida yao walikuwa wakichemsha maziwa ya moto kisha wanaweka sukari wanasubiri maziwa yapoe halafu ndio waweke kwenye friji
Lakini nafasi ilikuwaga ni ndogo katika friji kwahiyo kama ukichelewa itabidi usubiri wenzako aiskrimu zao zigande ndio uweke ya kwako
Siku moja Erasto Mpemba aliweka maziwa yakiwa bado ni ya moto akihofia kukosa nafasi kwenye friji, ila wakati anasubiri alijua kwamba haiwezekani maziwa yake yakaganda maana yalikuwa ni ya moto
Lakini jambo la kushangaza ni kwamba maziwa yake yaliwahi kuganda haraka kabla ya walioweka maziwa yaliyopoa, jambo lililomshangaza sana Erasto Mpemba na kutaka kujua kwanini iwe hivyo?
Alimfuata mwalimu wake wa physics ambaye alimkatalia akisema