Mtanzania aliechomwa Marekani hakuwa na ndugu, mwili wake ungerudishwa ungekosa wazikaji...

Kama mkewe hajui mumewe ametoka bongo pande gani basi yawezekana si mbongo! ... Mke ana kesi nzito ya kujibu kama ingekuwa jamaa ametoka kwenye ukoo wetu ... Binafsi siamini kuwa eti jamaa hana ndugu ndani ya bongo! Huku kwetu hata kama hukulelewa kwetu lakini tukigundua kuwa wewe ni damu yetu lazima tutakuzika tu! Kwanini hawakutangaza kwenye media za kibongo waone kama ndugu zake wasinge jitokeza....
 
Papo walipojikwaa, ndio maana wanajitetea sana.

Lakini mwisho wa siku, ilikuwa ni wajibu wa marehemu kujiwekea inshuarensi ya mazishi, kiukweli hakuna wakulaumiwa viiile. Hata kama wote ni watz, kila mtu kaenda huko kutafuta maisha, so huu ni mjadala wazi.

Kwani kuna yeyote aliyejikwaa?
 
Papo walipojikwaa, ndio maana wanajitetea sana.

Lakini mwisho wa siku, ilikuwa ni wajibu wa marehemu kujiwekea inshuarensi ya mazishi, kiukweli hakuna wakulaumiwa viiile. Hata kama wote ni watz, kila mtu kaenda huko kutafuta maisha, so huu ni mjadala wazi.

Sikuwa nazijua vizuri expectations za watu! Kaazi kweli kweli.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, Le mutuz ameshikilia bango suala la mbongo kuchomwa moto Marekani baada ya kukosekana dola $6,000. Lakini nataka niwaulize mnaotukosoa, JE MNAMFAHAMU MARAEHEMU?, MNAWAFAHAMU NDUGU ZAKE?

Katika pitia pitia kwenye mitandao na baada ya kuongea na wabongo wawili watatu walioko boksi la US nimegundua kuwa jamaa hakuwa karibu na ndugu zake na hajawahi kanyaga Bongo miaka thelasini. Tunaambiwa kuwa hata mke na watoto wake hawajui jamaa alitokea wapi.

Sasa kama hata mke na watoto wake hawajui asili yake kwa nini watu walikuwa wanangangania arudishwe bongo?

Mnapigania maiti irudishwe bngo wakati angekuwa mzima mngemnyima uraia?

Mimi nawaasa tu jamaa zangu wabeba boksi, mkiwa huku nje muwe mnakumbuka nyumbani, msisahau kwenu na mhakikishe hata watoto wenu mliozaa na vishoka wanakwenda home waumwe na mbu kidogo ili wajue wazazi walitokea wapi.


Pia jamaa yangu Le mutuz acha kutulaumu, sisi hata hatujui jamaa katokea wapi ulitaka tuchange hela apelekwe wapi? Unaweza kwenda kuzika mtu Tanga kumbe katokea Angola, huoni kama ni dhambi hapo?

Kama mimi mwongo naomba kama kuna mtu anaemfahamu hata ndugu mmoja tu wa marehemu ajitokeze hapa

- Mkuu sana wa dunia please naomba sana muniwache mimi niliombwa kusaidia kuchangisha pesa za kusaidia kuukomboa mwili wa huyo marehemu, nikiwa USA ilitokea ishu kama hii kijana mmoja mbongo alijiua alikuwa na mke mzungu na yeye hakuwa na kitu lakini tukachangishana tukauokomboa mwili tena zilikuwa almost the same kind of money,

- Mimi wala nilikuwa sijui hii habari mpaka nilipoombwa kushiriki kuitangaza kwenye blogu yangu kwa ajili ya michango, mkuu naomba kusema tena ni kweli mimi nimeishia huko na kabla ya kuhamia huko nilikuwa baharia nimezunguka Dunia nzima, kwa hiyo upeo wangu wa kutafuta maisha nili[pokuwa ninakuja huko hauwezi kuwa sawa na mtu aliyetoka kijijini akaja Dar, halafu akaenda USA huwezi kunilingnisha mimi na watu wa aina hiyo ambao ndio 99.9% ya wabongo wengi walioko huko na Ulaya, yaaani walikuja mjini hapa watuwazima, halafu ndio wakapata nafasi ya kwenda huko, mimi nimeanza kwenda huko nikiwa na umri mdogo sana kwa hiyo ndio maana hata upeo wa kujua kule ninafanya nini hauwezi kuwa sawa na hawa watu walioenda huko watuwazima,

- Ninapoandika anything hapa kuhusiana na Disapora, ninaandika nikiwa na uhakika kwa mfano ninawajua watu wengi sana waliopo huko ambao leo wakifa na wao yatakuwa haya haya na ninaweza kuwataja hata kwa majina na ndio wanao ongoza humu kwa kunitukana kila ninapogusa ishuz za Diapsora kwa sababu wanajijua kwamba wamedata, sio kosa langu mimi nasema ukweli na my experience,

- Nilikwenda New York City, nikiwa mwenyewe kama nilivyo nimeanza kufanya kazi gas stesheni na KFC, baadaye nikajifunza kuendesha malori makubwa nikiwa na CDL license ambayo kwa wanaoishi huko wanajua kivumbi cha namna ya kuipata, nikajisomesha Degree 2, nikatengeneza mambo yangu hapa bongo lakini nikiwa kule nilijikatia Life Insurance aambayo ninailipia mpaka leo, na besides all these pia nilifanya kazi kwa uadilifu mkubwa na adabu sana kwa kampuni moja miaka 24 ambao siku nilipowaomba kuacha kazi na kurudi bongo walinipa zaiwadi nyingi sana na mpaka leo bado wananikumbusha kila wakati offer yao ya kunitaka nirudi huko kuwafanyia kazi tena, na soon nitaanza kukusanya pensheni yangu ambayo waajiri wangu walinitengenezea kwa uzuri sana na hela ya kunitosha sana kuishi bongo bila hata ya kufanya kazi mpaka ninakufa,

- Sasa ninashangaa sana ninapoona mtu ameenda Ulaya au USA akashindwa kufanya niliyoyafanya, WHY? kwa nini ushindwe na umeenda Dunia ya kwanza, si bora ungebaki hapa bongo wakaenda wengine? Mimi siku zote nilikuwa nafanya kazi masaa 16 mpaka 18 kwa siku, watu wanafika huko wanaanza kujifanya kiushinda kwenye mapombe na kucheza cheza tu kutafuta wanawake wa kuwatunza, ndio maana mtaishia kuchomwa moto kwenye oven, wewe muafrika mzima mwanaume una nguvu na akili tiamamu leo unaweza kusifia kuchomwa moto mwili wako kisa cha Dola $ 6,000 tu mwanaume mzima mbongo zaidi ya miaka 30 huko nje aibu ya ajabu sana,

- Sasa mnahangaika kufungua haya mathread kisa nini unakataa ukweli au unataka niwataje wabongo wote ninaowajua wapo huko ambao akifa leo yatawakuta haya haya? Mnataka niwataje hapa? People tumieni akili kidogo mnapoandika hapa, mimi nimeishi huko watishieni maneno yenu ambao hawajafika huko, nenda nchi za watu and then rudi bongo tuone tofauti sio kukaa huko kulia lia kama mtoto mchanga unalilia nini sasa hapa? Ukweli upo wazi kwamba huyu mwenzenu huko ameharibu sasa tunawaambieni mjifunze yasiwakute mnaaa kulia lia hapa na ujinga ujinga kama huu what is this man?

THE BOTTOMLINE NI KWAMBA KAMA MMEAMUA MNATAKA KUCHOMWA MKIFA MSITUAMBIE MAMENO YA KUWACHANGIA, MIMI SIAJWAOMBENI MNCHANGIE FOR ANYTHING HATA NIKIWA HUKO HARUSI YANGU SIKUMCHANGISHA MTU NILILIPIA MWENYEWE, HIVI MMEENDA HUKO KUFANYA NINI HASA AU KUPIGA PICHA MKO MTONI? PLEASE LEAVE ME ALONE KAMA HAMUWEZI NITAENDELEA KUWAPA ZA USO!!

LE BIG SHOW
 
Watu tuna matatizo ya kusoma na kuelewa!

Zile dola 6,000 hazikuwa kwa ajili ya marehemu kurudishwa Tanzania.

Zilikuwa ni kwa ajili ya marehemu kuzikwa mazishi ya kawaida huko huko Madison, WI, na si kuuchoma moto mwili wake.
Kusafirisha maiti kutoka Marekani kwenda Tanzania ni zaidi ya dola 6,000.

Sasa sijui kwa nini watu mnadhani kuwa hizo pesa zingekuwa ni za kuusafirisha mwili wake hadi Tanzania.

Nyani Ngabu, mimi nimekuwa diaspora kwa miaka mingi na ktk nchi tofauti za uropu. Miaka ya 90 kuna mTZ mmoja alifia Japan. Bahati mbaya wakati wa uhai wake alijificha na hakutaka kufahamiana na waTZ wengine. Kilichofuata ni kuchomwa moto na ili kuokoa hali hiyo, tulipata tangazo kupitia tanzanet. tulichanga na mTZ mwenzetu akazikwa kama mila zetu zilivyo. Pesa iliyobaki aliitumia mkewe kuzuru kaburi la mumewe. Hayo ndo maisha, bila kujali udhaifu wake wa kujificha, eti akitafuta maisha.

Ninachouliza tena ni kwa nini mTZ huyu hakupata msaada kama huo hapo US. Nitaelewa kama naye alikuwa wa tabia kama hiyo ya kujificha kama ilivyo kwa wengi wasiyo na msimamo au kazi ya kueleweka. Wako wengi wa aina hiyo hasa US na UK. Ukiwapigia simu, wanatafuna maneno slang bila sababu wakati makuzi yake ni Bongo muradi tu wawe wamarekani wa kweli. Na hata hapa JF tunawasoma wanavyoandika.

Na nadhani tatizo ni failure wanayokuwa nayo watu tangu nyumbani. Kuna wengi wanaofeli TZ eti wanaenda kujitafutia maisha huko US. Wakifika ni mashindano na hakuna upendo wala msaada kwa mwenzio ili kuonyesha kwamba wamefaulu maisha. London kuna wengine kazi ni kuripoti wenzao polisi ili wasifanye kazi hizo zinazitwa maboksi.

Naomba tuache maringo turudi kwenye ubinadamu unahitajika. Hata kama tunaishi katikati ya wale wazamiaji, tuliobahatika kama akina Nyani Ngabu na Kiranga, hebu tuwakusanye wenzetu na kuwaonyesha njia ya kupitia ili na wao wainuke kama inawezekana. NI vizuri tu kuwa na waTZ nje maana ndiyo njia rahisi ya kuhamisha utajili au maendeleo.


Ni kweli ilishindikana kumzika mTZ kwa $6000?
 
Nyani Ngabu, mimi nimekuwa diaspora kwa miaka mingi na ktk nchi tofauti za uropu. Miaka ya 90 kuna mTZ mmoja alifia Japan. Bahati mbaya wakati wa uhai wake alijificha na hakutaka kufahamiana na waTZ wengine. Kilichofuata ni kuchomwa moto na ili kuokoa hali hiyo, tulipata tangazo kupitia tanzanet. tulichanga na mTZ mwenzetu akazikwa kama mila zetu zilivyo. Pesa iliyobaki aliitumia mkewe kuzuru kaburi la mumewe. Hayo ndo maisha, bila kujali udhaifu wake wa kujificha, eti akitafuta maisha.

Ninachouliza tena ni kwa nini mTZ huyu hakupata msaada kama huo hapo US. Nitaelewa kama naye alikuwa wa tabia kama hiyo ya kujificha kama ilivyo kwa wengi wasiyo na msimamo au kazi ya kueleweka. Wako wengi wa aina hiyo hasa US na UK. Ukiwapigia simu, wanatafuna maneno slang bila sababu wakati makuzi yake ni Bongo muradi tu wawe wamarekani wa kweli. Na hata hapa JF tunawasoma wanavyoandika.

Na nadhani tatizo ni failure wanayokuwa nayo watu tangu nyumbani. Kuna wengi wanaofeli TZ eti wanaenda kujitafutia maisha huko US. Wakifika ni mashindano na hakuna upendo wala msaada kwa mwenzio ili kuonyesha kwamba wamefaulu maisha. London kuna wengine kazi ni kuripoti wenzao polisi ili wasifanye kazi hizo zinazitwa maboksi.

Naomba tuache maringo turudi kwenye ubinadamu unahitajika. Hata kama tunaishi katikati ya wale wazamiaji, tuliobahatika kama akina Nyani Ngabu na Kiranga, hebu tuwakusanye wenzetu na kuwaonyesha njia ya kupitia ili na wao wainuke kama inawezekana. NI vizuri tu kuwa na waTZ nje maana ndiyo njia rahisi ya kuhamisha utajili au maendeleo.


Ni kweli ilishindikana kumzika mTZ kwa $6000?

Kuna mengi nyuma ya pazia ambayo watu hawako privy nayo.

Nduguze na merehemu wenyewe huko Tanzania imebidi watafutwe kupitia mitandao ya kijamii.

$6,000.00 kupatikana wala siyo ishu kabisa. Watu majuzi tu hapa huko Maryland wamechanga zaidi ya $20,000.00 kumsafirisha mdada mmoja aliyefariki, huko Atlanta kuna dogo alifariki mwaka jana zikachangwa zaidi ya $10,000.00. Huko Texas nako harambee zikiitishwa mkwanja huwa unapatikana na kusaza.

Kwenye hii ishu ya huyu bwana kwanza, kuna upotoshaji umefanyika. Sina hakika sana kama ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Pili, kuna mengi tu ambayo sisi humu kwenye mitandao ambayo hatuyajui. Lakini tunaandika kama tunayajua.

Tuna matatizo vichwani mwetu!
 
- Mkuu sana wa dunia please naomba sana muniwache mimi niliombwa kusaidia kuchangisha pesa za kusaidia kuukomboa mwili wa huyo marehemu, nikiwa USA ilitokea ishu kama hii kijana mmoja mbongo alijiua alikuwa na mke mzungu na yeye hakuwa na kitu lakini tukachangishana tukauokomboa mwili tena zilikuwa almost the same kind of money,

- Mimi wala nilikuwa sijui hii habari mpaka nilipoombwa kushiriki kuitangaza kwenye blogu yangu kwa ajili ya michango, mkuu naomba kusema tena ni kweli mimi nimeishia huko na kabla ya kuhamia huko nilikuwa baharia nimezunguka Dunia nzima, kwa hiyo upeo wangu wa kutafuta maisha nili[pokuwa ninakuja huko hauwezi kuwa sawa na mtu aliyetoka kijijini akaja Dar, halafu akaenda USA huwezi kunilingnisha mimi na watu wa aina hiyo ambao ndio 99.9% ya wabongo wengi walioko huko na Ulaya, yaaani walikuja mjini hapa watuwazima, halafu ndio wakapata nafasi ya kwenda huko, mimi nimeanza kwenda huko nikiwa na umri mdogo sana kwa hiyo ndio maana hata upeo wa kujua kule ninafanya nini hauwezi kuwa sawa na hawa watu walioenda huko watuwazima,

- Ninapoandika anything hapa kuhusiana na Disapora, ninaandika nikiwa na uhakika kwa mfano ninawajua watu wengi sana waliopo huko ambao leo wakifa na wao yatakuwa haya haya na ninaweza kuwataja hata kwa majina na ndio wanao ongoza humu kwa kunitukana kila ninapogusa ishuz za Diapsora kwa sababu wanajijua kwamba wamedata, sio kosa langu mimi nasema ukweli na my experience,

- Nilikwenda New York City, nikiwa mwenyewe kama nilivyo nimeanza kufanya kazi gas stesheni na KFC, baadaye nikajifunza kuendesha malori makubwa nikiwa na CDL license ambayo kwa wanaoishi huko wanajua kivumbi cha namna ya kuipata, nikajisomesha Degree 2, nikatengeneza mambo yangu hapa bongo lakini nikiwa kule nilijikatia Life Insurance aambayo ninailipia mpaka leo, na besides all these pia nilifanya kazi kwa uadilifu mkubwa na adabu sana kwa kampuni moja miaka 24 ambao siku nilipowaomba kuacha kazi na kurudi bongo walinipa zaiwadi nyingi sana na mpaka leo bado wananikumbusha kila wakati offer yao ya kunitaka nirudi huko kuwafanyia kazi tena, na soon nitaanza kukusanya pensheni yangu ambayo waajiri wangu walinitengenezea kwa uzuri sana na hela ya kunitosha sana kuishi bongo bila hata ya kufanya kazi mpaka ninakufa,

- Sasa ninashangaa sana ninapoona mtu ameenda Ulaya au USA akashindwa kufanya niliyoyafanya, WHY? kwa nini ushindwe na umeenda Dunia ya kwanza, si bora ungebaki hapa bongo wakaenda wengine? Mimi siku zote nilikuwa nafanya kazi masaa 16 mpaka 18 kwa siku, watu wanafika huko wanaanza kujifanya kiushinda kwenye mapombe na kucheza cheza tu kutafuta wanawake wa kuwatunza, ndio maana mtaishia kuchomwa moto kwenye oven, wewe muafrika mzima mwanaume una nguvu na akili tiamamu leo unaweza kusifia kuchomwa moto mwili wako kisa cha Dola $ 6,000 tu mwanaume mzima mbongo zaidi ya miaka 30 huko nje aibu ya ajabu sana,

- Sasa mnahangaika kufungua haya mathread kisa nini unakataa ukweli au unataka niwataje wabongo wote ninaowajua wapo huko ambao akifa leo yatawakuta haya haya? Mnataka niwataje hapa? People tumieni akili kidogo mnapoandika hapa, mimi nimeishi huko watishieni maneno yenu ambao hawajafika huko, nenda nchi za watu and then rudi bongo tuone tofauti sio kukaa huko kulia lia kama mtoto mchanga unalilia nini sasa hapa? Ukweli upo wazi kwamba huyu mwenzenu huko ameharibu sasa tunawaambieni mjifunze yasiwakute mnaaa kulia lia hapa na ujinga ujinga kama huu what is this man?

THE BOTTOMLINE NI KWAMBA KAMA MMEAMUA MNATAKA KUCHOMWA MKIFA MSITUAMBIE MAMENO YA KUWACHANGIA, MIMI SIAJWAOMBENI MNCHANGIE FOR ANYTHING HATA NIKIWA HUKO HARUSI YANGU SIKUMCHANGISHA MTU NILILIPIA MWENYEWE, HIVI MMEENDA HUKO KUFANYA NINI HASA AU KUPIGA PICHA MKO MTONI? PLEASE LEAVE ME ALONE KAMA HAMUWEZI NITAENDELEA KUWAPA ZA USO!!

LE BIG SHOW

Duh! Mkuu una siri nzito kuhusu vifo vya wabongo huko mamtoni! Wallahi wewe ni Bob Mazishi wa ma-diaspora wa kibongo.
 
William kumbuka umetelekeza familia uko kwa hao unaowakandia...

- Kaka kama mimi ndio wa kwanza Duniani kuachana na mke basi unayosema ni kweli lakini otherwise nina divorce au ukisha-divorce na mke wako unabakia kuishi naye ama sivyo unakuwa umewatelekeza? ha! ha! ha! ha! Maisha yamewashindeni huko rudini tu bongo kwani mmeua? ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Duh! Mkuu una siri nzito kuhusu vifo vya wabongo huko mamtoni! Wallahi wewe ni Bob Mazishi wa ma-diaspora wa kibongo.

- sina siri ya anything ila nwajua wabongo wengi sana huko Majuu ambao leo wakifa yatakuwa matat kama haya ya huyu unataka niwataje hapa kwa majina maana nawajua wote!!, wanaoishi huko kwa ujanja ujanja, ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- Mkuu sana wa dunia please naomba sana muniwache mimi niliombwa kusaidia kuchangisha pesa za kusaidia kuukomboa mwili wa huyo marehemu, nikiwa USA ilitokea ishu kama hii kijana mmoja mbongo alijiua alikuwa na mke mzungu na yeye hakuwa na kitu lakini tukachangishana tukauokomboa mwili tena zilikuwa almost the same kind of money,

- Mimi wala nilikuwa sijui hii habari mpaka nilipoombwa kushiriki kuitangaza kwenye blogu yangu kwa ajili ya michango, mkuu naomba kusema tena ni kweli mimi nimeishia huko na kabla ya kuhamia huko nilikuwa baharia nimezunguka Dunia nzima, kwa hiyo upeo wangu wa kutafuta maisha nili[pokuwa ninakuja huko hauwezi kuwa sawa na mtu aliyetoka kijijini akaja Dar, halafu akaenda USA huwezi kunilingnisha mimi na watu wa aina hiyo ambao ndio 99.9% ya wabongo wengi walioko huko na Ulaya, yaaani walikuja mjini hapa watuwazima, halafu ndio wakapata nafasi ya kwenda huko, mimi nimeanza kwenda huko nikiwa na umri mdogo sana kwa hiyo ndio maana hata upeo wa kujua kule ninafanya nini hauwezi kuwa sawa na hawa watu walioenda huko watuwazima,

- Ninapoandika anything hapa kuhusiana na Disapora, ninaandika nikiwa na uhakika kwa mfano ninawajua watu wengi sana waliopo huko ambao leo wakifa na wao yatakuwa haya haya na ninaweza kuwataja hata kwa majina na ndio wanao ongoza humu kwa kunitukana kila ninapogusa ishuz za Diapsora kwa sababu wanajijua kwamba wamedata, sio kosa langu mimi nasema ukweli na my experience,

- Nilikwenda New York City, nikiwa mwenyewe kama nilivyo nimeanza kufanya kazi gas stesheni na KFC, baadaye nikajifunza kuendesha malori makubwa nikiwa na CDL license ambayo kwa wanaoishi huko wanajua kivumbi cha namna ya kuipata, nikajisomesha Degree 2, nikatengeneza mambo yangu hapa bongo lakini nikiwa kule nilijikatia Life Insurance aambayo ninailipia mpaka leo, na besides all these pia nilifanya kazi kwa uadilifu mkubwa na adabu sana kwa kampuni moja miaka 24 ambao siku nilipowaomba kuacha kazi na kurudi bongo walinipa zaiwadi nyingi sana na mpaka leo bado wananikumbusha kila wakati offer yao ya kunitaka nirudi huko kuwafanyia kazi tena, na soon nitaanza kukusanya pensheni yangu ambayo waajiri wangu walinitengenezea kwa uzuri sana na hela ya kunitosha sana kuishi bongo bila hata ya kufanya kazi mpaka ninakufa,

- Sasa ninashangaa sana ninapoona mtu ameenda Ulaya au USA akashindwa kufanya niliyoyafanya, WHY? kwa nini ushindwe na umeenda Dunia ya kwanza, si bora ungebaki hapa bongo wakaenda wengine? Mimi siku zote nilikuwa nafanya kazi masaa 16 mpaka 18 kwa siku, watu wanafika huko wanaanza kujifanya kiushinda kwenye mapombe na kucheza cheza tu kutafuta wanawake wa kuwatunza, ndio maana mtaishia kuchomwa moto kwenye oven, wewe muafrika mzima mwanaume una nguvu na akili tiamamu leo unaweza kusifia kuchomwa moto mwili wako kisa cha Dola $ 6,000 tu mwanaume mzima mbongo zaidi ya miaka 30 huko nje aibu ya ajabu sana,

- Sasa mnahangaika kufungua haya mathread kisa nini unakataa ukweli au unataka niwataje wabongo wote ninaowajua wapo huko ambao akifa leo yatawakuta haya haya? Mnataka niwataje hapa? People tumieni akili kidogo mnapoandika hapa, mimi nimeishi huko watishieni maneno yenu ambao hawajafika huko, nenda nchi za watu and then rudi bongo tuone tofauti sio kukaa huko kulia lia kama mtoto mchanga unalilia nini sasa hapa? Ukweli upo wazi kwamba huyu mwenzenu huko ameharibu sasa tunawaambieni mjifunze yasiwakute mnaaa kulia lia hapa na ujinga ujinga kama huu what is this man?

THE BOTTOMLINE NI KWAMBA KAMA MMEAMUA MNATAKA KUCHOMWA MKIFA MSITUAMBIE MAMENO YA KUWACHANGIA, MIMI SIAJWAOMBENI MNCHANGIE FOR ANYTHING HATA NIKIWA HUKO HARUSI YANGU SIKUMCHANGISHA MTU NILILIPIA MWENYEWE, HIVI MMEENDA HUKO KUFANYA NINI HASA AU KUPIGA PICHA MKO MTONI? PLEASE LEAVE ME ALONE KAMA HAMUWEZI NITAENDELEA KUWAPA ZA USO!!

LE BIG SHOW
Mkuu mimi najua kuwa wewe sio mvivu na wala sio mtu wa kubebwa bebwa.

Hili suala la huyu jamaa wewe mwenyewe unajua hata huko bongo kama mtu hajichanganyi basi hutengwa kama mchawi tu

Kuhusu kupiga hela kuna watu wanapiga hela ndefu lakini hawapigi kelele na hapa sio suala la hela bali ni suala la kujichanganya na wenzake. Wewe mtu hata ndugu zake hawajulikani unategemea nini?

Ila hongera kwa kumwaga CV yako hapa na nimefurahi kuona kuwa huna aibu kutoa cv yako .

Kwa kifupi mimi na wewe tunafanana sana kwenye upiganaji tofauti ni mbeleko tu...
 
- Kaka kama mimi ndio wa kwanza Duniani kuachana na mke basi unayosema ni kweli lakini otherwise nina divorce au ukisha-divorce na mke wako unabakia kuishi naye ama sivyo unakuwa umewatelekeza? ha! ha! ha! ha! Maisha yamewashindeni huko rudini tu bongo kwani mmeua? ha! ha! ha!

Le Mutuz
Ukiona mtu anamcheka mwenzake kuhusu divorce ujue hana familia huyo..

Wameachana watoto wa kifalme sembuse Le Mutuz?

Kila nyumba ina kero zake na kero nyingine hazivumiliki ndio maana ndugu zetu wanaruhusiwa kuoa wanawake wengi kuepusha kero..

Ila mkuu usichanganye sana na sisi wengine unapozungumzia maisha kushindwa, wengine boksi tumeliweza...
 
Mkuu mimi najua kuwa wewe sio mvivu na wala sio mtu wa kubebwa bebwa.

Hili suala la huyu jamaa wewe mwenyewe unajua hata huko bongo kama mtu hajichanganyi basi hutengwa kama mchawi tu

Kuhusu kupiga hela kuna watu wanapiga hela ndefu lakini hawapigi kelele na hapa sio suala la hela bali ni suala la kujichanganya na wenzake. Wewe mtu hata ndugu zake hawajulikani unategemea nini?

Ila hongera kwa kumwaga CV yako hapa na nimefurahi kuona kuwa huna aibu kutoa cv yako .

Kwa kifupi mimi na wewe tunafanana sana kwenye upiganaji tofauti ni mbeleko tu...

- the ishu hapa ni kutokuwa na uelewa wa kwanini unaenda huko, mnakurupuka tu hapa mnaenda huko na haya ndio matokeo yake, mimi siajsema nina pesa sana ila ninasema kwa kwenda huko nimejijengea system ya maisha ambayo itanisaidia mpaka kufa kwangu na ndio hasa sababu kuu iliyonipeleka kule, I hope sasa umenielewa sikuenda kule kuzurura zurua TU bila sababu,

- Sababu iliyonipeleka kule ilikuwa ni kujijengea system ya maisha ambayo nisingeenda nisingekuwa nayo, sasa jiule na wewe kwa nini upo huko?

Le Mutuz
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, Le mutuz ameshikilia bango suala la mbongo kuchomwa moto Marekani baada ya kukosekana dola $6,000. Lakini nataka niwaulize mnaotukosoa, JE MNAMFAHAMU MARAEHEMU?, MNAWAFAHAMU NDUGU ZAKE?

Katika pitia pitia kwenye mitandao na baada ya kuongea na wabongo wawili watatu walioko boksi la US nimegundua kuwa jamaa hakuwa karibu na ndugu zake na hajawahi kanyaga Bongo miaka thelasini. Tunaambiwa kuwa hata mke na watoto wake hawajui jamaa alitokea wapi.

Sasa kama hata mke na watoto wake hawajui asili yake kwa nini watu walikuwa wanangangania arudishwe bongo?

Mnapigania maiti irudishwe bngo wakati angekuwa mzima mngemnyima uraia?

Mimi nawaasa tu jamaa zangu wabeba boksi, mkiwa huku nje muwe mnakumbuka nyumbani, msisahau kwenu na mhakikishe hata watoto wenu mliozaa na vishoka wanakwenda home waumwe na mbu kidogo ili wajue wazazi walitokea wapi.


Pia jamaa yangu Le mutuz acha kutulaumu, sisi hata hatujui jamaa katokea wapi ulitaka tuchange hela apelekwe wapi? Unaweza kwenda kuzika mtu Tanga kumbe katokea Angola, huoni kama ni dhambi hapo?

Kama mimi mwongo naomba kama kuna mtu anaemfahamu hata ndugu mmoja tu wa marehemu ajitokeze hapa
Mkuu sana

hukua hata na haja ya kumjibu Le Mutuz, alianzisha thread for the sake of it... he wanted attention ila anajua kinachoendelea

Let's leave the dead where they belong and focus on how we prepare our families to live when we are gone...
 
Nyani Ngabu, mimi nimekuwa diaspora kwa miaka mingi na ktk nchi tofauti za uropu. Miaka ya 90 kuna mTZ mmoja alifia Japan. Bahati mbaya wakati wa uhai wake alijificha na hakutaka kufahamiana na waTZ wengine. Kilichofuata ni kuchomwa moto na ili kuokoa hali hiyo, tulipata tangazo kupitia tanzanet. tulichanga na mTZ mwenzetu akazikwa kama mila zetu zilivyo. Pesa iliyobaki aliitumia mkewe kuzuru kaburi la mumewe. Hayo ndo maisha, bila kujali udhaifu wake wa kujificha, eti akitafuta maisha.

Ninachouliza tena ni kwa nini mTZ huyu hakupata msaada kama huo hapo US. Nitaelewa kama naye alikuwa wa tabia kama hiyo ya kujificha kama ilivyo kwa wengi wasiyo na msimamo au kazi ya kueleweka. Wako wengi wa aina hiyo hasa US na UK. Ukiwapigia simu, wanatafuna maneno slang bila sababu wakati makuzi yake ni Bongo muradi tu wawe wamarekani wa kweli. Na hata hapa JF tunawasoma wanavyoandika.

Na nadhani tatizo ni failure wanayokuwa nayo watu tangu nyumbani. Kuna wengi wanaofeli TZ eti wanaenda kujitafutia maisha huko US. Wakifika ni mashindano na hakuna upendo wala msaada kwa mwenzio ili kuonyesha kwamba wamefaulu maisha. London kuna wengine kazi ni kuripoti wenzao polisi ili wasifanye kazi hizo zinazitwa maboksi.

Naomba tuache maringo turudi kwenye ubinadamu unahitajika. Hata kama tunaishi katikati ya wale wazamiaji, tuliobahatika kama akina Nyani Ngabu na Kiranga, hebu tuwakusanye wenzetu na kuwaonyesha njia ya kupitia ili na wao wainuke kama inawezekana. NI vizuri tu kuwa na waTZ nje maana ndiyo njia rahisi ya kuhamisha utajili au maendeleo.


Ni kweli ilishindikana kumzika mTZ kwa $6000?

i think unatakiwa kujua the whole situation ilikua vipi kuliko kulinganisha apples and oranges
 
Ukiona mtu anamcheka mwenzake kuhusu divorce ujue hana familia huyo..

Wameachana watoto wa kifalme sembuse Le Mutuz?

Kila nyumba ina kero zake na kero nyingine hazivumiliki ndio maana ndugu zetu wanaruhusiwa kuoa wanawake wengi kuepusha kero..

Ila mkuu usichanganye sana na sisi wengine unapozungumzia maisha kushindwa, wengine boksi tumeliweza...

- Mkuu unajua ukiwa jela na wafungwa wenzako siku ukiachiwa watakutafutia maneno mengi sana kwa sababu ya uchungu wa kukuona unawaacha, sasa na majuu hivyo hivyo ukirudi bongo na ukawa sawa lazima wakutafutie maneno maneno mengi ya kujinga na kitoto sana kama haya,

- Ninarudia tena nilikuwa na mke na watoto tukafikia mahali hatukuelewana tena tuka-divorce, nikaamua kurudi home na ninaendelea kama kawa kuliko wengo wao huko walivyodhani na ni kutokana na kudanganywa na watu kwamba ukirudi bongo maisha yatakuwa mabaya as if kule una maisha zaidi ya kwenda kazini tu na kulipia madeni, please!!

Le Mutuz
 
Mkuu sana

hukua hata na haja ya kumjibu Le Mutuz, alianzisha thread for the sake of it... he wanted attention ila anajua kinachoendelea

Let's leave the dead where they belong and focus on how we prepare our families to live when we are gone...

- Nilianzisha thread kwa sababu nilikuwa mmoja wa waliombwa kutumia blogu yangu kutangaza mchango wa kumukoa marehemu asichomwe, sasa ameishia kuichomwa kisa hela zilizochangwa hazikutosha makosa yangu ni nini hasa?

Le Mutuz
 
i think unatakiwa kujua the whole situation ilikua vipi kuliko kulinganisha apples and oranges

Tunajadili kilicho mbele yetu. Hatuwezi kubaki kimya eti kuna tusiyoyafahamu. Sema unayoyafahamu nasi tutachangia na hilo litakuwa ni fundisho JF. Hiyo ndo maana ya majadiliano kwa wenye akili timamu.

Ilikuwa ni open discussion nawe ulistahili kumukosoa muleta mada kwa kusema asiyoyajua au aliyopotosha.
 
Addict to post and comment. Chuki, kulinganisha where na when,kujichoresha

Tokea awali,tokea blogs mpaka forum hamna mjadala
 
Back
Top Bottom