wako busy kuiua chadematunakoelekea itakua hivi,raia yeyote wa tanzania kuingia nchi nyingine lazima afanyiwe ukaguzi maalum au akataliwe kabisa kuingia nchini humo.
WENYE DHAMANA WAPO WAPI KUPIGANA NA HILI ?
Hii biashara isije ikawa ni kitega uchumi cha chama chetu. Make uchaguzi umekaribia.
Macau leo imekua thailand?mijitu haina akili kabisa asee.
Watzanzania watakamatwa sana kwani wengi wao hawana ujanja wa maisha wamezoea maisha ya kukariri, mmoja akifungua biashara ya mahindi ikamlipa basi wote wanahamia huko.KItakachowasumbua watz ni ukondoo wao wtakamatwa kama kuku unless waachane nayo.Huwezi mlinganisha mtanzania na senegales, nigeria kenyan.Hawana ujanja.Kazi mnayo
Hawawezi kunyongwa. Mh rais kasaini mkataba juzi na waziri mkuu wa Thailand. Watarudishwa nchini na kupewa msamaha wa rais kwani familia zao zimeteseka sana baada ya kukamatwa kwao.duh... wanyongwe tu!
Hawawezi kunyongwa. Mh rais kasaini mkataba juzi na waziri mkuu wa Thailand. Watarudishwa nchini na kupewa msamaha wa rais kwani familia zao zimeteseka sana baada ya kukamatwa kwao.
Impliedly, yes.kwa hiyo waendelee kufanya uhalifu....?
Impliedly, yes.
kumbe kayamezea Thailand,basi hiyo itakuwa ni international syndicate,Soma vizuri...."Taarifa zaidi zilisema kuwa mtuhumiwa huyo awali alipanda ndege kwenda Ethiopia kisha akaenda Thailand mahali alipomeza dawa hizo na baadaye akapanda ndege hadi kisiwa cha Macau ili kuelekea Guangzhou mahali ambapo alitarajiwa kuonana na mchora mpango wa sakata hilo."
Ingawa Unaweza kuwa na point naona maelezo ya kwenye link na ya kiswahili yanatofautiana kidogo
Thou shall never get caught.kwa hiyo waendelee kufanya uhalifu....?