Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Nyie endeleeni na mishangazi tu.I sack Newton mchumba tu bwashee , sisi ndio wabongo master
Nyie endeleeni na mishangazi tu.I sack Newton mchumba tu bwashee , sisi ndio wabongo master
Tulia bwasheeNyie endeleeni na mishangazi tu.
Malizia au imeisha?Alimfuata mwalimu wake wa physics ambaye alimkatalia akisema
Mkuu kumbe umepita Tiba Udom hapo kongole sana.Wapo watanzania wengi tu bwashee.
Kuna Prof Ainory Gesase . Yeye ni mtaalamu wa Anatomical variations.
Yeye aligundua mishipa ya figo na Korodani ( ranal & testicular vessel) zenye njia za kipekee mno.
Lazima nimsifie professor wangu bwashee 😅Mkuu kumbe umepita Tiba Udom hapo kongole sana.
Kweli mkuu prof wa anatomy huyo hatari.Lazima nimsifie professor wangu bwashee 😅
Huyo jamaa alikua anatulaza cadavaKweli mkuu prof wa anatomy huyo hatari.
Kweli ila Kwa Sasa Dr. Mchonde ndo mzee makadava huko.Huyo jamaa alikua anatulaza cadava
Pro Gasase yupo wapi kwa sasaKweli ila Kwa Sasa Dr. Mchonde ndo mzee makadava huko.
Ameshastaafu kazi tayali sijui atakuwa wapi Kwa Sasa.Pro Gasase yupo wapi kwa sasa
Mkuu vp leo umetupia masanga nini?I sack Newton mchumba tu bwashee , sisi ndio wabongo master
Umempendelea sana, robo (25%) ni kubwa mno, huyo hafiki hata 0.5%.Mpemba hafikii hata robo % ya Newton.
Wakati hatambuliki, vilaaza kama Saamiaa wanapeewa ujiko kwa uchawa na uzwazwa.Erasto mpemba alikuwa ni mzaliwa wa Lushoto mkoani Tanga, Alikuwa ni mwanafunzi ambae alikuwa na bidii katika masomo yake
Wakati yupo kidato cha tatu katika shule ya secondary Magamba ya mkoani Tanga walikuwa wakitengeneza aiskrimu za maziwa na kuweka kwenye friji ili zigande
Kawaida yao walikuwa wakichemsha maziwa ya moto kisha wanaweka sukari wanasubiri maziwa yapoe halafu ndio waweke kwenye friji
Lakini nafasi ilikuwaga ni ndogo katika friji kwahiyo kama ukichelewa itabidi usubiri wenzako aiskrimu zao zigande ndio uweke ya kwako
Siku moja Erasto Mpemba aliweka maziwa yakiwa bado ni ya moto akihofia kukosa nafasi kwenye friji, ila wakati anasubiri alijua kwamba haiwezekani maziwa yake yakaganda maana yalikuwa ni ya moto
Lakini jambo la kushangaza ni kwamba maziwa yake yaliwahi kuganda haraka kabla ya walioweka maziwa yaliyopoa, jambo lililomshangaza sana Erasto Mpemba na kutaka kujua kwanini iwe hivyo?
Alimfuata mwalimu wake wa physics ambaye alimkatalia akisemaView attachment 3488436
The Mpemba effect is a phenomenon where, under certain conditions, a liquid (usually water) appears to freeze faster when it's hotter than when it's cooler. This seems to defy the conventional understanding of thermodynamics.Malizia au imeisha?
Ya mwaka gani hii?
Mkuu Kiranga Sakala Kandubwa Kiranga wa Mbwamaji,unamtaja Yesu tena wakati huamini katika bible wala dini? Ni vipi hapo mkuu?Kudos to him.
Lakini hiyo Mpemba effect ilishaandikwa na Artistotle miaka aliyoishi huko nyuma kabla ya Yesu kuzaliwa. Aristotle alifariki miaka 322 kabla ya common era /kuzaliwa na Yesu.
Ina maana Aristotle aliandika hili jambo miaka zaidi ya 2347 iliyopita.
Na zaidi, hiyo Mpemba effect yenyewe inakuwa questioned.
Soma hapa.
![]()
Questioning the Mpemba effect: hot water does not cool more quickly than cold - Scientific Reports
The Mpemba effect is the name given to the assertion that it is quicker to cool water to a given temperature when the initial temperature is higher. This assertion seems counter-intuitive and yet references to the effect go back at least to the writings of Aristotle. Indeed, at first thought one...www.nature.com
It is a false dichotomy logical fallacy to think that whoever mentions Jesus believes in the Bible.