Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
-
- #41
Kama nchi zetu za kiafrika zingekuwa na sheria kama za china, naamini Afrika pangekuwa mahali pazuri zaidi kiuchumi na kisiasa!Miaka miwili nyuma kuna muingereza zuzu alibebeshwa cocaine kuingiza China na alikamatwa Airport naye alinyongwa bila kujali kama ana mtindio wa ubongo. Usichezee Peking
mtemvuzuberi ... Jina linalofuatia ni nani vile ...?
Taarifa za kuaminika nikuwa,
Mtanzania
akamatwa na unga China ananyongwa J'nne anaitwa Zuberi Mussa, Ni mkaazi wa Zanzibar aliwahi kuishi Canada! Sijui atasaidiwa vipi maana yeye ni container tu Ma don wapo Bongo
Vijana wanatakiwa kuwa makini waache tamaa, wewe unakufa matajiri wao wamepunzika tuu!!!! Matokeo ya tamaa ni hayo sasa huko China hakuna misamaa namuhurumia saana!!! Labda serikali ya Tanzania imsaidie kama waziri mhusika Mhe Bernald Membe atamkumbuka!! Tena mbona nasikia huko Canada kuna kazi nyingi tuu za casual labor na community workers, labda alitaka kutoka haraka kwenye ufukara wa bongo!!!!Taarifa za kuaminika nikuwa,
Mtanzania
akamatwa na unga China ananyongwa J'nne anaitwa Zuberi Mussa, Ni mkaazi wa Zanzibar aliwahi kuishi Canada! Sijui atasaidiwa vipi maana yeye ni container tu Ma don wapo Bongo
Kwani mkuu hiyo ndio sababu ya mambo hayo ya unga????? Mimi sidhani naona kuna sababu nyingine tuu, hata hivyo pole yake na familia yake!!!!Tanzania mbona hatuwanyongi au ni kwa vile ni biashara za wakubwa? Watoto wetu wameharibika mno. Imagine boarding schools mnapeleka watoto kuanzia primary ni balaa kule, madawa, kulawitiana ni order of the day. Lakini pia huwa najiuliza ni kwa nini mzazi umpelekee mwanao shule tangu chkechea boarding? Wanangu wote walisoma day school hadi primary na secondary ndiyo boarding at ther 13th. Sasa wewe mwanao 3 yrs unamtoa nyumbani hajui hata pendo la mama. Ukiwatelekeza watoto bila sababu ya msingi jua wanakosa malezi na upendo (parental care and love) mwishowe watatafuta upendo na care nyingine toka kwa makundi na mwishowe wataishia kuwa mabahasha na containers wa dawa za kulenvya.
Watumwe watu wa Ant Drug waende China kupata taarifa za waliomtuma zitafaa saana na wao waunganishwe huko!!!!naombea anyongwe hadharani. Ningefurahi pia kama angetaja hadharani katumwa na nani.
Tanzania mbona hatuwanyongi au ni kwa vile ni biashara za wakubwa? Watoto wetu wameharibika mno. Imagine boarding schools mnapeleka watoto kuanzia primary ni balaa kule, madawa, kulawitiana ni order of the day. Lakini pia huwa najiuliza ni kwa nini mzazi umpelekee mwanao shule tangu chkechea boarding? Wanangu wote walisoma day school hadi primary na secondary ndiyo boarding at ther 13th. Sasa wewe mwanao 3 yrs unamtoa nyumbani hajui hata pendo la mama. Ukiwatelekeza watoto bila sababu ya msingi jua wanakosa malezi na upendo (parental care and love) mwishowe watatafuta upendo na care nyingine toka kwa makundi na mwishowe wataishia kuwa mabahasha na containers wa dawa za kulenvya.
Aisee kunamtu kakamatwa jana maeneo gani tena? Daah nadhani tushinikize sheria hii iwepo tz na ianze utekelezwaji haraka!Sasa, na sisi tumnyonge yele dada wa Ghana aliyeshikwa na kilo6 za heroin jana. Yule haitaji hata kesi
Taarifa za kuaminika nikuwa,
Mtanzania
akamatwa na unga China ananyongwa J'nne anaitwa Zuberi Mussa, Ni mkaazi wa Zanzibar aliwahi kuishi Canada! Sijui atasaidiwa vipi maana yeye ni container tu Ma don wapo Bongo
China hawana mchezo na ufisadi. Wale jamaa zetu wanaojirahisi kutumiwa kubeba miunga waogope uchina na uarabuni. kule hakuna upuuzi kama Bongo ambapo wanapita Airport na kutoa chochote kitu na kupeta. RIP Zuberi.
RIP Zuberi Mussa
Sasa, na sisi tumnyonge yele dada wa Ghana aliyeshikwa na kilo6 za heroin jana. Yule haitaji hata kesi