Mtanzania aliyeko kwenye jeshi la Marekani

Mtanzania aliyeko kwenye jeshi la Marekani

Mbona wapo kibao tu vijana wetu huko?Ila ndio walishaukana uraia na wamekuwa watu wa huko huko.
Hawa Mission za Afrika Mashariki wanatumwa sana sbb ya lugha na uzoefu wa kijiografia.Kuna kijana nilikaa nae Dsm mtaa mmoja alikuwa akisoma Benjamini Sekondari,alikuwa bwana mdogo na nauli za kuendea shule tumempa sana.Wakati huo sisi watu wazima tushapata kazi yeye bado skoga.Baadae nimekuja kukutana nae State ni Mjeshi wa cheo cha Luteni.Hata FB yupo na wala hajifichi.

View attachment 426032 View attachment 426033 View attachment 426034 View attachment 426035 View attachment 426037
kwa usalama wa huyu mtu sio vizuri kumuanika hivyo
 
Hawa wachaga walipo huko aisee lazima watakuja kuwauza kimangumashi one day
 
Changamkieni Fursa sasa Maisha yana njia nyingi kuyafikia, watanzania tunaaminika sana nje ya nchi, kama kwetu hapaeleweki kwa vijana angalia opportunities zilizopo nje.


hahaha.....alafu mumuachie nchi jamaa aijenge peke yake thubutuuu

sidhani kama atakubali
 
aaah!!! inamaana huyo luten general hats cr za huko anazifahamu au?
h
je,VP wanaaminika?
wanao uwezo wa kuwatembelea nduguzo?
kama itakuwa pouw bora niende zangu huku bongo michosho tu!
 
Wakuu,

Kuna mtu kanidokeza eti kuna jamaa mmoja ambae ni mtanzania ni askari mwenye cheo cha Luten General yuko kwenye jeshi la Marekani.

Kuna mwenye data za huyu jamaa?

Kwenye jeshi la marekani na uingereza hata wahindi, waarabu, na hata waafrika ukijumuisha watanzania wapo that's why tunasema marekani ni taifa la mchanganyiko Wa watu wengi!
 
Back
Top Bottom