Mtanzania aliyeko kwenye jeshi la Marekani

Mtanzania aliyeko kwenye jeshi la Marekani

upload_2016-10-29_11-32-26.png
 
Ni kweli kuna watanzania ni wanajeshi na police nchini marekani na uwingereza.......

Lakini lazima kwanza kiapo cha mahakama kuukana uraia wako wa zamani....

Hiyo inawezekana kwa sababu vijana wengi wanaozaliwa sasa hasa USA wanakuwa goigoi kuendesha operations za kijeshi hivyo wanakopa wageni kutoka Israel, Nigeria,Mexico na Canada na kwingine kunakoaminika si maadui wa marekani......

Ndio maana unaona trump baada ya kuwashambulia Mexico atakwama na hawezi tena kuwa rais wa marekani....
 
Wakuu,kuna mtu kanidokeza eti kuna jamaa mmoja ambae ni mtanzania ni askari mwenye cheo cha luten general yuko kwenye jeshi la marekani.
Kuna mwenye data za huyu jamaa?
Mbona kawaida! Namfahamu mmoja yuko jeshi la Uingereza ni rubani! Anashiriki sana hizo mission za Mashariki ya kati! Kwa sababu kadhaa siwezi kuexpose details zake hapa!
 
Cha ajabu nini?America is considered the land of opportunity among immigrants because the country is able to provide them with a variety of life options that they would not have had in other countries, such as economic stability and educational resources.
 
Back
Top Bottom