engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
sishabikii hukumu ya kifo lkn nahisi hili ndilo lililobaki maana sidhani kama kuna watakaojishughulikisha na hili.
ushabikie usishabikie wachina hawaelewi hilo,kama wameshindwa wamarekani na haki zao za binadamu utakuwa wewe
kwa upande wangu naona sawa tu,maana madawa ya kulevya yamemaliza vijana wetu sana
kwa sasa ukienda hunduras hakufai muda wowote unapigwa risasi na magenge ya madawa ya kulevya,kwani wenzetu pale ndio cetre ya madawa yatokayo mexico kwenda USA,na nchi yao ni corrupt haina sheria yeyote ile ya kuzuia madawa ya kulevya,kila mtu anamiliki bunduki kujilinda na biashara ya madawa