Kuna Yule mwingine anaitwa Neema Kindole, aisee sijui wanawatoa wapi hawaITV kuna visu vya hatarii sjui wanavitoa wapi cheki toto jackline silemu lile mtam balaa
Mmmh mtaje yeyoteTbc pia ina watangazaji wazuri kweli
Nayaamsha mashetani ya lumumbaMmmh mtaje yeyote
Sio mtu wa tanga kwao ni simanjiro arusha ila Ana asili ya usomali. Mwanzon alikuwa mtangazaji wa radio terat simanjiro . Ndo alipoanzia kaziYule dada ni mtu wa tanga
Farhia hyu ananikuna balaaaa,kumbeñ weng waga tunawaza eee mwenyewe hnina zawadi yake et, napenda anavyo tangaza ama hakika anatangaza uzur balaaa!!!halafu anatabasum mhuuu,angalia hasa wakat anakaribishwa kusoma habar za biashara duuu!!
Piga 0754-444444Huyu mtangazaji wa ITV namkubali sana ninazawadi yake.
Mwenye number yake please, naomba mnisaidie kuipata.
Asanteni.
Farhia ni jina la kiarabu lakini linapendwa sana kutimiwa na jamii ya kisomali.hivi hao kina 'middle' ni watu wa mkoa gani?